Nabii Hakubaliki Nyumbani! Godbless Lema ni Nabii? Alianza na Ndoto, Ikatimia!, Akaja na Sabaya, Ikatimia!, Sasa ni Makonda, Itatimia? Asipuuzwe!

Nabii Hakubaliki Nyumbani! Godbless Lema ni Nabii? Alianza na Ndoto, Ikatimia!, Akaja na Sabaya, Ikatimia!, Sasa ni Makonda, Itatimia? Asipuuzwe!

Wanabodi

Tukubali tukatae watu hatulingani, kuna watu wana nguvu fulani za unabii kama wa upako fulani, wakilisema jambo, linakuja kutimia!, kauli zao ni ama zina power ya umbaji ndani yake, wakilisema jambo kauli zao zinaliumba hilo jambo linakuja kutokea, ama wanakuwa wamepewa maono, wanayasema na yanatokea kweli.

Mmoja wa watu hawa ni Godbless Lema, kwanza kitendo tuu cha kumpa mtoto jina la baraka Godbless, jina hili kwa Kiswahili ni Mungu Mbariki.

Ila kama kawaida nabii huwa hakubaliki nyumbani!, inawezekana huyu Godbless Lema ni kama nabii fulani ?.

Alianza na ile ndoto yake fulani, ikatimia!, akaja na issue ya Sabaya, ikatimia!, Sasa amekuja na issue ya Makonda, je itatimia?.

Msikilizeni hapa

View: https://youtu.be/nGgpxUj3JLc?si=QckVGgJFSWHoypzM

Mimi kwa upande wangu manabii wa aina hii nimewahi kuwazungumza sana humu.
Japo Makonda mwenyewe pia sio mtu wa mchezo mchezo, ni mpakwa mafuta Bwana. Na huu ni uthibitisho

Hata hivyo nashauri, Lema akisema kitu, asipuuzwe!, ni
muhimu kwa mhusika kuchukua hatua for doing the right thing kabla ya la kumfika halijamfika, ila pia kama wana ushahidi usiotia shaka wa uhusika wa huyu dogo kwenye lile shambulizi, si wauweke mezani wote tuuone, au wa upeleke kunakohusika ili uchunguzi wa kijinai uanze?.

Paskali

Lema kashamfanyia unabii Mama pia,naye ajiandae au ajirekebishe.
 
Wanabodi

Tukubali tukatae watu hatulingani, kuna watu wana nguvu fulani za unabii kama wa upako fulani, wakilisema jambo, linakuja kutimia!, kauli zao ni ama zina power ya umbaji ndani yake, wakilisema jambo kauli zao zinaliumba hilo jambo linakuja kutokea, ama wanakuwa wamepewa maono, wanayasema na yanatokea kweli.

Mmoja wa watu hawa ni Godbless Lema, kwanza kitendo tuu cha kumpa mtoto jina la baraka Godbless, jina hili kwa Kiswahili ni Mungu Mbariki.

Ila kama kawaida nabii huwa hakubaliki nyumbani!, inawezekana huyu Godbless Lema ni kama nabii fulani ?.

Alianza na ile ndoto yake fulani, ikatimia!, akaja na issue ya Sabaya, ikatimia!, Sasa amekuja na issue ya Makonda, je itatimia?.

Msikilizeni hapa

View: https://youtu.be/nGgpxUj3JLc?si=QckVGgJFSWHoypzM

Mimi kwa upande wangu manabii wa aina hii nimewahi kuwazungumza sana humu.
Japo Makonda mwenyewe pia sio mtu wa mchezo mchezo, ni mpakwa mafuta Bwana. Na huu ni uthibitisho

Hata hivyo nashauri, Lema akisema kitu, asipuuzwe!, ni
muhimu kwa mhusika kuchukua hatua for doing the right thing kabla ya la kumfika halijamfika, ila pia kama wana ushahidi usiotia shaka wa uhusika wa huyu dogo kwenye lile shambulizi, si wauweke mezani wote tuuone, au wa upeleke kunakohusika ili uchunguzi wa kijinai uanze?.

Paskali

Mkuu Paskal, Lema hana salama pia- mwizi tu- watakutana huko wakamalizane
 
Wanabodi

Tukubali tukatae watu hatulingani, kuna watu wana nguvu fulani za unabii kama wa upako fulani, wakilisema jambo, linakuja kutimia!, kauli zao ni ama zina power ya umbaji ndani yake, wakilisema jambo kauli zao zinaliumba hilo jambo linakuja kutokea, ama wanakuwa wamepewa maono, wanayasema na yanatokea kweli.

Mmoja wa watu hawa ni Godbless Lema, kwanza kitendo tuu cha kumpa mtoto jina la baraka Godbless, jina hili kwa Kiswahili ni Mungu Mbariki.

Ila kama kawaida nabii huwa hakubaliki nyumbani!, inawezekana huyu Godbless Lema ni kama nabii fulani ?.

Alianza na ile ndoto yake fulani, ikatimia!, akaja na issue ya Sabaya, ikatimia!, Sasa amekuja na issue ya Makonda, je itatimia?.

Msikilizeni hapa

View: https://youtu.be/nGgpxUj3JLc?si=QckVGgJFSWHoypzM

Mimi kwa upande wangu manabii wa aina hii nimewahi kuwazungumza sana humu.
Japo Makonda mwenyewe pia sio mtu wa mchezo mchezo, ni mpakwa mafuta Bwana. Na huu ni uthibitisho

Hata hivyo nashauri, Lema akisema kitu, asipuuzwe!, ni
muhimu kwa mhusika kuchukua hatua for doing the right thing kabla ya la kumfika halijamfika, ila pia kama wana ushahidi usiotia shaka wa uhusika wa huyu dogo kwenye lile shambulizi, si wauweke mezani wote tuuone, au wa upeleke kunakohusika ili uchunguzi wa kijinai uanze?.

Paskali

Itatimia hata P analijua hilo.
 
Mkuu Paskal, Lema hana salama pia- mwizi tu- watakutana huko wakamalizane
Rekebisha kidogo, sio ni mwizi, bali zamani anasemekana alikuwa mwizi wa magari, lakini sasa sio mwizi tena. Hata Mtume Paulo, hakuwa miongoni mwa wale mitume thenashara, alikuwa Saulo na aliwatesa sana Wakristo, mpaka siku Mungu akamtokea kwenye njia ya Jericho, ndipo akabadili jina kuwa Paulo.

Uzuri wa karma is reversible, ukitenda maovu, ukajitambua umetenda uovu, ukajuta, ukabadilika na kuanza kutenda mema, yale mema yako, yanafuta yale maovu yako, unatakasika, na mema yakizidi yale maovu, unabarikiwa. The Power of Karma- Ndio hukumu pekee ya haki kamili hapa Duniani. Unahukumiwa kwa matendo yako!
Uzuri wa Karma ni Reversible, Ukifanya Ubaya, Unaweza Kuupindua Ubaya Huo Kwa Wema, Ukaepuka Adhabu ya Karma!.
ila pia kwa kujitambua, ukifanya jambo baya, ukaomba msamaha kabla karma haijaanza kukushughulikia, then una weza ku reverse bad karma isikutokee, au hata kuizuia kabisa kwa kufanya mema mengi zaidi kuliko uovu!. Hii inaitwa kuireversi karma, hivyo mtu muuaji, akibaini kosa lake na kujutia, kisha akatembea na fuko la fedha kuwagawia yatima na masikini, adhabu ya karma ya uovu wake inapinduliwa na mema yake, anabarikiwa!.

Shukuru Kwa Yote!
Tukipata mema na mafanikio, tuseme asante, na tukipata balaa na majanga, pia tuseme asante, kwa sababu hata kama ni majanga, majanga mengine ni blessing in disguise, kama ilivyo kwa Yesu, japo ni Yuda ndio alimsaliti Yesu, na Yesu aliteswa kwa usaliti wa Yuda, lakini tukio lote, lilikuwa pre meditated siku nyingi, litokee hivyo hivyo lilivyotokea na kuonekana kama janga, kumbe kwa kuteswa kwake, sisi tuliponywa!.

Nawatakia Jumapili njema!.

Paskali

Hivi ndivyo ilivyotokea kwa JPM hadi saa hizi yuko peponi, mbinguni kwa Baba yake, yuko na Baba yake!. Voices From Within: Je, wajua yuko Peponi, Mbinguni, Kwa Baba yake? Why kumshutumu, kumsakama na kumsimanga? Aachwe apumzike kwa amani
P
 
Wanabodi

Tukubali tukatae watu hatulingani, kuna watu wana nguvu fulani za unabii kama wa upako fulani, wakilisema jambo, linakuja kutimia!, kauli zao ni ama zina power ya umbaji ndani yake, wakilisema jambo kauli zao zinaliumba hilo jambo linakuja kutokea, ama wanakuwa wamepewa maono, wanayasema na yanatokea kweli.

Mmoja wa watu hawa ni Godbless Lema, kwanza kitendo tuu cha kumpa mtoto jina la baraka Godbless, jina hili kwa Kiswahili ni Mungu Mbariki.

Ila kama kawaida nabii huwa hakubaliki nyumbani!, inawezekana huyu Godbless Lema ni kama nabii fulani ?.

Alianza na ile ndoto yake fulani, ikatimia!, akaja na issue ya Sabaya, ikatimia!, Sasa amekuja na issue ya Makonda, je itatimia?.

Msikilizeni hapa

View: https://youtu.be/nGgpxUj3JLc?si=QckVGgJFSWHoypzM

Mimi kwa upande wangu manabii wa aina hii nimewahi kuwazungumza sana humu.
Japo Makonda mwenyewe pia sio mtu wa mchezo mchezo, ni mpakwa mafuta Bwana. Na huu ni uthibitisho

Hata hivyo nashauri, Lema akisema kitu, asipuuzwe!, ni
muhimu kwa mhusika kuchukua hatua for doing the right thing kabla ya la kumfika halijamfika, ila pia kama wana ushahidi usiotia shaka wa uhusika wa huyu dogo kwenye lile shambulizi, si wauweke mezani wote tuuone, au wa upeleke kunakohusika ili uchunguzi wa kijinai uanze?.

Paskali

Karma is betch wakati wa bwana ni wakati sahihi not my word
 
Itatimia hata P analijua hilo
not necessarly,ukifanya maovu, ukajitambua umefanya maovu,ukajuta na kuomba msamaha, hata kimoyomoyo, kisha ukatenda mema kuufidia uovu wako, unasamehewa,hivyo nimemshauri asipuuze,its not too late kuomba msamaha,hajachelewa,ila wahusika wakuu, karma imeisha shughulika nao!。

P
 
Ni heshima kwa Mungu kumzomea fisadi Lowasa ~~~ Nabii Lema

Nabii uchwara aliyeshindwa kuacha legacy yoyote Arusha, pia ameshindwa kuongoza kanda ya kaskazini vijana wamemgomea.

Mke wa Lema analelewa na nani Canada?
Acha wivu unaulizia mwenzako analelewa na nani unataka uchukue nafasi yake.
 
not necessarly,ukifanya maovu, ukajitambua umefanya maovu,ukajuta na kuomba msamaha, hata kimoyomoyo, kisha ukatenda mema kuufidia uovu wako, unasamehewa,hivyo nimemshauri asipuuze,its not too late kuomba msamaha,hajachelewa,ila wahusika wakuu, karma imeisha shughulika nao!。

P
Bado wapo ambao karma inahitaji kushulikiwa,na sii kila kosa linasamehewa hasa ya kukusudia kama yale kama, ukisha hesabu kura unasema mungu ni samehe.
 
Toka alipotoa ile kauli ya kusema mama ntilie ni laana,bodaboda ni laana,Nicola ni laana basi nimetokea kumwona chizi flani ndani ya Tanganyika na ana impact yoyote kwenye siasa na jamii kwa ujumla.
Hivi Kuna nabii alianguka/kosea kusema katika kutekeleza kazi zake?
 
Wanabodi

Tukubali tukatae watu hatulingani, kuna watu wana nguvu fulani za unabii kama wa upako fulani, wakilisema jambo, linakuja kutimia!, kauli zao ni ama zina power ya umbaji ndani yake, wakilisema jambo kauli zao zinaliumba hilo jambo linakuja kutokea, ama wanakuwa wamepewa maono, wanayasema na yanatokea kweli.

Mmoja wa watu hawa ni Godbless Lema, kwanza kitendo tuu cha kumpa mtoto jina la baraka Godbless, jina hili kwa Kiswahili ni Mungu Mbariki.

Ila kama kawaida nabii huwa hakubaliki nyumbani!, inawezekana huyu Godbless Lema ni kama nabii fulani ?.

Alianza na ile ndoto yake fulani, ikatimia!, akaja na issue ya Sabaya, ikatimia!, Sasa amekuja na issue ya Makonda, je itatimia?.

Msikilizeni hapa

View: https://youtu.be/nGgpxUj3JLc?si=QckVGgJFSWHoypzM

Mimi kwa upande wangu manabii wa aina hii nimewahi kuwazungumza sana humu.
Japo Makonda mwenyewe pia sio mtu wa mchezo mchezo, ni mpakwa mafuta Bwana. Na huu ni uthibitisho

Hata hivyo nashauri, Lema akisema kitu, asipuuzwe!, ni
muhimu kwa mhusika kuchukua hatua for doing the right thing kabla ya la kumfika halijamfika, ila pia kama wana ushahidi usiotia shaka wa uhusika wa huyu dogo kwenye lile shambulizi, si wauweke mezani wote tuuone, au wa upeleke kunakohusika ili uchunguzi wa kijinai uanze?.

Paskali

Wakuu,

Lema asema hatogombania ubunge wa Arusha Mjini 2025, lakini amesema ataendelea kushiriki kwenye harakati zote za chama katika kuleta mabadiliko.

Lema ameyasema hayo leo Januari 14, 2025 katika mkutano wake na waandishi wa habari, ambako pia ametangaza kumuunga mkono Tundu Lissu na kumwambia Mbowe japokuwa ni rafiki yake, wakati huu apumzike na kumuachia Lissu.
Godbless Lema,anajitambua!。
Baada ya Mama kuwapelekea moto Arusha,mtu yeyote anayejitambua hawezi kucheza na Moto!。
Gambo naye ajiangalie na kujitathmini!。
P
 
Wanabodi

Tukubali tukatae watu hatulingani, kuna watu wana nguvu fulani za unabii kama wa upako fulani, wakilisema jambo, linakuja kutimia!, kauli zao ni ama zina power ya umbaji ndani yake, wakilisema jambo kauli zao zinaliumba hilo jambo linakuja kutokea, ama wanakuwa wamepewa maono, wanayasema na yanatokea kweli.

Mmoja wa watu hawa ni Godbless Lema, kwanza kitendo tuu cha kumpa mtoto jina la baraka Godbless, jina hili kwa Kiswahili ni Mungu Mbariki,jina hilo linakuwa limeachia upako fulani,mwenye jina hilo anabarikiwa!。 Godbless Lema ni Baraka!

Ila kama kawaida nabii huwa hakubaliki nyumbani!, inawezekana huyu Godbless Lema ni kama nabii fulani ?.
Namshauri Freeman Mbowe,auzingatie sana ushauri wa Lema,amoishe Lissu kwenye usukani Godbless Lema: Namuomba Mbowe apumzike, amuachie Lissu afanye kazi ya Uenyekiti CHADEMA
P
 
Back
Top Bottom