MR MAJANGA
JF-Expert Member
- Oct 4, 2014
- 3,444
- 10,687
Sijawahi kuziamini hizi dini zilizoletwa na ngozi nyeupeHUU NI USHAHIDI MALISA AKIWA NA MAMA YAKE MADHABAHUNI WAKIMIMINA USHUHUDA MBELE YA WAUMINI WAO.
Mbaya zaidi Kuna wanaume wenzetu nao wanashangilia.
Itakuchukua muda usiopungua miaka 31au zaidi na pengine usifanikwe kunishawishi Mimi kurudi Tena kanisani.
Mara papa anaruhusu ushoga,kubadiri jinsia mtu anayepinga anatimuliwa kazi. Asee waafrica Kuna haja ya kujitafakari sana.View attachment 2832644
Wife alianza kuabudu katika haya makanisa ni kampiga STOP kubwa.alikuwa anatumia mafuta ya mwamposa kila nikilala ananimwagia maji kitandani nikasema uyu anaweza kunifanya zombie bure ngoja nimuwahi.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Wife alianza kuabudu katika haya makanisa ni kampiga STOP kubwa.alikuwa anatumia mafuta ya mwamposa kila nikilala ananimwagia maji kitandani nikasema uyu anaweza kunifanya zombie bure ngoja nimuwahi.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Huyu sio mama yake ni lishangazi lake kalikojolesha limelewa bao la kijana linaanza kuongea uongo.
Kwa watu ni Kwa watu ndio maana Kila mtu akae kwake nilienda Kwa mjomba ana uwezo mkubwa tu kifedha ni kiongozi wa kanisa nikaona niende kwake nokatafute maisha Nikakaribishwa vizuri mno Wanasali hasa.Nilienda family Moja nikakutana na hayo maji ya upako ya mwamposa Kwa kuwa ni mgeni sikubisha kabula hujalala Wana kumwagia Daah
[emoji38][emoji38][emoji38]Kwa watu ni Kwa watu ndio maana Kila mtu akae kwake nilienda Kwa mjomba ana uwezo mkubwa tu kifedha ni kiongozi wa kanisa nikaona niende kwake nokatafute maisha Nikakaribishwa vizuri mno Wanasali hasa.
Wakanionyesha ratiba ya maisha Yao ya Kila siku .Inasomeka hii ndio ratiba ya siku za kula
Jumapili tunakula ,Jumatatu ni siku ya kufunga na kuomba Jumanne tunakula ,Jumatano tunafunga siku ya Alhamisi tunafunga ijumaa tunakula Jumanosi tunafunga jumapili tunakula
Nilikaa wiki moja nikarudi.mkoani nilikotoka nilikoaga Kwa Mbwembwe kuwa mimi maisha ya kijijini basi Kwa heri ya kuonana
Wee ni nani hata umhoji nabii?[emoji23][emoji23]Mazombie yaliyonyoosha nguo yanapiga makofi bila kuhoji angalau maswali haya;
Alimfufua kwa lengo lipi?
Alimfufuaje?
Lini?
Wapi?
Ila simu zilizoletwa na ngozi nyeupe?Sijawahi kuziamini hizi dini zilizoletwa na ngozi nyeupe
[emoji23][emoji23][emoji23]Wife alianza kuabudu katika haya makanisa ni kampiga STOP kubwa.alikuwa anatumia mafuta ya mwamposa kila nikilala ananimwagia maji kitandani nikasema uyu anaweza kunifanya zombie bure ngoja nimuwahi.
Wife alianza kuabudu katika haya makanisa ni kampiga STOP kubwa.alikuwa anatumia mafuta ya mwamposa kila nikilala ananimwagia maji kitandani nikasema uyu anaweza kunifanya zombie bure ngoja nimuwahi.
Simu hazinifanyi kuwa zezeta, hii ni biashara kama ilivyokuwa kwenye dini, yaani anavyopata wateja wengi ndiyo anavyokuwa tajiri na hizi dini zilizoletwa na ngozi nyeupe ndiyo hivyo hivyoIla simu zilizoletwa na ngozi nyeupe?
Nani huyo?Shida yako ni Nini kama mtume aliweza kuushusha mwezi angan kama boga na kuupasua vipande viwili
Labda maana ya neno kufariki tuijuayo sio aliyomaanisha![emoji23][emoji23][emoji23]Mkuu huyo mama anasema alikuwa pekee yake, akafariki, halafu akiwa amefariki, akampigia simu mwanae akaja kumfufua. Labda maana ya neno kufariki tuijuayo sio aliyomaanisha!
Yaani umejua kunichekesha Leo [emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji28][emoji28]Kwa watu ni Kwa watu ndio maana Kila mtu akae kwake nilienda Kwa mjomba ana uwezo mkubwa tu kifedha ni kiongozi wa kanisa nikaona niende kwake nokatafute maisha Nikakaribishwa vizuri mno Wanasali hasa.
Wakanionyesha ratiba ya maisha Yao ya Kila siku .Inasomeka hii ndio ratiba ya siku za kula
Jumapili tunakula ,Jumatatu ni siku ya kufunga na kuomba Jumanne tunakula ,Jumatano tunafunga na siku ya Alhamisi tunafunga ijumaa tunakula Jumanosi tunafunga jumapili tunakula
Nilikaa wiki moja nikarudi kijijini mkoani nilikotoka nilikoaga Kwa Mbwembwe kuwa mimi maisha ya kijijini basi Kwa heri ya kuonana
Du huu ni UTAPELI babu kubwa. Ni zaidi ya Gwajima kufufua miskukule kwenye kanisa lake la mchongo.HUU NI USHAHIDI MALISA AKIWA NA MAMA YAKE MADHABAHUNI WAKIMIMINA USHUHUDA MBELE YA WAUMINI WAO.
Mbaya zaidi Kuna wanaume wenzetu nao wanashangilia.
Itakuchukua muda usiopungua miaka 31au zaidi na pengine usifanikwe kunishawishi Mimi kurudi Tena kanisani.
Mara papa anaruhusu ushoga,kubadiri jinsia mtu anayepinga anatimuliwa kazi. Asee waafrica Kuna haja ya kujitafakari sana.
View attachment 2832644
Afu kuna wanawake hapo mbele wanashangilia balaa. Sijui wanakuwa wanapangwa? Lakini kuna mmoja nimemuona akishangaa kwa kumtilia mashaka huyu tapeli.HUU NI USHAHIDI MALISA AKIWA NA MAMA YAKE MADHABAHUNI WAKIMIMINA USHUHUDA MBELE YA WAUMINI WAO.
Mbaya zaidi Kuna wanaume wenzetu nao wanashangilia.
Itakuchukua muda usiopungua miaka 31au zaidi na pengine usifanikwe kunishawishi Mimi kurudi Tena kanisani.
Mara papa anaruhusu ushoga,kubadiri jinsia mtu anayepinga anatimuliwa kazi. Asee waafrica Kuna haja ya kujitafakari sana.
View attachment 2832644