PharaohMtakatifu
JF-Expert Member
- Jul 3, 2023
- 713
- 1,208
- Thread starter
-
- #241
Mitaji hiyo ukioa wa namna hiyo sahau kumwelekeza kitu Kila kitu atakuambia nabii kasema hikiAfu kuna wanawake hapo mbele wanashangilia balaa. Sijui wanakuwa wanapangwa? Lakini kuna mmoja nimemuona akishangaa kwa kumtilia mashaka huyu tapeli.
Gwaji Boy hata nusu hawezi fika Kwa utapeli huuDu huu ni UTAPELI babu kubwa. Ni zaidi ya Gwajima kufufua miskukule kwenye kanisa lake la mchongo.
Nawaza kama Serikali imeshindwa basi si itoe tamko Kwa raia tuyachome makanisa Yao Hawa matapeliMambo ya imani hayo hayahitaji akili kubwa kuyang'amua. Hata Gwajima alijaza sana watu miaka ile kwa uwezo wa kufufua misukule. Watu wakapinga kuwa kamwe hawawezi amini ujinga ule.
Akaja kuomba kura kwa wanakawe. Kuna baadhi ya watu wakampa jumlisha za wizi.
Video yake ya connection kuna waumini wake hadi leo wanapinga kuwa sio yeye. Waliionaje. Usiniulize
Wajinga hawajawahi kuisha ndio maana CCM ipo hadi leo inadunda tu. Wanaanzaje kuzuia hayo makanisa. Wajinga ndio mtaji wa CCM
🤣🤣🤣akapiga simu akiwa amefariki🙄
Na serikali ipo kimya tu hadi yatokee yale ya shakahola, Kenya
Akifa yatafufukaKagame kafunga makanisa mengi sana ya wasiojielewa kama hawa
Kabisa lazima yarudi Kwa Kasi ya ajabuAkifa yatafufuka
🤣🤣🤣Mare
Marehemu kupiga simu hio ni chai ya mapera kabisa
[emoji23][emoji23][emoji23] role model wao BulldozerNi Bora Giggy Manee abaki Ila huyu jamaa afe aisee...
Kwanza shutuma alizopewa na mama wa kanisa ni nzito.Na watu wataendelea kwenda kanisani kwake .....daaaa
Kasema alikufa akiwa pekee yake na hakukuwa na mtu wa kumsaidia hivyo akalazimika kupiga simu mwenyewe!Marehemu anapiga sm makubwa haya
Tatizo siyo maji ya Mwamposa, tatizo ni kutumia hayo maji kwa ajili ya wengine. Angetumia peke yake bila kukuhusisha hakuna shida.Wife alianza kuabudu katika haya makanisa ni kampiga STOP kubwa.alikuwa anatumia mafuta ya mwamposa kila nikilala ananimwagia maji kitandani nikasema uyu anaweza kunifanya zombie bure ngoja nimuwahi.
UNgeanza kumwambia yesu kwanza
nabii mwenyewe bonge la braza manAliyekufa kwa mpango wa mwanadamu ufufuliwa kwa mpango wa Mungu huwezi.
Hata mganga wa kienyeji anayo maarifa ya kumfufua mtu
Sio dhambinabii mwenyewe bonge la braza man
This is a logical non sequitur fallacy.Tomaso