Nabii Malisa aelezea jinsi alivyomfufua mama yake mzazi mara 3

Ni fact coz tunazungumzia Mungu ambaye hatujawai muona, Lakin mkuu kuamini kama yupo kunakuja kwenye uwepo kwa Ulimwengu wa ibirisi coz yupo against na Faithfull of God.
 
Aaah chief ndio afariki alafu apige simu mwanae aje kumfufua🤣🤣🤣
Ukiamini Mungu hiyo story hutakiwi kuihoji kwamba haiwezekani.

Ukiihoji kwamba haiwezekani itakuwa kama unasema Mungu hawezi kuifanikisha iwe hivyo hivyo.

Mimi siamini Mungu wala miujiza, hivyo naweza kuipinga hii habari na kusema ni uongo.

Nilichogundua ni kwamba, watu wengi wanaosema wanamuamini Mungu, kwa kuangalia uzi huu, na wao hawamuamini Mungu.

Yani wote tumekuwa Viranga hapa.
 
Nilikuwa peke yangu,nikafariki,nikampigia simu akaja kunifufua
 
Ni fact coz tunazungumzia Mungu ambaye hatujawai muona, Lakin mkuu kuamini kama yupo kunakuja kwenye uwepo kwa Ulimwengu wa ibirisi coz yupo against na Faithfull of God.
Ukiamini kuwa Ibilisi yupo wakati Mungu hayupo ni sawa na kuamini kuwa kivuli chako kipo wakati wewe mwenyewe haupo.

Story ya Ibilisi ni ile ile ya Mungu tu, umepewa upande wa pili kuleta "conflict", waliosoma tamthiliya watajua umuhimu wa conflict katika story.

Ni hivi, Mungu hayupo, Ibilisi hayupo. Sasa waliotunga story ya Mungu walitaka kupata namna ya ku explain mabaya ya dunia yamewezekana vipi kuwepo kama Mungu ni mwema? Wakajitungia story ya Ibilisi, ambayo nayo ukiipima katika mizani ya kimantiki unaona ni ya uongo wa kitoto wa kuungaunga tu.

Hakuna Mungu, hakuna Ibilisi, hizo zote ni hadithi za kutunga za watu tu.

Tena zimepitwa sanaa na muda, ni sisi huku kwenye umasikini wa uchumi na elimu ndiyo bado tunazing'ang'ania bado tu.
 
Haya mambo haifai kuwaelezea watu wazima,waliokomaa kiakili,watoto tu na watu wazima mazombi ndo watasikiliza.

Sent from my V1901A using JamiiForums mobile app
Nilitoa kisa mwaka flani tulimpeleka dada yetu Kwa huyu jamaa ndo nikagundua ni tapeli sema kwamba Mimi nilikuwa nimegoma ila shinikizo la ndg ikatulazimu twende akaombewe asee ni utaperi mtupu Wala hakupona
 
Sishangai kwa prophet kumfufua mtu.. lakini kwa jinsi alivyo wasilisha shuhuda yake inaleta utata... But tusikatae wala kukosoa.. Tuendelee kuyaishi maisha, kwani Mungu ni wakwetu sote.. kuna nabii mmoja anakauli yake anasema "Mungu anawatu wengi"
Hilo halipo Kwa manabii Hawa kama kweli anafufua watu aende makaburini au chato akamfufue mtetezi wa wanyonge
 
Kama na Mungu anasimu sawa mkuu sikatai [emoji23][emoji23][emoji23]
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]marehemu akampigia mwanae cm akaja kumfufuaa .

Kanisaa lote likasimama nakushangiliaa Kwa shangwee na vigele gelee [emoji23][emoji23][emoji23]

Safari n ndefu haswaa Kwa hawa waumini ambao wapo km mazombi hasikii chcht Wala kuelewa chcht dhid ya utapeli wa watu wa aina hii
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…