Nabii Malisa: Mungu ameniambia Corona ni April tu, May hakuna Corona na hakuna atakayekufa!.

Paskali yuko sawa
Mungu na mungu ni vitu viwili tofauti sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Manabii na mitume wa kilokole wanapenda sana kutumia fursa za matatizo ili wapate pesa na wafuasi, na ukiangalia waumini wengi wa kilokole uwelewa wao uko chini sana haijalishi amesoma ana madigrii au cheti au hana, wao wanachoambiwa na kiongozi wao ndo wanachokariri hata ukitaka kuwaeleza ukweli wa jambo mtabishana sana, nimeona hata huko USA wahubiri mwanzoni corona ilivyoingia huko kwao walijifanya kujigamba kuwa haitapenya lakini Leo matokeo tnayaona katika TV zao huko.
Viongozi wa dini wakubali tu kuwa corona ni hatari na haiponywi kwa maujiza za madhabauni, wawaelekeze waumini wao kusikiliza maelekezo ya wataalamu wa afya.
 
Mzee pasco unaonesha ni kwa namna gani mmegawana madaraka na mkeo, unaruhusu decision making regardless Utumi wa kisukuma na mamlaka ya wanaume tuliyopewa na Mungu over wanawake.

Stesheni karibia zote hazifuati maelkezo ya mamlaka. Mwanzo niliwahi shauri, vipindi visivyo vya lazima hasa michezo au vyovyote visitishwe kwa sasa.

Nabii Malisa, sijawahi mfuatilia na simjui lkn uhuru huu wa maono sidhani hata yesu aliwahi fanya! Kuhusu corona, ni trending reading capacity kama uliyonayo wewe kwenye siasa. Kulingana na tamko la WHO, ibada na misa za Pasaka na kauli za wakuu wa nchi inaonesha hivyo kulingana na maoni yake ; huo si unabii pasco.

Pilau inanukia jikoni
 
Atageuza atasema mungu alisema april mwakani sio mwaka huu, kama anahisi corona itaisha ndani ya wiki tatu ana matatizo ya akili
 
Rias uko wapi kufunga jela hawa wanaomdharau mungu?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
ualikwe kwenda kanisani punguza basi uongo mkuu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Asante kwa kutujulisha habari za hao manabii. Wanaosoma maandiko hawatikiswi na habari za kuokoteza nje ya maandiko

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Bro gwajizo nae alipoulizwa juu ya kwanini yeye kama mtenda miujiza anaeweza kufufua watu kama kauli mbiu ya kanisa lake (ufufuo na uzima) inavyojinasaba, kwanini asitende miujiza yake kwa wagonjwa wa corona? Alichojibu.. zilongwa mbali! Zitendwa mbali! Kajisemea mzaramo.
 
Hii sentensi yako ya Mwisho, unataka tumwombe nani sasa ili haka kaugonjwa kabite???

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…