Nabii Malisa: Mungu ameniambia Corona ni April tu, May hakuna Corona na hakuna atakayekufa!.

Mkuu Mseminari Telesphore, japo nuanga mkono hoja yako ya unabii wa kupiga ramli, ila kiukweli dogo, ame ni impress sana, unabii wake sio wa ramli chonganishi, huyu kila anayemtabiria ni kumfungulia toka vifungo vya shetani ni kuwatabiria neema.
TCRA: Vipindi vya Mahubiri Kwenye TV Pia Viangaziwe/Vithibitiwe!. Mungu Yupo Ila pia Shetani Yupo! - JamiiForums
P
 
Hivi kumbe vijana huwa mnamchezea sharubu mzee wa watu kwa kumuona kijana mwenzenu na kumwambia mnachojisikia kumbe mzee wa watu yuko kwenye miaka yake 50+ huko.
 
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Umeongea kama mtu mzima, mwenye afya,asiye na njaa na ambaye anaamini Mungu hayupo. Kiburi cha uzima kinatia moyo ujasiri wa kijinga.Mwanadamu ni mortal kufa ni lazima.Namna ya kufa na muda ndio tofauti.

Mimi binafsi siamini unabii na maneno ya Malisa, ni utapeli uliozoeleka kwa wenye vikanisa vya kupiga pesa.Tunaoamini juu ya uwepo wa Mungu tunaamini kuwa anaaweza kutenda apendavyo yeye na hapangiwi muda wala namna ya kutenda.
 
Mkuu P,
Kamdesea nabii fulani huko Nigeria, alisema CORONA itaisha 27 March, tarehe ilipopita alipohojiwa vipi? Akawaambia alisema 27 March hakutaja mwaka..😀

Sasa huyu Malissa, ikifika July, akiulizwa naye atasema hakutaja mwaka..muda ni mwalimu..

Everyday is Saturday........................😎
 
Kiburi cha uzima ndio kitu gani? Kwa akili yako unadhani watu hawaoni kama Mungu hayupo kama kama wana njaa ama wanaumwa?

Hivi toka corona imeanza bado mungu hajapata muda wa kutenda? Ama toka ukimwi, ebola vimetokea Mumgu bado wakati wake wa kutenda haujafika? Sababu ni moja tu, hakuna cha muda wala nini, hayupo na kama yupo basi hana uwezo wa kutenda na hasikii. Mnaoomba mnapiga kelele tuu na kupoteza muda wenu. Mtapiga kelele sana na mtakufa na maombi yenu hayajajibiwa

Unataka kusema matumaini kwa Mungu ni pale tu una njaa, una magonjwa ila kama ni mzima Mungu hana mana tena?
 
Kwako hayupo,na hatendi hakuna cha kubishania hapo.wewe unaamini hivyo na mimi naamini kinyume chako hatuwezi kufikia mwafaka.
 
Kusema kutokuwepo ni vifo mwezi wa Aprili sio update hiyo P
Sent using Jamii Forums mobile app
No sio update. Update ni
  1. Corona status ya Maambukizi in Tanzania
  2. Idadi ya wagonjwa wapya
  3. Idadi ya waliokufa
  4. Idadi ya waliopona
  5. Idadi ya wanaendelea na matibabu
  6. Idadi ya tested
  7. Idadi ya walio kwenye quarantine
  8. Jumla kuu ya wote.
Kuendelea kuhimiza njia za kujikinga sio update
Viongozi wa dini kuwapa matumaini waumini wao kuwa Corona sio ugonjwa ni shetani tuu, tumemkabidhi Mungu sio update.
Nabii Malisa kusema Mungu amemwambia Corona mwisho April, kuanzia May hakuna tena Corona na hakuna atakayekufa sio update
P
 
Siyo nabii sema anaejiita nabii
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…