Pascal Mayalla
Platinum Member
- Sep 22, 2008
- 53,857
- 121,995
- Thread starter
-
- #161
Mimi ni Mkisto Mkatoliki, ila kwenye mahusiono nimefuata asili ya kabila langu, mmoja hatoshi!.Mayala huwa haamini uwepo was Mungu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Tuendelee kuomba wapi jomba Sasa wakati unasema tunayemwomba hatusaidii chochote..au unamaanisha nini,Waumimi wengi wa dini hua sio wazima kichwani.
Utashangaa leo watu wameenda kanisani kumuomba mungu ambae ameshindwa kuondoa corona.
Mbaya zaidi utakuta kuna wengine wamefiwa na ndugu zao sababu ya corona na bado wanaenda kumuomba Mungu, sasa sijui wanaenda kuomba kitu gani? Unaenda kuomba kitu kisicho na msaada kwako?
Tuendelee kuomba haka kagonjwa kapite.
Hehehe hivi hakuna mistari kwenye Bible inayokataza mke zaidi ya mmoja P. Is it, ngoja wake wasukununu watuambie tupate majibu hapahapa PMimi ni Mkisto Mkatoliki, ila kwenye mahusiono nimefuata asili ya kabila langu, mmoja hatoshi!.
Nilipofuatilia kwa makini kwenye Bible nikakuta hakuna amri yoyote ya Mungu ya mke mmoja, ila Wazungu ndio wameleta hizo sheria za kanisa za mke mmoja.
Niliwahi kushauri hivi
"Pongezi Rais Magufuli Kuwa Mkweli Daima. Tuanzishe Church of Africa, Tuoe Wake Wengi, Tuzae Watoto Wengi?" - JamiiForums
P
Mtu anaitwa jina alilojitambulishaSiyo nabii sema anaejiita nabii
Sent using Jamii Forums mobile app
P turejee kwenye mistari ya Bible tujue je ni mke mmoja au zaidi?which is which..wake wengi ni dhambi au sio dhambi..Mtu anaitwa jina alilojitambulisha
Muadhama Polycap Cardnali Pengo
Mtume na Nabii Josephat Mwingira
Askofu Mkuu Zakaria Kakobe
Mchungaji Kiongozi, Getrude Rwakatare
Askofu Gwajima
Professor Maji Marefu
Dr. Ngwizukulu Jilala
Dr. Mwaka
etc, wote hawa ndio majina yao.
P
Wakristo na Waislamu ni watoto wa baba mmoja, Ibrahim, Waislamu ni uzao wa mwanae wa kwanza Ismaili na Wakristo ni uzao wa mwanae wa pili Isaka.P turejee kwenye mistari ya Bible tujue je ni mke mmoja au zaidi?which is which..wake wengi ni dhambi au sio dhambi..
Yan wewe ni kiumbe wa ajabu sana. Unawashangaa wanaoenda kuabudu kanisan leo licha ya kupoteza ndugu zao kwa Corona halaf na wewe ulivyo ndorobo unamalizia kwa kusema tuombe Mungu atuondolee huu ugonjwa. Ni Mungu yupi huyo so far aliyejionesha waziwazi kutibu Corona ambaye inabidi tumuombe sote!!Waumimi wengi wa dini hua sio wazima kichwani.
Utashangaa leo watu wameenda kanisani kumuomba mungu ambae ameshindwa kuondoa corona.
Mbaya zaidi utakuta kuna wengine wamefiwa na ndugu zao sababu ya corona na bado wanaenda kumuomba Mungu, sasa sijui wanaenda kuomba kitu gani? Unaenda kuomba kitu kisicho na msaada kwako?
Tuendelee kuomba haka kagonjwa kapite.
Hivi kwenye biblia hakuna mahali kumeandikwa "Usiue"? Kwa ivo Askofu anatakiwa asiwaambie wanasiasa kwamba wasiue wanasiasa wenzao?hapo inabidi aongee,kinyume na hapo anakiwa anajiingiza kwenye kazi zisizomhusu.
Hawa watu wanaosema wamezungumza na Mungu huaga binafsi nawaogopa kama ukoma.Wanabodi,
Heri ya Pasaka.
Naangalia Live ya Pasaka kwe Wasafi TV, kipindi kinaendeshwa na Mtangazaji mahiri Lilian Mwasha ila kiukweli somo la social distancing bado halijaeleweka. Kama hii ndio media iliyopaswa kuonyesha mfano wa social distancing, lakini wao ka Studio kadogo wanarundikana watu 14!, safari bado ni mbali!.
Naomba kukiri leo ndio mara yangu ya kwanza kumsikia mtangazaji huyu na kuiangalia Wasafi TV siku ya Jumapili asubuhi, huwa naangalia Chomoza kumsikiliza Dr. Ellie. Mimi kwa agewise ni 50+, hivyo kuna ile natural conservative opinion kuwa kuna TV za wazee, kuna tv za watu wazima, kuna TV za vijana na kuna TV za watoto depending on seriousness of contents, Clouds TV, TVE na Wasafi TV, nilizihesabu ni TV za Vijana, hivyo huwa sizifuatilii sana, ila leo wife amengangana nimejikuta naangalia Wasafi TV.
Kipindi cha leo, Studio za Wasafi TV, wamealikwa wanamuziki wa kundi la The Voice, John Lissu, Masanja Mkandamizaji, na Nabii kijana anaitwa Malisa, kiukweli huyu dogo ametisha!.
Akiizungumzia Corona, Nabii Malisa amesema Mungu amezungumza nae kwa maneno ya unabii wa Corona, Mungu amemuonyesha kuwa mwisho wa janga la Corona, mwisho ni Mwezi huu April, kuanzia mwezi May, hakutakuwa na ugonjwa wa Corona tena, na kuanzia sasa hakutatokea tena vifo vya Corona nchini Tanzania, hata hivyo vifo vya Corona vilivyotokea, the cause sio Corona bali ni matatizo mengine ya kiafya ya watu hao ambayo hayakutajwa, hivyo Corona imewasindikiza tuu, kwani tayari waliishakuwa wako njia moja, hata bila ya Corona, ilikuwa safari!.
Kwanza hiki wanachokifanya studio ya Wasafi kwenye janga hili la Corona, is not right, hakuna any social distancing, wameleta kundi kubwa sana watu 14 ndani ya ka studio kadogo!, tushukuru uwepo wa Mungu mahali hapo, lakini ikitokea kuna mmoja hapo ana Corona, ni hatari sana hiki wanachofanya.
Pia anachokifanya Nabii huyu is it right?, kusema definite Corona mwisho April na hakuna tena atakayekufa kwa Corona Tanzania, live on TV?.
Kiukweli huyu Mtangazaji Lilian Mwasha is so good, ana maswali yenye akili, amempigia simu Apostle Daniel Maboyo akizungumza kutoka Arusha, akamuuliza, Tanzania kuna wahubiri wengi wa miujiza ya uponyaji tunawaona kwenye TV mbalimbali wakifanya mambezi ya uponyaji na miujiza ya uponyaji, sasa dunia na Tanzania tumekumbwa na janga la hili gonjwa la Corona, mbona hawa wahubiri hawafanyi maombezi ya kuponya Corona?, mbona hawaendi kuwaombea wagonjwa wa Corona wakaonyesha hiyo miujiza yao ya uponyaji?!.
Apostle Daniel Maboya, mezungumza jambo la msingi sana kuwa Corona ni ugonjwa wa ukweli haihitaji kuufanyia longolongo za uponyaji, amewataka Watanzania tusikilize maelekezo ya viongozi wetu wa serikali na maekezo ya kitaalamu na kumuomba Mungu atuepushe.
Simu zinapigwa watu wanaongea na Nabii Malisa anawafanyia unabii live on TV!. Kama hizi simu zinazopigwa sio arranged or premeditated, then huyu Nabii Malisa anatisha sana kwa jinsi anavyowafunulia hao wapiga simu kuhusu maisha yao, hadi watu wanalia!. Hii maana yake Nabii Malisa, ana nguvu, he has powers, swali linabaki ni jee powers hizo ni kutoka kwa nani?.
Kwenye mambo ya powers, kusema tuu "Kwa Jina la Yesu", hakutoshi!, kwasababu ni Bwana wetu Yesu Kristo mwenyewe alitufundisha kuwa, watakuja wahubiri watafanya miujiza na kutoa mapepo kwa jina lake, lakini sio wake.
Pasaka Njema.
Pasakali
Rejea za Manabii na Unabii
TCRA: Vipindi vya Mahubiri Kwenye TV Pia Viangaziwe/Vithibitiwe!. Mungu Yupo Ila pia Shetani Yupo! - JamiiForums
TZ Tulipo Sipo!. Nabii Hakubaliki Nyumbani, JF Tuna Manabii wa Kweli, Tuwatumie Walisaidie Taifa!. - JamiiForums
Mchungaji Gwajima ni Mtumishi wa Mungu wa kweli au? Asema Uongo! Adai yeye ni zaidi ya Rais... - JamiiForums
Askofu Kakobe Asipuuzwe: Ni kama David Koresh na Camp Davidians! - JamiiForums
Ama kweli nabii hakubaliki nyumbani!. Je Magufuli ni nabii? Tanzania wanambeza, Afrika wanamlilia! Tanzania yapigiwa mfano Magufuli awe Rais wa Afrika - JamiiForums
hakika,inakuwa too muchWalokole wengi huwa hawako sawa kiakili!
Mkuu una maarifa lkn haya hayajajitosheleza.Wakristo na Waislamu ni watoto wa baba mmoja, Ibrahim, Waislamu ni uzao wa mwanae wa kwanza Ismaili na Wakristo ni uzao wa mwanae wa pili Isaka.
Sheria ya Mungu ni sheria ile ile moja ya Musa, Kikristu ni Torati, Kiislamu ni Taurat.
Yesu hakuja kuitengua Torati bali kuikamilisha.
Kwa mujibu mujibu wa sheria ya Mungu, hata nyama ya kitimoto au sungura ni haramu!.
Bikira Maria na wanawake wa enzi hizo walivaa hijab, ila Wazungu wakatufanya vibaya sana.
Maadam sheria ya Mungu ni sheria moja tuu ya Musa, na hakuna popote Mungu amesema mwanaume ataoa mke mmoja, hivyo kuoa mke zaidi ya mmoja sio dhambi.
P
Hao wanabadilishaga maneno Sana ikienda mrama.Wanabodi,
Heri ya Pasaka.
Naangalia Live ya Pasaka kwe Wasafi TV, kipindi kinaendeshwa na Mtangazaji mahiri Lilian Mwasha ila kiukweli somo la social distancing bado halijaeleweka. Kama hii ndio media iliyopaswa kuonyesha mfano wa social distancing, lakini wao ka Studio kadogo wanarundikana watu 14!, safari bado ni mbali!.
Naomba kukiri leo ndio mara yangu ya kwanza kumsikia mtangazaji huyu na kuiangalia Wasafi TV siku ya Jumapili asubuhi, huwa naangalia Chomoza kumsikiliza Dr. Ellie. Mimi kwa agewise ni 50+, hivyo kuna ile natural conservative opinion kuwa kuna TV za wazee, kuna tv za watu wazima, kuna TV za vijana na kuna TV za watoto depending on seriousness of contents, Clouds TV, TVE na Wasafi TV, nilizihesabu ni TV za Vijana, hivyo huwa sizifuatilii sana, ila leo wife amengangana nimejikuta naangalia Wasafi TV.
Kipindi cha leo, Studio za Wasafi TV, wamealikwa wanamuziki wa kundi la The Voice, John Lissu, Masanja Mkandamizaji, na Nabii kijana anaitwa Malisa, kiukweli huyu dogo ametisha!.
Akiizungumzia Corona, Nabii Malisa amesema Mungu amezungumza nae kwa maneno ya unabii wa Corona, Mungu amemuonyesha kuwa mwisho wa janga la Corona, mwisho ni Mwezi huu April, kuanzia mwezi May, hakutakuwa na ugonjwa wa Corona tena, na kuanzia sasa hakutatokea tena vifo vya Corona nchini Tanzania, hata hivyo vifo vya Corona vilivyotokea, the cause sio Corona bali ni matatizo mengine ya kiafya ya watu hao ambayo hayakutajwa, hivyo Corona imewasindikiza tuu, kwani tayari waliishakuwa wako njia moja, hata bila ya Corona, ilikuwa safari!.
Kwanza hiki wanachokifanya studio ya Wasafi kwenye janga hili la Corona, is not right, hakuna any social distancing, wameleta kundi kubwa sana watu 14 ndani ya ka studio kadogo!, tushukuru uwepo wa Mungu mahali hapo, lakini ikitokea kuna mmoja hapo ana Corona, ni hatari sana hiki wanachofanya.
Pia anachokifanya Nabii huyu is it right?, kusema definite Corona mwisho April na hakuna tena atakayekufa kwa Corona Tanzania, live on TV?.
Kiukweli huyu Mtangazaji Lilian Mwasha is so good, ana maswali yenye akili, amempigia simu Apostle Daniel Maboyo akizungumza kutoka Arusha, akamuuliza, Tanzania kuna wahubiri wengi wa miujiza ya uponyaji tunawaona kwenye TV mbalimbali wakifanya mambezi ya uponyaji na miujiza ya uponyaji, sasa dunia na Tanzania tumekumbwa na janga la hili gonjwa la Corona, mbona hawa wahubiri hawafanyi maombezi ya kuponya Corona?, mbona hawaendi kuwaombea wagonjwa wa Corona wakaonyesha hiyo miujiza yao ya uponyaji?!.
Apostle Daniel Maboya, mezungumza jambo la msingi sana kuwa Corona ni ugonjwa wa ukweli haihitaji kuufanyia longolongo za uponyaji, amewataka Watanzania tusikilize maelekezo ya viongozi wetu wa serikali na maekezo ya kitaalamu na kumuomba Mungu atuepushe.
Simu zinapigwa watu wanaongea na Nabii Malisa anawafanyia unabii live on TV!. Kama hizi simu zinazopigwa sio arranged or premeditated, then huyu Nabii Malisa anatisha sana kwa jinsi anavyowafunulia hao wapiga simu kuhusu maisha yao, hadi watu wanalia!. Hii maana yake Nabii Malisa, ana nguvu, he has powers, swali linabaki ni jee powers hizo ni kutoka kwa nani?.
Kwenye mambo ya powers, kusema tuu "Kwa Jina la Yesu", hakutoshi!, kwasababu ni Bwana wetu Yesu Kristo mwenyewe alitufundisha kuwa, watakuja wahubiri watafanya miujiza na kutoa mapepo kwa jina lake, lakini sio wake.
Pasaka Njema.
Pasakali
Rejea za Manabii na Unabii
TCRA: Vipindi vya Mahubiri Kwenye TV Pia Viangaziwe/Vithibitiwe!. Mungu Yupo Ila pia Shetani Yupo! - JamiiForums
TZ Tulipo Sipo!. Nabii Hakubaliki Nyumbani, JF Tuna Manabii wa Kweli, Tuwatumie Walisaidie Taifa!. - JamiiForums
Mchungaji Gwajima ni Mtumishi wa Mungu wa kweli au? Asema Uongo! Adai yeye ni zaidi ya Rais... - JamiiForums
Askofu Kakobe Asipuuzwe: Ni kama David Koresh na Camp Davidians! - JamiiForums
Ama kweli nabii hakubaliki nyumbani!. Je Magufuli ni nabii? Tanzania wanambeza, Afrika wanamlilia! Tanzania yapigiwa mfano Magufuli awe Rais wa Afrika - JamiiForums