Kim Jong Jr
JF-Expert Member
- Mar 15, 2014
- 11,074
- 20,608
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Matapeli wa roho za watu yaani mungu aache kuongea na watu wa maana aongee na uyo malisa?
Hawana tofauti kwa kila jambo! Kuanzia namna za kupata waumini mpaka kudanganya taiga.Huyo Malisa nitofauti na Gwajima / mzee wa upako na mwamposa.?
Walokole wengi huwa hawako sawa kiakili!
Pascali. Wewe ni wa kuwasikiliza hawa manabii feki? Sikutegemea.
Bora ungewasikiliza ma padre wa RC au KKKT au ANGLICAN ningekuelewa maana angalau hawa wanayo knowledge ya theology.
Me nilijua naonaga peke yangu tu,I was biasedWalokole wengi huwa hawako sawa kiakili!
Lakini at least wamepitia darasani na wanafahamu angalau basics za psychology. Huwezi kuwa kompea na mzee wa upako au huyu aliyesababisha vifo MoshiKnowledge ya theology kila kanisa linajiamulia iweje,haiwezi kufanana kwa sehemu kubwa.
Sent using Jamii Forums mobile app
It is better to be a little learner who is bright and brilliant, than being a slow learner like you. Nilikwambia tuache mapema wewe ndio uliendeleza ujinga wako.CORONA ipo jilinde,leo wameongezeka 14.Mkuu tuachane na hayo, nimeshaona huna akili wala uwezo wa kuelewa haya mambo. Sababu moja kubwa ni kua wewe ni little learner. Endelea na maombi yako.
Hata huelewi nilichokwambia. Yaani uwe little learner halafu uwe bright na brilliant? Mbona vituko😀. Ukishakua little learner maana hake shule ndogo, limited exposure, low thinking capacity, poor reasoning na mambo kama hayo. Hujawahi kusikia wanasema little learning is very hazardous? Toka lini little learning ikachangamana na brilliance & brightness? Aisee!It is better to be a little learner who is bright and brilliant, than being a slow learner like you. Nilikwambia tuache mapema wewe ndio uliendeleza ujinga wako.CORONA ipo jilinde,leo wameongezeka 14.
Una kariri sana, wewe unamaana moja tu?.Rudi kwenye dictionary yako upate maana nyingi kisha urudi ukiwa na uelewa kamaili.Mimi ulicho maanisha nakijua, lakini wewe huelewi nilicho maanisha, kwasababu lexicon yako ina ufinyu wa uelewa ndugu hakimu.Umekariri hilihilo?.Hata huelewi nilichokwambia. Yaani uwe little learner halafu uwe bright na brilliant? Mbona vituko😀. Ukishakua little learner maana hake shule ndogo, limited exposure, low thinking capacity, poor reasoning na mambo kama hayo. Hujawahi kusikia wanasema little learning is very hazardous? Toka lini little learning ikachangamana na brilliance & brightness? Aisee!
Siyo kweli. Mbona Marekani wanatangaza kuwa race ya weusi nchini humo ndiyo inayoteketea zaidi kwa corona?Huwa wanasema baada ya kusoma ramani, kwa vyovyote mpaka sasa Wazungu ndio waathirika zaidi ukilinganisha na inavyotokea huku Afrika, na bado hakuna sababu rasmi ya kisayansi ya kujua ni kwa nini inakuwa hivyo.
Ninachotamani kusikia kutoka kwao ni kile walichoambiwa na Mungu kwamba ndio sababu ya Wazungu kuathirika zaidi.
Ni sawa hata mimi nina hizo taarifa.Siyo kweli. Mbona Marekani wanatangaza kuwa race ya weusi nchini humo ndiyo inayoteketea zaidi kwa corona?
Sent using Jamii Forums mobile app