Nabii Malisa: Mungu ameniambia Corona ni April tu, May hakuna Corona na hakuna atakayekufa!.

Nabii Malisa: Mungu ameniambia Corona ni April tu, May hakuna Corona na hakuna atakayekufa!.

Mkuu tuachane na hayo, nimeshaona huna akili wala uwezo wa kuelewa haya mambo. Sababu moja kubwa ni kua wewe ni little learner. Endelea na maombi yako.
It is better to be a little learner who is bright and brilliant, than being a slow learner like you. Nilikwambia tuache mapema wewe ndio uliendeleza ujinga wako.CORONA ipo jilinde,leo wameongezeka 14.
 
It is better to be a little learner who is bright and brilliant, than being a slow learner like you. Nilikwambia tuache mapema wewe ndio uliendeleza ujinga wako.CORONA ipo jilinde,leo wameongezeka 14.
Hata huelewi nilichokwambia. Yaani uwe little learner halafu uwe bright na brilliant? Mbona vituko😀. Ukishakua little learner maana hake shule ndogo, limited exposure, low thinking capacity, poor reasoning na mambo kama hayo. Hujawahi kusikia wanasema little learning is very hazardous? Toka lini little learning ikachangamana na brilliance & brightness? Aisee!
 
Mkuu religion is the Opium of the society. Ni ulevi tu! Kama hujalewa huwezi kushiriki na kuamini ulevi wa walevi. Kuna mzee mmoja aliwalevya hadi viongozi wetu wakubwa kabisa katika nchi hii wakaandamana kwenda kwake kunywa kikombe. Wengine walishakufa kwa kuendekeza ulevi huo bila kutumia akili na wengine bado tunao lakini ni walevi tu pamoja na phd zao na bado wanaendekeza ulevi wa dini katika janga hili la korona. Ulevi uko wa aina nyingi.
KUHANI.jpg

Sasa kama huu si ulevi na wendawazimu ni nini?
 
Hata huelewi nilichokwambia. Yaani uwe little learner halafu uwe bright na brilliant? Mbona vituko😀. Ukishakua little learner maana hake shule ndogo, limited exposure, low thinking capacity, poor reasoning na mambo kama hayo. Hujawahi kusikia wanasema little learning is very hazardous? Toka lini little learning ikachangamana na brilliance & brightness? Aisee!
Una kariri sana, wewe unamaana moja tu?.Rudi kwenye dictionary yako upate maana nyingi kisha urudi ukiwa na uelewa kamaili.Mimi ulicho maanisha nakijua, lakini wewe huelewi nilicho maanisha, kwasababu lexicon yako ina ufinyu wa uelewa ndugu hakimu.Umekariri hilihilo?.
 
Mkuu Promethus, Asante.
Msimamo laini laini ni kutumia formular ya if you can’t beat them, join them,

Wakatoliki tunayo TV Tumaini
P
 
Huwa wanasema baada ya kusoma ramani, kwa vyovyote mpaka sasa Wazungu ndio waathirika zaidi ukilinganisha na inavyotokea huku Afrika, na bado hakuna sababu rasmi ya kisayansi ya kujua ni kwa nini inakuwa hivyo.

Ninachotamani kusikia kutoka kwao ni kile walichoambiwa na Mungu kwamba ndio sababu ya Wazungu kuathirika zaidi.
Siyo kweli. Mbona Marekani wanatangaza kuwa race ya weusi nchini humo ndiyo inayoteketea zaidi kwa corona?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Corona kwa Tanzania is a white wash( yaani inamadhara kidogo) ila wenzetu wazungu kwa mashauzi wanaita black wash(ia madhara makubwa) kwahio corona dio madhara kws Tanzania.
 
Siyo kweli. Mbona Marekani wanatangaza kuwa race ya weusi nchini humo ndiyo inayoteketea zaidi kwa corona?

Sent using Jamii Forums mobile app
Ni sawa hata mimi nina hizo taarifa.

Lakini mpaka sasa hakuna nchi iliyopo Africa iliyopigwa kama hizo za Ulaya na Marekani.

Hata kwa hao Wamarekani Weusi wanaoishi huko watafute sababu ni nini.
 
Back
Top Bottom