Nabii Mkuu Dkt Geordavie amzawadia gari la kifahari BMW X5 msanii Mkaliwenu

Huyu nabii ni km amesoma alama za nyakati kwa sasa bila ya kuwa na chawa bongo hii utadoda so anatengeneza machàwa wake ili kila kona wamtaje yeye.

reminding you ni mpenda sifa sana sana
 
Mkali wao mnk kwangu mm si mkali wngu chunga tu ndogo yako Ni haya tu mkali wao
 
All in all uchawa kwa sas inalipa haswaa na ndivyo matajiri na wanasiaaa wanachotafuta kusifiwa na kisha kugawa pesa na kugawa madaraka mm mwenye kuna diwani mmjoaj mwanamama namsifiaga sna unasiki tu goro pitia dukani kwangu jioni nashanga ananikunjia 30 ananimbiaga nenda kapige bia mwanagu wee Ni mpiga kura wangu na nakupenda sna angejuwa mm huwa sipigi kura kbsa bas nakunja zangu 30 nasepa wkt mwingine tunakutana kimara stop over ananimwagia bia mezani Kisha nakuondoka .so uchawa uanlipa
 
Usiache uchawa ndio zama zake hizi
 
Sasa ana nguvu za kulihudumia au amepewa mzigo mzito kuliko uwezo wake?.
 
Hizo ni pesa za Waumini Jamaa anazifuja tu atakavyo hana uchungu nazo.

Waumini wakitoka hapo wakapambane waamke saa kumi alfajiri wakauze uji stendi waende wakatoe sadaka nyingine Nabii atafute kwa kuzipeleka.
 
Vizuri...anarudisha fadhila ?
 

Tena ukiwa nae wala haumuombi hela unampamba unamweleza vijana huko wanakukubali sana wanajiuliza ubunge hautaki au, unamweleza wapambanaji tena ambao hatuna tamaa tupo wakati huo hata kitambulisho cha mpiga kura hauna
 
Unamkawizia nini sasa mzee?!
 
Kwamba nabii kakunwa. Naomba ufafanuzi apa
 
Wana mnnadai hiyo sio gari ya kifahari, mi nadhani fahari ni proud kwa kingereza, hivo kama ndivyo basi hiyo ni gari ya kifahari hata kwangu
kwahiyo i am proud of you ni nimefaharika kwako?
 
Wana mnnadai hiyo sio gari ya kifahari, mi nadhani fahari ni proud kwa kingereza, hivo kama ndivyo basi hiyo ni gari ya kifahari hata kwangu
Wabongo si wajuaji. Show room bila million 5O huuziwi hio gari watu wanafikiri ni kama dhaihtsu mira hio ya million 8
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…