Daudi Mchambuzi
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 62,197
- 128,160
Unawashwa kinyeo wewe.Halafu ni shabiki mwenzakobwa uto ukiacha na yule alietaka kumpa mayele t@ko uto wengi mnapenda ganda la ndizi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unawashwa kinyeo wewe.Halafu ni shabiki mwenzakobwa uto ukiacha na yule alietaka kumpa mayele t@ko uto wengi mnapenda ganda la ndizi
“Imani yake ni kubwa na anastahili reward (zawadi) na ninayainua maisha yako kwa kukuzawadia gari aina ya BMW X5”alisema nabii huyo
Hpn siwez ruka nae coz kaka ake mwenyewe aliwai kuwa mtu mzito Sana ktk jeshi la police .....na wanaomtafuna mdg ake Ni wanna ccm wazee fln HV wanoko so mm sikupendi kwenda kuweka nyama zangu mleUnamkawizia nini sasa mzee?!
Duhhhhhhh.Hawezi tunza E70 iyo ina matatizo kuliko ndoa ya Masanja.
Punguza makasirikobmw hiyo ndio gari ya kifahari?
BMW....? Bure..?Napenda kumpongeza sana msanii wa tasnia ya uigizaji na uchekeshaji bwana Mkaliwenu baada ya kuzawadiwa gari aina ya BMW 5 na kiongozi mmoja wa dini pamoja na kiasi cha shilingi milioni moja
Kwakweli hii ni hatua kubwa sana na pia ni funzo kwa vijana wote pamoja na wasanii wengine kutokana na hili, kinachoonekana ni bwana mkaliwenu kuchangamkia fursa kwa kiongozi huyo baada ya kuona ulaji upo, na hii imeendelea kusisitizwa kwa vijana wengi duniani kuhusu kuchangamkia fursa mbalimbali zionekanazo, sasa nashangaa baadhi ya watu mbalimbali wakiona wivu ikiwemo na wasanii wengine pamoja na hata watu wa jf wakidai ety ni kujishobokesha! na maneno mengine ya shombo! Like serious!!??
Kwangu me nampongeza sana kijana mwenzangu na pia nampa hongera sana kwani katupa funzo pia la kuchangamkia fursa na kutokata tamaa, maana maneno mengi yaliongelewa kabla ya release ya nyimbo, but mwisho wa siku watu wanashangaa huku wakiona wivu mchizi umevuta chuma kikali kwa gharama ya bure!! Wakati wao hawana! [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
BIG UP MKALIWENUView attachment 2378530
Changamki fursa mzeeh, achana na mindset za kipumbavBMW....? Bure..?
Just alitunga wimbo wa kumsifia kigogo mmoja wa dini, jamaa akaula bmwIlikuaje akapewa BMW,tufafanulieni jamani