Song of Solomon
JF-Expert Member
- Aug 5, 2021
- 2,752
- 5,609
Wamelazimishwa kusali huko?Upumbavu wa hali ya juu
Mnawatesa wakristo wasio na hatia
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wamelazimishwa kusali huko?Upumbavu wa hali ya juu
Mnawatesa wakristo wasio na hatia
Kwamba[emoji2089][emoji2089][emoji2089][emoji2089][emoji2089]Oke jamaa aligusa penyewe[emoji23]
Mimi mwenyewe nimewaza nje ya box[emoji2089]Kijambio cha Mkali wenu kipo salama kweli, Tamaa zinaenda kumponza Mwaikimba wa mkali wenu
Geordavie anaweza kuwa ni miongoni mwa manabii wa kizazi hiki mwenye akili kubwa. Just imagine, anampa Gari mtu kama Mkaliwenu, Goodluck Gozbert, mshikaji aliwahi kumshout-out Harmonize kanisani, that Interview na Millard Ayo went viral too... Sasa huyu jamaa anacheza na watu wenye ushawishi to get his name exposed kwenye media (which isn't bad). Hongera Mkaliwenu.Katika hali isiyo ya kawaida mchekeshaji aliyejizolea umaarufu mitandaoni Jackson Sakwile maarufu kama “Mkaliwenu “ametunikiwa gari la kifahari aina ya BMW X5 na Nabii maarufu nchini Dk GeorDavie baada ya kukunwa na mashairi ya nyimbo aliyoitunga kwa ajili yake.
Tukio hilo lilitokea hivi karibuni katika eneo la Kisongo katika huduma ya Ngurumo ya Upako ambayo inaendeshwa na nabii huyo ambaye hivi karibuni amejizolea umaarufu kwa kutoa misaada na zawadi kwa makundi mbalimbali ndani ya jamii.
Akihojiwa na waandishi wa habari mchekeshaji huyo amesema kwamba anamshukuru Nabii Dkt GeorDavie kwa kumzawadia gari hilo kwa kuwa hakuwahi kuwa na ndoto ya kumiliki gari lenye thamani kubwa kama hilo.
Mchekeshaji huyo mwenye mbwembwe amesema kwamba awali wakati akitunga na kisha kutoa nyimbo hiyo baadhi ya wasanii nchini ambao hakuwataja kwa majina walimdhihaki kwa kumwambia kuwa njaa itamuua lakini yeye alifanya hivyo kwa mapenzi kwa Nabii Dkt GeorDavie.
“Wasanii wengi waliniponda kwa kuniambia njaa itaniua lakini namshukuru Mungu amejibu maombi “amesema Mkaliwenu
Hatahivyo,amesisitiza kuwa anamkubali Nabii Dkt GeorDavie kwa kuwa mbali na mafundisho yake kuhusu kanuni za kumjua Mungu lakini pia anafundisha kanuni za kuondokana na umaskini.
Mchekeshaji huyo mbali na kupewa gari hilo la kifahari pia alizawadiwa kiasi cha sh,1 milioni za mafuta huku akisisitiza kwamba imani yake hatimaye imezaa matendo.
Awali katika mahubiri yake Dkt GeorDavie alisisitiza kuwa lengo la kumzawadia gari msanii huyo limekuja kutokana na imani na hivyo anastahili tuzo hiyo.
“Imani yake ni kubwa na anastahili reward (zawadi)na ninayainua maisha yako kwa kukuzawadia gari aina ya BMW X5”alisema nabii huyo huku umati wa waumini kanisani hapo ukilipuka kwa shangwe
Huu ni mwendelezo wa nabii mkuu Dkt GeorDavie kutoa zawadi mbalimbali kwa makundi mbalimbali kwenye jamii ambapo hivi karibuni ameonekana akitoa misaada ya mitaji kwa wajasiriamali wadogo wadogo,bajaji,fedha za mitaji na magari kwa wasanii mbalimbali nchini kitendo ambacho kimemjengea umaarufu ndani na nje ya mipaka ya nchi.
Mwisho
Safi Sana, hongera yake.Just alitunga wimbo wa kumsifia kigogo mmoja wa dini, jamaa akaula bmw
Kwenye picha kuna waumini wanashangilia gari ikikabidhiwa 😂Sadaka kama sadaka
Halafu naona ni DK inamaana amempa alilokuwa anatumia yeye?
Ni ya kifahari... Ndio maana ukienda pale magogoni unazikutabmw hiyo ndio gari ya kifahari?
Kaimba Song of Solomon 😁Kwamba[emoji2089][emoji2089][emoji2089][emoji2089][emoji2089]
Ndugu ma-rain bow hao....za chn kabisaKatika hali isiyo ya kawaida mchekeshaji aliyejizolea umaarufu mitandaoni Jackson Sakwile maarufu kama “Mkaliwenu “ametunikiwa gari la kifahari aina ya BMW X5 na Nabii maarufu nchini Dk GeorDavie baada ya kukunwa na mashairi ya nyimbo aliyoitunga kwa ajili yake.
Tukio hilo lilitokea hivi karibuni katika eneo la Kisongo katika huduma ya Ngurumo ya Upako ambayo inaendeshwa na nabii huyo ambaye hivi karibuni amejizolea umaarufu kwa kutoa misaada na zawadi kwa makundi mbalimbali ndani ya jamii.
Akihojiwa na waandishi wa habari mchekeshaji huyo amesema kwamba anamshukuru Nabii Dkt GeorDavie kwa kumzawadia gari hilo kwa kuwa hakuwahi kuwa na ndoto ya kumiliki gari lenye thamani kubwa kama hilo.
Mchekeshaji huyo mwenye mbwembwe amesema kwamba awali wakati akitunga na kisha kutoa nyimbo hiyo baadhi ya wasanii nchini ambao hakuwataja kwa majina walimdhihaki kwa kumwambia kuwa njaa itamuua lakini yeye alifanya hivyo kwa mapenzi kwa Nabii Dkt GeorDavie.
“Wasanii wengi waliniponda kwa kuniambia njaa itaniua lakini namshukuru Mungu amejibu maombi “amesema Mkaliwenu
Hatahivyo,amesisitiza kuwa anamkubali Nabii Dkt GeorDavie kwa kuwa mbali na mafundisho yake kuhusu kanuni za kumjua Mungu lakini pia anafundisha kanuni za kuondokana na umaskini.
Mchekeshaji huyo mbali na kupewa gari hilo la kifahari pia alizawadiwa kiasi cha sh,1 milioni za mafuta huku akisisitiza kwamba imani yake hatimaye imezaa matendo.
Awali katika mahubiri yake Dkt GeorDavie alisisitiza kuwa lengo la kumzawadia gari msanii huyo limekuja kutokana na imani na hivyo anastahili tuzo hiyo.
“Imani yake ni kubwa na anastahili reward (zawadi)na ninayainua maisha yako kwa kukuzawadia gari aina ya BMW X5”alisema nabii huyo huku umati wa waumini kanisani hapo ukilipuka kwa shangwe
Huu ni mwendelezo wa nabii mkuu Dkt GeorDavie kutoa zawadi mbalimbali kwa makundi mbalimbali kwenye jamii ambapo hivi karibuni ameonekana akitoa misaada ya mitaji kwa wajasiriamali wadogo wadogo,bajaji,fedha za mitaji na magari kwa wasanii mbalimbali nchini kitendo ambacho kimemjengea umaarufu ndani na nje ya mipaka ya nchi.
MwishoView attachment 2378181View attachment 2378182View attachment 2378183View attachment 2378184
Usisahau kuleta mrejesho litapo kukuta jamboAll in all uchawa kwa sas inalipa haswaa na ndivyo matajiri na wanasiaaa wanachotafuta kusifiwa na kisha kugawa pesa na kugawa madaraka mm mwenye kuna diwani mmjoaj mwanamama namsifiaga sna unasiki tu goro pitia dukani kwangu jioni nashanga ananikunjia 30 ananimbiaga nenda kapige bia mwanagu wee Ni mpiga kura wangu na nakupenda sna angejuwa mm huwa sipigi kura kbsa bas nakunja zangu 30 nasepa wkt mwingine tunakutana kimara stop over ananimwagia bia mezani Kisha nakuondoka .so uchawa uanlipa
Wana uhitaji vipi wakati hilo gari wamenunua hao hao waumini? Au huyo nabii ana biashara nyingine zaidi ya kanisa?Nabii,waumini wako wana uhitaji kibao,unatoa magari kwa wasanii.
Watu wajinga ni mtajiKwenye picha kuna waumini wanashangilia gari ikikabidhiwa 😂