Nabii Mkuu Dkt Geordavie amzawadia gari la kifahari BMW X5 msanii Mkaliwenu

Nabii Mkuu Dkt Geordavie amzawadia gari la kifahari BMW X5 msanii Mkaliwenu

All in all uchawa kwa sas inalipa haswaa na ndivyo matajiri na wanasiaaa wanachotafuta kusifiwa na kisha kugawa pesa na kugawa madaraka mm mwenye kuna diwani mmjoaj mwanamama namsifiaga sna unasiki tu goro pitia dukani kwangu jioni nashanga ananikunjia 30 ananimbiaga nenda kapige bia mwanagu wee Ni mpiga kura wangu na nakupenda sna angejuwa mm huwa sipigi kura kbsa bas nakunja zangu 30 nasepa wkt mwingine tunakutana kimara stop over ananimwagia bia mezani Kisha nakuondoka .so uchawa uanlipa
Bia? Uchawa unalipa kwa bia?

Loh
 
Back
Top Bottom