Nabii Mkuu Dkt Geordavie amzawadia gari la kifahari BMW X5 msanii Mkaliwenu

Geordavie anaweza kuwa ni miongoni mwa manabii wa kizazi hiki mwenye akili kubwa. Just imagine, anampa Gari mtu kama Mkaliwenu, Goodluck Gozbert, mshikaji aliwahi kumshout-out Harmonize kanisani, that Interview na Millard Ayo went viral too... Sasa huyu jamaa anacheza na watu wenye ushawishi to get his name exposed kwenye media (which isn't bad). Hongera Mkaliwenu.
 
Mkuu, hiyo ulioweka ni BMW X5 G series (G05) ya mwaka 2019, bei yake ni kama mara 5 ya aliopewa (Kapewa E70 ya mwaka 2007).

Picha uliyoweka (G05) 2019
Picha aliyopewa (E70) 2007

 
Ndugu ma-rain bow hao....za chn kabisa
 
Usisahau kuleta mrejesho litapo kukuta jambo
 
Nabii,waumini wako wana uhitaji kibao,unatoa magari kwa wasanii.
Wana uhitaji vipi wakati hilo gari wamenunua hao hao waumini? Au huyo nabii ana biashara nyingine zaidi ya kanisa?
 
Historical Churches ziliwekeza sana kwenye huduma za Afya (Hospital) na Elimu (Mashule,Vyuo). Ni huduma zilizosaidia wengi bila gharama kubwa.Wasomi wengi wametoka kwenye shule hizi na kupata tiba kwenye hopistali zile.

Modern Churches (Business Churches), hawana muda na fedha za kuanzisha taasisi zenye kusaidia wengi.zimewekea kwenye kutukuza mtu binafsi yeye kama yeye, na biashara zao hizo zinayumba tu Pale mwanizilishi wake anapo fariki. Ukiimba nyimbo za kutukuza yeye, una pewa pesa au gari!! HIVYO ZITAKUJA NYIMBO NA MASHAIRI KUTOKA HUKO NA KULE YA KUMTUKUZA NABII MKUU NA SIO YESU KRISTO.
 
Nabii mkuu natengeneza kikosi cha machawa
 
Nabii anatumia chopper ... siku akipita barabarani msafara wake ni kama raisi.

Anyway "Fateni wanayofundisha msifate wanayofanya" Alisema Yesu"
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…