Nabii mkuu Dkt. Geordavie asheherekea kumbukizi yake ya kuzaliwa, watu maarufu wahudhuria

Nabii mkuu Dkt. Geordavie asheherekea kumbukizi yake ya kuzaliwa, watu maarufu wahudhuria

20230423_155613-1024x890.jpg
20230423_155539-1024x940.jpg


Tarehe 25 Mwezi April ni kumbukizi ya Nabii Mkuu Mh Dokta GeorDavie kukumbuka siku yake ya kuzaliwa ambapo Maelfu ya waumini wa huduma ya Ngurumo ya Upako walisherekea kwa pamoja huku wageni kutoka nchi mbali mbali kutoka nchini Congo, South Africa, Kenya na maeneo mbali mbali ya pembezoni ya dunia walikuwepo katika siku hii muhimu kwa Nabii Mkuu.

Awali akizungumzia siku hiyo muhimu kwake Mh Nabii Geordavie Mkuu amesema kwamba siku hiyo ilikuwa ifanyike tarehe 25 mwezi April lakini kutokana na siku hiyo kuangukia siku ya kazi na sio siku ya huduma, hivyo kupelekea kufanyika siku ya juma pili ya tarehe 23 kwa lengo la wana Ngurumo kupata fursa ya kusherekea pamoja na Nabii Mkuu Mh Dokta GeorDavie .

Nabii Mkuu Mh Dokta GeorDavie amesema wakati anakumbuka siku yake ya kuzaliwa anashukuru Mungu amefanikiwa kusaidia jamii katika kutoa misaada mbali mbali ikiwemo mitaji kwa vijana wanawake wazee na rika mbali mbali ambapo mpaka kufikia mwaka huu wa 2023 amesha tumia kiasi cha shilingi Milioni 400 kugusa jamii katika kutoa mitaji kugawa piki piki bajaji vifaa vya studio kwa wasanii , mitaji kwa wafanya biashara wa soko la Samunge jijini Arusha na wengine wengi kutoka mikoani pamoja na nje ya nchi ambapo Nabii Mkuu Mh Dokta GeorDavie amegusa jamii kwa mahitaji muhimu .
20230423_184424-1024x461.jpg
20230423_184435-1024x461.jpg
View attachment 2597991

Duh! Nabii Mkuu Mh Dr. Huku kujikweza si mchezo.
 
Kusaidia watu hakumpi uhalali wa unabii wake wa kiibilisi.
Ukipewa elfu kwa masharti ya utoe tano kuna shida gani hapo?
 
20230423_155613-1024x890.jpg
20230423_155539-1024x940.jpg


Tarehe 25 Mwezi April ni kumbukizi ya Nabii Mkuu Mh Dokta GeorDavie kukumbuka siku yake ya kuzaliwa ambapo Maelfu ya waumini wa huduma ya Ngurumo ya Upako walisherekea kwa pamoja huku wageni kutoka nchi mbali mbali kutoka nchini Congo, South Africa, Kenya na maeneo mbali mbali ya pembezoni ya dunia walikuwepo katika siku hii muhimu kwa Nabii Mkuu.

Awali akizungumzia siku hiyo muhimu kwake Mh Nabii Geordavie Mkuu amesema kwamba siku hiyo ilikuwa ifanyike tarehe 25 mwezi April lakini kutokana na siku hiyo kuangukia siku ya kazi na sio siku ya huduma, hivyo kupelekea kufanyika siku ya juma pili ya tarehe 23 kwa lengo la wana Ngurumo kupata fursa ya kusherekea pamoja na Nabii Mkuu Mh Dokta GeorDavie .

Nabii Mkuu Mh Dokta GeorDavie amesema wakati anakumbuka siku yake ya kuzaliwa anashukuru Mungu amefanikiwa kusaidia jamii katika kutoa misaada mbali mbali ikiwemo mitaji kwa vijana wanawake wazee na rika mbali mbali ambapo mpaka kufikia mwaka huu wa 2023 amesha tumia kiasi cha shilingi Milioni 400 kugusa jamii katika kutoa mitaji kugawa piki piki bajaji vifaa vya studio kwa wasanii , mitaji kwa wafanya biashara wa soko la Samunge jijini Arusha na wengine wengi kutoka mikoani pamoja na nje ya nchi ambapo Nabii Mkuu Mh Dokta GeorDavie amegusa jamii kwa mahitaji muhimu .
20230423_184424-1024x461.jpg
20230423_184435-1024x461.jpg
View attachment 2597991
Kwa jinsi huyo nabii wa mchongo alivyowashika akili waumini wake, nina uhakika hata siku akiwaambia wafunge mpaka kufa ili waende mbinguni wengi wao watafanya hivyo.

Birthday yake inawahusu nini waumini wake mpaka kanisa zima lifanye sherehe?
 
Wakristo sasa tuamke, ikiwezekana tuwapige mawe hawa washenzi na matapeli.
Ni heri waanzishe dini zao zisizohusiana na Ukristo
Huo unabii kapewa na nani?
Nani alimuapprove kuwa ndiye nabii na kuwa mkuu wa wengine?

Ni mashuhuda gani walikuwepo ktk hilo tendo la approving ya huyo nabii ili kujihakikishia ama kushuhudia tendo hilo zito?

Kwa unabii upi haswa alioufanya unaoweza kumfanya awe na hicho cheo zaidi ya wengine(ukuu).

Ktk maandiko manabii wengi walikuwa wakipewa hizo karama chini ya mpaka mafuta ambaye anakuwa kama mtoa upako/nguvu kwa nabii mpya ikiwezekana ktk umati wa watu ama shuhuda wa hilo tendo, kama sio mashahid bas kunakuwa na dalili/tabili za ujio wa huyo nabii kabla hajazaliwa ama akizaliwa kuwa na utofauti ktk jamii[emoji23][emoji23].

Je huyo TAPELI geordavie kapewa na nani huo unabii? Acheni kudanganywa na hao wachawi na washirikina wanaotumia dini kuwadanganya.
 
Baadae wamchangia tena sadaka. Mtu akiniambia ameokoka nakaa nae mbali sana maana najua nipo karibu na kichaa msafi.

Tatizo unaiangalia mambo kwa dimesion ndogo. Kwa hivyo mchezaji mpira akivuta bangi, utasema wachezaji mpira wote ni wavuta bangi. Usiutukane ulokole kisa wahuni wachache wanao tumika ili kuharibu sifa ya upentekoste.
 
Kwa hiyo Nabii ametimiza miaka mingapi?
Maana Nabii amechubua mnoo kiasi cha kupoteza uhalisia wa umri wake na rangi yake halisi ya ngozi.
 
Kwa jinsi huyo nabii wa mchongo alivyowashika akili waumini wake, nina uhakika hata siku akiwaambia wafunge mpaka kufa ili waende mbinguni wengi wao watafanya hivyo.

Birthday yake inawahusu nini waumini wake mpaka kanisa zima lifanye sherehe?

Kweli kabisa wanamuamini kuliko chochote.
 
Geo Davie ni jamaa yake sana Gambo. Wote wamekaa kitapeli tapeli tu
 
Wakristo sasa tuamke, ikiwezekana tuwapige mawe hawa washenzi na matapeli.
Ni heri waanzishe dini zao zisizohusiana na Ukristo

Tatizo hao washirika wake wanakiburi kuliko, wapo tayari kuua mtu akimgusa huyo nabii. Yani wakristo tumekubali kugawanyika kwa Hawa matapeli ndio maana wanajiona wao ndio wameushikilia ukristo kumbe sio ni wapigaji.

Huyo jamaa tangu nione alama ya jicho kwenye ghorofa lake nilimwekea kiulizo mpaka leo.
 
Kwa hiyo Nabii ametimiza miaka mingapi?
Maana Nabii amechubua mnoo kiasi cha kupoteza uhalisia wa umri wake na rangi yake halisi ya ngozi.
Sijui kwanini aliamua kujichubua kiasi kile. Maana hata huwa wanaona aibu kuonesha picha zake za zamani maana ni watu wawili tofauti.
 
Tatizo hao washirika wake wanakiburi kuliko, wapo tayari kuua mtu akimgusa huyo nabii. Yani wakristo tumekubali kugawanyika kwa Hawa matapeli ndio maana wanajiona wao ndio wameushikilia ukristo kumbe sio ni wapigaji.

Huyo jamaa tangu nione alama ya jicho kwenye ghorofa lake nilimwekea kiulizo mpaka leo.
Please nirushie picha ya hilo gjorofa.
Kuna waumini wajinga sana
 
Hili tapeli la kinyiramba limewakamata vibaya wameru, wamasai na wachagga.
 
Nabii gani anapenda kujisifu na kusifiwa kuliko Mungu? Nabii gani anaishi maisha ya anasa na ufahari kuliko waumini wake? Hawa ndio manabii wa mchongo kulaghai watu huku hatuoni matendo ya manabii wa ukweli
George David Malembeka aliishi muda mwingi maisha ya dhiki kwenye vibanda vya manamba Burka Estate, Ngaramtoni ya Chini Arusha sasa anafurahia utajiri usiojulikana umetokea wapi🙄
 
Back
Top Bottom