Uchaguzi 2020 Nabii Mkuu Geo Davie: Mchagueni Magufuli, acheni ushabiki

Sio kosa kisheria kula cha madhabahuni

USSR

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Lazima aongee hayo kama kurudisha fadhila kwa kutoamuliwa makanisa kufungwa Kama ilivyo mashule na vyuo maana ingewaweka kwenye wakati mgumu sana iwapo makanisa pia yangefungwa kwa ajili ya corona
Tungelipa sadaka kwa simu


USSR

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nasubiri CCM waseme asichanganye dini na siasa!
 
Hapo hajachanganya kabisa dini na siasa kwa mujibu wa chama cha waliokabidhi akili.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Lumumba bana, huyu kwa sababu kasifu na kaabudu, hata akiomba uraia kesho anapewa!!! utasikia kwanza huyu jamaa ni mpemba kakulia pale mwaneromango
Mbona huyu ni mtanzania mkuu, huyu ni mtu wa Singida kama sijakosea.
 
Akafie mbele.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…