Nabii Mkuu, Geor Davie wa Arusha tafadhali Sana mtumishi

Nabii Mkuu, Geor Davie wa Arusha tafadhali Sana mtumishi

Sasa kama ulikuwa hujui mimi ni Katibu wa Kanisa la Ngurumo Upako sijui utakatiza wapi unless hujui nguvu ya Katibu
Hakuna ufalme katika anga za Mungu wewe wajua why Nina shida nae , usijitwishwe ufalme ambao hauna ,tulia , ACHA yeye mtumishi aongee ,umeelewa, yani mtu apigane KWa uflume wa Mbigu alafu wewe waja na hoja nyepesi ,unatakiwa kufukuzwa Kama ningekua Mimi, kaa Kimia nakwambia
 
Personal number hutolewa na mtu mwenyewe, ukiwa na number binafsi ya mtu, huruhusiwi kuigawa, tumia hiyo ya mwisho 91 utampata kiofisi, akikubali ni yeye atakupa personal number yake.
Ila we dogo, uwe na lugha ya heshima, usilete maneno ya chooni humu!, kuchamb. ni neno la chooni!.
P
Sawa mkuu ila nataka no yake
 
Pole sana!, hii bundle ulioitumia kuposti humu jf ungeitumia kum google ungeisha ipata number yake wala bandiko hili halikuhitajika!.

Sasa hivi tunaishi kwenye cyber world, ukimtafuta mtu yoyote una google tuu jina lake na contact details zinakuja!

CONTACT​


P.O.Box 2566, Arusha,
Tanzania East Africa

Email: gdm@geordavie.org

Phones: ARUSHA HEADQUATERS
+255 739 978 048 (HQ Office)
+255 784 31 51 91 (WhatsApp)
+255 754 31 51 91 (WhatsApp)
+255 715 31 51 91 (WhatsApp)

+255 712 11 22 44 (Dar Branch)
+255 687 066 742 (Dar City Center)
+255 765 438 983 (Mwanza City C)
+255 752 792 978 (Mbeya City C)
P
Hizi number zote ni zake?[emoji3064]
 
Sasa kama ulikuwa hujui mimi ni Katibu wa Kanisa la Ngurumo Upako sijui utakatiza wapi unless hujui nguvu ya Katibu
katibu kama katibu.....nimemkubuka katibu wa "pasta" masanja...[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Ongea vizuri na katibu Ngongo hapo, halafu kama wewe ni dume usitumie tena neno kuchamba, kingine fuata ushauri unapomtaja mtu anza na cheo chake ndio waafrika tunapenda kama ilivokua kwa Mheshimiwa, Daktari, Rais wa Tanzania john joseph pombe magufuli ulikua ukitaja hivo alipokaa anatabasamu mwenyewe, Prof kabudi akapitiliza akasema mheshimiwa Mungu,
 
Namba binafsi hauwezi kuipata sababa huyu ni mkuu wa taasisi hivo ana wasaidizi wake lazima ufuate protokali
 
Basi anacha na mpango huu, maana ,Mimi imekua Mimi, utazuia kukutana naye ila huwezi zuhia mpango wa Bwana kutana naye wewe ni binadam Kama mie , usipende jitwika utukufu wa Mungu ,Bila Sababu, na hii sio nzuri, kwamba kids mtu yuko mbali basi uwe ndo uzio wa kumuona mtumishi? Kama yupo KWa ajili ya watu wote Basi ataonwa tu, hacha hii Mambo
Sasa kama ulikuwa hujui mimi ni Katibu wa Kanisa la Ngurumo Upako sijui utakatiza wapi unless hujui nguvu ya Katibu
 
Ongea vizuri na katibu Ngongo hapo, halafu kama wewe ni dume usitumie tena neno kuchamba, kingine fuata ushauri unapomtaja mtu anza na cheo chake ndio waafrika tunapenda
True, hata mimi kwa sasa natumia jina la
Wakili, Mtangazaji, Mwanahabari, Mwandishi wa Kujitegemea, Producer, Presenter, Talk Show host, Adivoleti Paskali Mayalla.
LL.M (UDSM), LL.B (Hons)(UDSM), B.A Mass Com, IJMC, Dip. In Jourlism (TSJ), ACSEE Ilboru (Div 1 3pts), CSEE Tambaza (Div 1- 7 pts) lives at No. 1 Barack Obama Rd!.
kama ilivokua kwa Mheshimiwa, Daktari, Rais wa Tanzania john joseph pombe magufuli ulikua ukitaja hivo alipokaa anatabasamu mwenyewe, Prof kabudi akapitiliza akasema mheshimiwa Mungu,
Hapa ilimbidi mwenyewe akanushe ajishushe, ila aliendelea ku smile, usikute ni kuitwa hivyo kumemponza, ndio maana ... ila inaelekea alitubu kabla ndio maana sasa yuko Voices From Within: Je, wajua yuko Peponi, Mbinguni, Kwa Baba yake? Why kumshutumu, kumsakama na kumsimanga? Aachwe apumzike kwa amani
P
 
T

Thanks mkuu japo umenichamba kweli, binafsi nataka no binafsi mkuu , hizi za mtandao zipo nyingi ila nakushukuru mkuu , Mr paschel , mpiganaji
Sasa si uanzie hapo utapata namba zake binafsi
 
True, hata mimi kwa sasa natumia jina la
Wakili, Mtangazaji, Mwanahabari, Mwandishi wa Kujitegemea, Producer, Presenter, Talk Show host, Adivoleti Paskali Mayalla.
LL.M (UDSM), LL.B (Hons)(UDSM), B.A Mass Com, IJMC, Dip. In Jourlism (TSJ), ACSEE Ilboru (Div 1 3pts), CSEE Tambaza (Div 1- 7 pts) lives at No. 1 Barack Obama Rd!.

Hapa ilimbidi mwenyewe akanushe ajishushe, ila aliendelea ku smile, usikute ni kuitwa hivyo kumemponza, ndio maana ... ila inaelekea alitubu kabla ndio maana sasa yuko Voices From Within: Je, wajua yuko Peponi, Mbinguni, Kwa Baba yake? Why kumshutumu, kumsakama na kumsimanga? Aachwe apumzike kwa amani
P

Yaani alikua anafurahi ukimwita hivo, wala hata kukutumbua alikua hawazi wakawa wamemjulia akina mama wenye shida wakawa wanasema Baba Yangu Mheshimiwa Rais nina shida moja mbili tatu, chapu linavutwa burungutu unapewa yule ndio aliishi usukuma maana msukuma hataki shida ndogondogo kabisa
 
Thanks mkuu, nashindwa elewa mtu aibuka na kusema ,Mimi ndo katibu so ukiwa katibu ndo ufanye unyanyasaji haiko sawa kabisa

Wewe ongea na katibu ukicheza mtumishi hutomuona shauri zako lete kiburi tu
 

Sasa si uanzie hapo utapata namba zake binafsi
Kwani si bora ungesema mapema hoja kabla ya hoja hii,? Wewe ukaanza Krush watu kabla ya suruhu, Mtumishi wa Mungu si ni watu wote ? Ndio ziko taratibu za kila ofisi ila sio katika mazingira mtu anakuja nayo hapa.

Mara Mie ndo katibu, Mara pesa za msahada zimeisha, je mwajua mawazo ni zahidi ya pesa , ndio Sina pesa Kama mtumishi , ila uwezo kuishi KWa maisha ya kawaida upon, acheni hii, kwamba kila anaemtafuta mtumishi basi anataka apate pesa ,aliewambia ana kisima Cha pesa nani ? Acheni Mambo haya
 


Kwani si bora ungesema mapema hoja kabla ya hoja hii,? Wewe ukaanza Krush watu kabla ya suruhu, Mtumishi wa Mungu si ni watu wote ? Ndio ziko taratibu za kila ofisi ila sio katika mazingira mtu anakuja nayo hapa.

Mara Mie ndo katibu, Mara pesa za msahada zimeisha, je mwajua mawazo ni zahidi ya pesa , ndio Sina pesa Kama mtumishi , ila uwezo kuishi KWa maisha ya kawaida upon, acheni hii, kwamba kila anaemtafuta mtumishi basi anataka apate pesa ,aliewambia ana kisima Cha pesa nani ? Acheni Mambo haya
Aheshimiwe katiiiibu “Remmy Ongala voice”
 
Back
Top Bottom