Nabii Mkuu, Geor Davie wa Arusha tafadhali Sana mtumishi

Duh Ana namba 100 kdg

Kazi kwake

Ova
 
Wanajf , kila siku namtanguliza Mungu , na nikawaida kuwaombea KWA kile kidogo Mungu amenipa,

Naomba mwenye no ya mtumishi tajwa hapo juu ani inbox tafadhali kazi yangu itakua wasiliana naye pale atanipa kibali ,

Natanguliza shukrani wakuu
Nabii wa mchongo
 
Huyu ni Nabii Mkuu & Mtume Mwandamizi Dr Mheshimiwa sana GeorDavie.

Tafadhali sana unapotaka kumtaja ni vyema na haki ukataja majina na cheo chake vizuri.
Nabii la uwongo hilo
 


Naona unampa connection akatapeliwe
 
Usiniingilie kwenye Mambo yangu Kama una no nipe basi, wewe umetapeli wangapi katika amisha ya au ufikiri kutapeli lazima pesa ,nipe no hapa ,sitaki pojojo hapa , nitapelewe haimuhusu, wajua nina shida gani na yeye?
Naona unampa connection akatapeliwe
 
Sasa kosa ni lipi hapa, nimeomba mwenye no take WENDA wewe au mwingine,shinda iko wapi anza nitajia vitu vingi Kama hauna si basi au umelazimishwa mkuu
Kwakwel kwa mwandiko huu huwezi ku google kabsa...shule ulienda kuwahi namba sio kusoma
 
Kwani wewe shule imekusaidia nini mpaka Sasa , aliekwambia tupo jf kushindanisha miandiko nani huna adabu na akili pia
Kwakwel kwa mwandiko huu huwezi ku google kabsa...shule ulienda kuwahi namba sio kusoma
 
Kaa mbali umekuja vuruga mada huwezi toa kimeombwa hapa kaa mbali
Sikai mbali.

Wewe tunajua ndio umekuja kutoa tangazo. komaa utawashika wajinga tu.
Unapiga promo tu wewe, huna lolote
 
Kwani wewe shule imekusaidia nini mpaka Sasa , aliekwambia tupo jf kushindanisha miandiko nani huna adabu na akili
Kwakwel kwa mwandiko huu huwezi ku google kabsa...shule ulienda kuwahi namba sio kusoma

Sikai mbali.

Wewe tunajua ndio umekuja kutoa tangazo. komaa utawashika wajinga tu.
Unapiga promo tu wewe, huna lolote
WENDA hu mgeni jf check post zangu tangu nimejiunga jf 2019 , Mimi sio wa kujipendekeza , na sio wa matusi, yani wakaa na kuja na maneno ya ajabu ,Sasa ni Jibu wewe hu mtakatifu , Mambo ya ajabu Sana ,nimeomba no huna tekeleza msemo wa alikua mkuu wa wilaya Iringa, nasema tekeleza ,wafikri watu wote ni wakujikomba
 
Huyu ni Nabii Mkuu & Mtume Mwandamizi Dr Mheshimiwa sana GeorDavie.

Tafadhali sana unapotaka kumtaja ni vyema na haki ukataja majina na cheo chake vizuri.
Kwa kingereza anajiita

His Excellency Dr. Geor Davie The Prophet Ngurumo ya Upako.
 
Wanajf , kila siku namtanguliza Mungu , na nikawaida kuwaombea KWA kile kidogo Mungu amenipa,

Naomba mwenye no ya mtumishi tajwa hapo juu ani inbox tafadhali kazi yangu itakua wasiliana naye pale atanipa kibali ,

Natanguliza shukrani wakuu
Fungulia radio yake ya ngurumo ya upako. Kuna namba wanaitaja kila saa ya kutuma sadaka...
Tuma sadaka halafu wapigie
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…