Wanajf , kila siku namtanguliza Mungu , na nikawaida kuwaombea KWA kile kidogo Mungu amenipa,
Naomba mwenye no ya mtumishi tajwa hapo juu ani inbox tafadhali kazi yangu itakua wasiliana naye pale atanipa kibali ,
Natanguliza shukrani wakuu
Una pepo la ubishi, Joe Davie hapendi mijitu mibishi, usije ukampigia simu halafu ukaanza kumbishiaWewe wasumbuka KWa lipi ,kwani mwongozo umetoa wewe? leta no hapa ya moka kwa moja ,ACHA maneno leta mziki
Nabii Mkuu Mheshimiwa Dkt. GeorDavie 😀😀Huyu ni Nabii Mkuu & Mtume Mwandamizi Dr Mheshimiwa sana GeorDavie.
Tafadhali sana unapotaka kumtaja ni vyema na haki ukataja majina na cheo chake vizuri.
Ok mtumishi, maana wapo wahuni kaharibu mada ,wahuni sio watu wazuriFungulia radio yake ya ngurumo ya upako. Kuna namba wanaitaja kila saa ya kutuma sadaka...
Tuma sadaka halafu wapigie
Kafe mbele mbona wewe mapepo YAKO watembea nayo hatuongei, huna akiliUna pepo la ubishi, Joe Davie hapendi mijitu mibishi, usije ukampigia simu halafu ukaanza kumbishia
Usimzibie mwenzip anataka kutamkiwa neno na nabiii...siku hizi chawa wanalamba shavu hatariUlikuwa na maana gani kurukia cheo mwandamizi Dr Mheshimiwa sana!.
Rafiki.Usimzobie mwenzip anataka kutamkiwa neno na nabiii...siku hizi chawa wanalamba shavu hatari
Huwezi amini kaka nimesoma haya maoni yako nimecheka hadi nimepaliwa na mate yani nimecheka sana.Sasa kama ulikuwa hujui mimi ni Katibu wa Kanisa la Ngurumo Upako sijui utakatiza wapi unless hujui nguvu ya Katibu
Aaa wapi...maskini jeuri mimi🤣Rafiki.
Tutunge wimbo wa kumsifia nabii, halafu tumpelekee
Basi zitakuwa zangu zote, just do it for me pleaseAaa wapi...maskini jeuri mimi🤣
Na Likwidi maana yake ni nini, ? ACHA jitoa ufahamu, Likwidi KWa kizungu ni maji mengi , so wewe ni mto, na maana yeke nini Sasa Kama jibu ni ndioKwanza mayala maana yake ni njaa
Tatizo mimi kumwabudu mtu sijabarikiwaga🤣🤣🤣Basi zitakuwa zangu zote, just do it for me please
🤣🤣🤣🤣Tatizo mimi kumwabudu mtu sijabarikiwaga🤣🤣🤣
Tatizo mimi kumwabudu mtu sijabarikiwaga🤣🤣🤣
Tatizo mimi kumwabudu mtu sijabarikiwaga🤣🤣🤣
Sasa mimi mwanaume na ndevu zangu eti...sijui baba nabii mkuu, wewe ndio kiboko yao....hakuna kama wewe na blablaa kibaa aaagh siiwezi milele🤣🤣😆🤣🤣🤣🤣🤣
Sasa ndevu zako zinatusaidia nini, una no leta hapa, nani amesema anataka kuangalia ndevu zako, hata kambale Wana ndevuSasa mimi mwanaume na ndevu zangu eti...sijui baba nabii mkuu, wewe ndio kiboko yao....hakuna kama wewe na blablaa kibaa aaagh siiwezi milele🤣🤣😆🤣