Nabii Mwingira amemalizia Kuvunja kiwanda cha Afro plus Usiku wa Kuamukia leo!!!

Nabii Mwingira amemalizia Kuvunja kiwanda cha Afro plus Usiku wa Kuamukia leo!!!

Good answer" Big up Mtume na Nabii Mwingira,they have to know aliye ndani mwako ni mkuu
kuliko mkuu wa ulimwengu huu ebo!" keep it up"

kuna tofauti ya RAIS NA AMEIR JESHI, sasa nini tofauti ya NABII NA MTUME ??
 
can we say that mwingira and Nabii Musa A.S, are at per !?

They are not at par and they will never be. Fuatilia vizuri Mitume wote kila mmoja alikuwa na kusudi lake ambalo lilikuwa tofauti na mwingine. ipo kazi ambayo kila mtume na nabii alifanya na wanaendelea kufanya. Rank ya ubora wa mtumishi wa Mungu inategemeana na ubora wa kazi na jinsi atakayomaliza na Mungu mwenyewe ndiye anaye pima mwisho wa yote.

Uwepo wa mitume na manabii
Mitume na manabii wapo na hakuna mahali popote ambapo biblia imekataa uwepo wao, zaidi inatuasa tu tuwachunguze kama ni wa kweli maana imeandikwa watakuwepo manabii wa uongo. Duniani kwa miaka yote pamekuwepo na mtu anaye sikia kutoka kwa Mungu na kuwasiliana na watu wake (mitume na manabii). Dini ndio zinakataa uwepo wa mitume na manabii.

swali,
anayesema hawapo atueleze imeandikwa wapi katika biblia? Vinginevyo kukaa kimya ni jambo jema zaidi.
 
Do you have the file for the case? any evidence please forward it to the court or open your case. Nimesema kwamba wamefanya usafi mchana mbona hamkuja? Pia ni choice ya mwenye eneo kufanya usafi muda anao amua yeye you have no right to ask or judge anybody about what belongs to them. Nimesema hata sasa wapo pale nendeni mkawaone.


Suala la Kubaka Mke Wa Mbuya lilikuwa hivi hivi na bado anajiita Nabii?? Ni Nabii gani Mbakaji??

Whether ni kweli au si kweli ni yeye na Mungu wake! I don't care what happened but I care for what is happening and what is going to happen. Jambo hili halibatilishi ukweli kwamba Yesu ni bwana na kwamba Wokovu ndio njia pekee ya kumuona Mungu.

Unamkumbuka Mfalme Daudi? Unakumbuka alifanya nini kwa mke wa Mtu? Mwisho wa siku Mungu alimhesabia kuwa ni mwenye haki na leo ni mtakatifu. Zaburi tunayo soma leo aliandika Daudi. Sauli naye alifanya nini mwishowe aliishia kuwa Mtume Paulo. Ibrahim naye alizaa na mjakazi wake lakini ndio Baba yetu wa Imani, Mussa naye? kasome vizuri.... Mungu tunaemtumikia ni Mungu wa rehema, Mungu anayesamehe dhambi anayeangalia future na sio past mistakes. It is only the devil and ignorant people that judge other people by what people say, what they did in the past and not what they will become in the future Mungu anaangalia ubaadaye (future) mtu atakuwa nani kwa utukufu wake. Kila mmoja wetu Mungu amemkusudia kitu fulani katika maisha yake, ninapokosea leo au mtumishi ambaye ni mwanadamu kama wengine anapokosea haimaanishi kwamba ndio hafai tena kutimiza kusudi la kuumbwa kwake ambapo kwalo atahukumiwa siku ile. Biblia insema ni Bwana Yesu pekee ndiye aliye kuwa msafi hakutenda dhambi katika maisha yake yote hapa duniani. Hivi wewe kama Mungu angekuwa katili ungekuwa hapo ulipo leo? God applies exception to the rules as we do in Laws. Mambo ya Mungu ni ya ajabu na hayaelezeki. Haiko katika uwezo wetu kuhukumu mtu yeyote, hukumu ni ya Mungu ndivyo maandiko yanavyosema... Hivyo tumrudie Mungu na kutubu dhambi ili atusamehe haijalishi ulifanya nini na nani wapi lini? Mungu anaangalia wewe utakuwa nani baada ya kukusamehe. Mungu anawapenda watu wake na anachukia dhambi. Siku zote Mungu amefanya kila jambo kwa kusudi lake we have no right to question God's actions above all he will remain to be God eventually. Pray and ask him all the controversy.
Unataka nikupe Ushahidi ambao unaonysha kuwa Mwingira ni Fusika??
Ukitaka huo Ushahidi Omba kwanza kibali Kwa Mod maana hapatakalika hapa!!!
Upo Ushahidi unaotisha kiasi kwamba ni afadhali ukaacha kutetea!!!

Nakushauri utumie Lugha ya Kiswahili kujibu hoja zangu kama wewe ni Mtanzania na si Mfuasi na Tapeli Mwingira
 
Tatizo watu wanapenda sana kuambiwa mambo mazuri yanayo tia moyo. Soma hitoria itakuelezea vizuri nini kilitokea kwa watu wote walio jaribu kuzuia injili mahali popote. Injli ni ya Mungu huwezi kumzuia kazi ya Mungu. Mimi sio mdini na wala sina dini Mungu hana dini wala Yesu hana dini. Nina Imani katika Kristo Yesu na nimempokea Yesu kuwa bwana na mwokozi wa maisha yangu. Period.

naona unatuchanganya tu,wewe unamwani mwingira,yesu au mungu?.
Afu clarify lini gadaf alipiga vita injili,au sadamu au hata id amin, au unataka kusema mtu akigombana na wamarekani anakua kapiga vita injili?
 
Kuna kitu Bwana Yesu alisema ninyi si wa ulimwengu huu, ulimwengu hauwatambui. kimsingi ulimwengu umejawa na yule mwovu media and everything viko covered na shetani. ni rahis watu kutetea uovu kuliko kutetea haki. Reason soma signature yangu hapo...So obvious, the problem of being controlled by the lame and the blind...90% ya habari za media juu ya watumishi wa Mungu ni uongo. I see things in the natural, what i see is different from what is reported in media.
Kama huwezi kuona Ubakaji wa Mwingira basi huna macho ya Kiroho!!! Una upofu Mkubwa !!!
Sisi hatuangalii Media tuna angalia Mambo halisi na Wito wa Mwingira ambaye aliitwa wakatia anafanya zinaa na kahaba na haya yamo katika kitabu alichokiandika mwenyewe!!!
Hakuna mtu aliyemwongoza toka ya zinaa na ndio maana anazidi kubaka wake za watu akiwemo mke wa Mbuya
 
Kama kweki kavunja na bado kuna amri ya mahakama hii ni jeuri anayo onesha kwamba yeye haguswi
Hiki kiwanda kinatumika kuchapa vitabu vya dini ya kiislam
Waislam tuna wajib wa kuondoa munkar hii
Ijumaa ijayo ya kesho tukasafishe baada ya hapo tutajua ubabe wake uko wapi
Na we nye mamlaka watatenda haki
Tumsaidoie ndugu yetu tukasafishe kiwanja chote

Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
 
They are not at par and they will never be. Fuatilia vizuri Mitume wote kila mmoja alikuwa na kusudi lake ambalo lilikuwa tofauti na mwingine. ipo kazi ambayo kila mtume na nabii alifanya na wanaendelea kufanya. Rank ya ubora wa mtumishi wa Mungu inategemeana na ubora wa kazi na jinsi atakayomaliza na Mungu mwenyewe ndiye anaye pima mwisho wa yote.

Uwepo wa mitume na manabii
Mitume na manabii wapo na hakuna mahali popote ambapo biblia imekataa uwepo wao, zaidi inatuasa tu tuwachunguze kama ni wa kweli maana imeandikwa watakuwepo manabii wa uongo. Duniani kwa miaka yote pamekuwepo na mtu anaye sikia kutoka kwa Mungu na kuwasiliana na watu wake (mitume na manabii). Dini ndio zinakataa uwepo wa mitume na manabii.

swali,
anayesema hawapo atueleze imeandikwa wapi katika biblia? Vinginevyo kukaa kimya ni jambo jema zaidi.

manabii wa uongo watakuja na watasema yesu ni kristo.ukiona mtu anakujia anakwambia yesu ni kristo huyo ujue ni nabii wa uongo,maana yesu alisema .''wengi watakuja kwa jina langu,wakifanya miujiza mingi na siku ya mwisho atawambia ONDOKENI HAPA SIWAJUI.
Mwingira nae ni nabii wa uongo.YESU hakuwahi kugombania plot.
 
  • Thanks
Reactions: PSM
manabii wa uongo watakuja na watasema yesu ni kristo.ukiona mtu anakujia anakwambia yesu ni kristo huyo ujue ni nabii wa uongo,maana yesu alisema .''wengi watakuja kwa jina langu,wakifanya miujiza mingi na siku ya mwisho atawambia ONDOKENI HAPA SIWAJUI.
Mwingira nae ni nabii wa uongo.YESU hakuwahi kugombania plot.

Imeandikwa sio kila asemaye Bwana Bwana... atauona ufalme wa Mungu. pia imeandikwa patakuwepo na manabii wa uongo...muwachunguze. utamchunguza vipi nabii au mtumishi wa Mungu. Kwa akili na kusilikiliza watu wanaseman nini hutakaa uweze. ni kwa kuomba Mungu akuonyeshe na mungu ni mwaminifu atakuonyesha na yeyote atakaye hitaji atamfunulia.

Hiyo unayosema wewe ya kwamba Yesu ni Kristo imeandikwa wapi? tatizo wakristo wengi ni wavivu wa kusoma biblia kuna muda wa kupoteza lakini sio kufanya jitihada za kumtafuta Mungu. mambo ya Mungu yako very clear huhitaji mtu akuambie ila Mungu ndiye asemaye yote kwa watu wake. Wapo wanaoamini Mungu haongei aliongeaga zamani tu. He is real he can answer all questions. Badala ya kusikia sikia hebu tumia muda wako mtafute Mungu ajifunue kwako. Mungu akusaidie...
 
kuna tofauti ya RAIS NA AMEIR JESHI, sasa nini tofauti ya NABII NA MTUME ??

Ooh, unataka kujua tofauti ya Nabii na Mtume sikia masuala ya Rohoni yanatambulika kwa jinsi
ya Rohoni,hivyo nakushauri kwanza mpokee Kristo Yesu awe Bwana na Mwokozi wa maisha yako,
ili umpate Roho mtakatifu atakufundisha yote.Hapo hata nikikujibu tutaelewana.
 
Kama kweki kavunja na bado kuna amri ya mahakama hii ni jeuri anayo onesha kwamba yeye haguswi
Hiki kiwanda kinatumika kuchapa vitabu vya dini ya kiislam
Waislam tuna wajib wa kuondoa munkar hii
Ijumaa ijayo ya kesho tukasafishe baada ya hapo tutajua ubabe wake uko wapi
Na we nye mamlaka watatenda haki
Tumsaidoie ndugu yetu tukasafishe kiwanja chote

Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
Mwingira amebomoa nana anajenga kanisa!!! Nenda kaangalie pale usiambiwe??
 
Unataka nikupe Ushahidi ambao unaonysha kuwa Mwingira ni Fusika??
Ukitaka huo Ushahidi Omba kwanza kibali Kwa Mod maana hapatakalika hapa!!!
Upo Ushahidi unaotisha kiasi kwamba ni afadhali ukaacha kutetea!!!

Nakushauri utumie Lugha ya Kiswahili kujibu hoja zangu kama wewe ni Mtanzania na si Mfuasi na Tapeli Mwingira

Ushahidi wako tunaoweza kuuamini ni ule ambao Mwingira amefanya ufuska na wewe,
hapo tutaamini unayosema otherwise na wewe mbabaishaji vilevile.
 
Kama huwezi kuona Ubakaji wa Mwingira basi huna macho ya Kiroho!!! Una upofu Mkubwa !!!
Sisi hatuangalii Media tuna angalia Mambo halisi na Wito wa Mwingira ambaye aliitwa wakatia anafanya zinaa na kahaba na haya yamo katika kitabu alichokiandika mwenyewe!!!
Hakuna mtu aliyemwongoza toka ya zinaa na ndio maana anazidi kubaka wake za watu akiwemo mke wa Mbuya

Kuna sehemu nimejibu vema kabisa hili swali. Nadhani wewe ni mjinga na umetumwa kumchafua Mtumishi wa mungu. I know for sure that you shall see the consequences of the words you spoke, and realize what I just said in the process of time. Ni shetani na mtu mjinga pekee ndio wanao hukumu watu basing on their past but God looks at what they will turn out to be in the future. Pia ni mtoto mjinga pekee ndiye atamkana Baba yake kwa sababu ya makosa ambayo Baba yake alifanya zamani. Rejea ukasome na Mungu akusaidie.
 
Kama kweki kavunja na bado kuna amri ya mahakama hii ni jeuri anayo onesha kwamba yeye haguswi
Hiki kiwanda kinatumika kuchapa vitabu vya dini ya kiislam
Waislam tuna wajib wa kuondoa munkar hii
Ijumaa ijayo ya kesho tukasafishe baada ya hapo tutajua ubabe wake uko wapi
Na we nye mamlaka watatenda haki
Tumsaidoie ndugu yetu tukasafishe kiwanja chote

Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums

Mh! Jaribuni kwenda mtachapwa na Malaika mpaka akili zitawakaa sawa.
 
Imeandikwa sio kila asemaye Bwana Bwana... atauona ufalme wa Mungu. pia imeandikwa patakuwepo na manabii wa uongo...muwachunguze. utamchunguza vipi nabii au mtumishi wa Mungu. Kwa akili na kusilikiliza watu wanaseman nini hutakaa uweze. ni kwa kuomba Mungu akuonyeshe na mungu ni mwaminifu atakuonyesha na yeyote atakaye hitaji atamfunulia.

Hiyo unayosema wewe ya kwamba Yesu ni Kristo imeandikwa wapi? tatizo wakristo wengi ni wavivu wa kusoma biblia kuna muda wa kupoteza lakini sio kufanya jitihada za kumtafuta Mungu. mambo ya Mungu yako very clear huhitaji mtu akuambie ila Mungu ndiye asemaye yote kwa watu wake. Wapo wanaoamini Mungu haongei aliongeaga zamani tu. He is real he can answer all questions. Badala ya kusikia sikia hebu tumia muda wako mtafute Mungu ajifunue kwako. Mungu akusaidie...

kwahiyo baada ya kuchunguza ukaona mwigira ni nabii wa ukweli?.
Yesu alisema,'wengi watakuja kwa jina langu wakihubiri na kufanya miujiza mingi.....watatoa mapepo,wataponya etc.
Hao manabii yesu anadai kuwa atawakataa.
'wengi watakuja kwa jina langu wakisema mimi NDIYE KRISTO.''
Sasa wewe najua ni mkiristo na una bible tafuta hizo aya afu urudi utuambie alikua anamaanisha nini kusema WATAKUJA KWA JINA LAKE,WATAHUBIRI NA KUFANYA MIUJIZA MINGI NA WATASEMA YESU NDIYE KRISTO.
 
Kama huwezi kuona Ubakaji wa Mwingira basi huna macho ya Kiroho!!! Una upofu Mkubwa !!!
Sisi hatuangalii Media tuna angalia Mambo halisi na Wito wa Mwingira ambaye aliitwa wakatia anafanya zinaa na kahaba na haya yamo katika kitabu alichokiandika mwenyewe!!!
Hakuna mtu aliyemwongoza toka ya zinaa na ndio maana anazidi kubaka wake za watu akiwemo mke wa Mbuya

Wewe ni kati ya wale watumishi wachache wenye roho za wivu,neno la Mungu linasema "atatusamehe dhambi zetu wala
hatazikumbuka tena na kama Mashariki ilivyo mbali na Magharibi ndivyo Bwana anazifanya dhambi kuwa mbali nasi" wewe
ni nani unayetembea na hati ya mashtaka ya Mwingira!!? ambayo Yesu aliigongomea msalabani"
 
Unataka nikupe Ushahidi ambao unaonysha kuwa Mwingira ni Fusika??
Ukitaka huo Ushahidi Omba kwanza kibali Kwa Mod maana hapatakalika hapa!!!
Upo Ushahidi unaotisha kiasi kwamba ni afadhali ukaacha kutetea!!!

Nakushauri utumie Lugha ya Kiswahili kujibu hoja zangu kama wewe ni Mtanzania na si Mfuasi na Tapeli Mwingira

I said whether it is true or not I don't know and I don't need to know all that. Peleka mahakamani ndio ushahidi unahusika.

Ushahidi kaa nao wewe, sihitaji kuuona (keep it for yourself). Ni hivi Mwingira ni Baba yangu wa Kiroho. Siwezi kukaa kimya mtu anapo mdhalilisha. ni tabia ya shetani kudhalilisha watu.

Pia hii ni nje ya mada kabisa.Mungu akusaidie. Faham tu kuwa Yesu ni Bwana na anahitaji wewe na wengine wampokee kuwa Bwana na Mwokozi wa Maisha yao He is just by the gate. haangalii ya nyuma bali yale unayoyaendea. God is interested in your future.
 
kwahiyo baada ya kuchunguza ukaona mwigira ni nabii wa ukweli?.
Yesu alisema,'wengi watakuja kwa jina langu wakihubiri na kufanya miujiza mingi.....watatoa mapepo,wataponya etc.
Hao manabii yesu anadai kuwa atawakataa.
'wengi watakuja kwa jina langu wakisema mimi NDIYE KRISTO.''
Sasa wewe najua ni mkiristo na una bible tafuta hizo aya afu urudi utuambie alikua anamaanisha nini kusema WATAKUJA KWA JINA LAKE,WATAHUBIRI NA KUFANYA MIUJIZA MINGI NA WATASEMA YESU NDIYE KRISTO.

Mimi sijawahi kanyaga kanisani kwa Mwingira lakini naona mahubiri yake through TRENET,nathibitisha
Mwingira ni mtumishi wa Mungu aliye hai.
 
Back
Top Bottom