Nabii Mwingira ni Ishara ya kukubalika kwa Rais Samia

Nabii Mwingira ni Ishara ya kukubalika kwa Rais Samia

kavulata

JF-Expert Member
Joined
Aug 2, 2012
Posts
13,778
Reaction score
14,214
Madai ya Askofu Jesephat Mwingira wa kanisa la EFATHA aliyoyatoa kwenye sherehe za Christmas aliyatoa sasa baada ya kuwa na Imani na serikali ya mama Samia. Aliona utu, uchaMungu wa dhati na utukufu ndani ya Rais Samia hivyo kuuona wakati wa kuyabwaga yote wakati huu ya moyoni mwake aliyofanyiwa kwenye awamu zilizopita. Hii ni sawa na watoto wanaoshitaki kwa mama yoote waliyofanyiwa na house girl wao wakati mama hayuko nyumbani.

Ni malalamiko ya hope kwa serikali yao ya awamu ya sita. Hii ni kusema kuwa Mama ana kazi kubwa sana ya kuliunganisha taifa kuliko anavyofikiria. Mwingira sio mjinga kwa kiasi hiki anachofikiria Mh. Simbachewene. Mimi ninaiona dhamira safi ndani ya Nabii Mwingira, na wako wengi wenye shida kama ya Mwingira. Asichukuliwe poa au kukegeliwa.

Angekuwa mimi ndiye Rais Samia ningeanzia kwa Nabii Mwingira kuelekea kuwatambua wengine wenye malalamiko genuine kama haya. Wasitishwe bali wapewe moyo wayafichue yote.
 
Huyu bibi acheni kumdanganya hakuna mtu wa bara anayemtaka wala kumpenda ni kwamba basi watu wamekaa kimya lakini hatumtaki
Ingia barabarani uandamane.

Samia ni Rais.

Na Mbowe na Lissu hawatakuwa rais wa Tanzania mpaka WANAKUFA.

Huo ndio UKWELI MCHUNGU hutaki JIUE.
 
Arudi kwenu Zenji aongoze
Sisi bara tunamtaka yeye ili mauaji yakome na tuishi kwa raha Kama sikukuu iliyopita kila mtu alikuwa na raha Mana mzunguko wa hela umerudi kwa kasi. Si unaona hata akina ndugai wamechanganyikiwa Mana watafikiwa tu soon kwa uonevu walioufanya. Mama ameshasema anaogopa kwenda motoni na anamuogopa Allah tu na ujue yeye ndo kigogo mwenyewe.
 
Aliyekuwa jiwe Mzee wa pushups yupo chini ya kifusi. Tena kibudu chake kilitembezwa nchi nzima Ili tuone na kujua kuwa matatizo sasa yamekwisha
Kibudu hata wewe utakuwa wala usijali.

Ila wewe na hao kina Mbowe na Lissu mtakuwa vibudu bila kuwa marais wa Tanzania.

Ingieni barabarani muandamane, huo ndio ukweli mchungu.

Hutaki Jiue
 
Mkuu vumilia, wakati wenu mlitesa sana. Nasi sasa tunasema hakika Yesu ni Bwana. Mama Samia endelea, unao watu wengi nyuma yako wanaokusapoti. Hawa Malaya wa mwendazake wasikutishe.
Kibudu hata wewe utakuwa wala usijali.

Ila wewe na hao kina Mbowe na Lissu mtakuwa vibudu bila kuwa marais wa Tanzania.

Ingieni barabarani muandamane, huo ndio ukweli mchungu.

Hutaki Jiue
 
Madai ya Askofu Jesephat Mwingira wa kanisa la EFATHA aliyoyatoa kwenye sherehe za Christmas aliyatoa sasa baada ya kuwa na Imani na serikali ya mama Samia. Aliona utu, uchaMungu wa dhati na utukufu ndani ya Rais Samia hivyo kuuona wakati wa kuyabwaga yote wakati huu ya moyoni mwake aliyofanyiwa kwenye awamu zilizopita. Hii ni sawa na watoto wanaoshitaki kwa mama yoote waliyofanyiwa na house girl wao wakati mama hayuko nyumbani.

Ni malalamiko ya hope kwa serikali yao ya awamu ya sita. Hii ni kusema kuwa Mama ana kazi kubwa sana ya kuliunganisha taifa kuliko anavyofikiria. Mwingira sio mjinga kwa kiasi hiki anachofikiria Mh. Simbachewene. Mimi ninaiona dhamira safi ndani ya Nabii Mwingira, na wako wengi wenye shida kama ya Mwingira. Asichukuliwe poa au kukegeliwa.

Angekuwa mimi ndiye Rais Samia ningeanzia kwa Nabii Mwingira kuelekea kuwatambua wengine wenye malalamiko genuine kama haya. Wasitishwe bali wapewe moyo wayafichue yote.
Hivi mama samia hakuwepo awamu ya 5? Maana inayo lalamikiwa ni awamu ya 5!
 
Sisi bara tunamtaka yeye ili mauaji yakome na tuishi kwa raha Kama sikukuu iliyopita kila mtu alikuwa na raha Mana mzunguko wa hela umerudi kwa kasi. Si unaona hata akina ndugai wamechanganyikiwa Mana watafikiwa tu soon kwa uonevu walioufanya. Mama ameshasema anaogopa kwenda motoni na anamuogopa Allah tu na ujue yeye ndo kigogo mwenyewe.
Mbowe kamfanya nini? hafai ni katili kama mwendazake
 
Back
Top Bottom