mkorinto
JF-Expert Member
- Jun 11, 2014
- 31,415
- 38,761
Usiseme hatumtaki sema simtaki, hamumtaki ww na nani?
kwani wewe unamtaka na nani??
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Usiseme hatumtaki sema simtaki, hamumtaki ww na nani?
Wewe ndio humtaki kwa sababu JPM kuua watu ndio ilikuwa furaha yako. Tumempata Rais wa haki ndIo maana kila mtu anaishitakia serikali iliyopita kwa mama.
Sisi bara tunamtaka yeye ili mauaji yakome na tuishi kwa raha Kama sikukuu iliyopita kila mtu alikuwa na raha Mana mzunguko wa hela umerudi kwa kasi. Si unaona hata akina ndugai wamechanganyikiwa Mana watafikiwa tu soon kwa uonevu walioufanya. Mama ameshasema anaogopa kwenda motoni na anamuogopa Allah tu na ujue yeye ndo kigogo mwenyewe.
Hivi mama samia hakuwepo awamu ya 5? Maana inayo lalamikiwa ni awamu ya 5!
Hakuna anaemdanganya hata kidogo, ana sura ya utu kweli, ndiyo maana watu wanasema leo na sio jana wakati wa tukio. Hebu fikiria mtu anamiminiwa risasi na hakuna kesi, mtu anavamiwa kwenye kituo chake cha matangazo na hamna kesi, mtu anatolewa bastola mchana kweupe na hakuna kesi, watu wanadukuliwa simu zao na hakuna kesi.Huyu bibi acheni kumdanganya hakuna mtu wa bara anayemtaka wala kumpenda ni kwamba basi watu wamekaa kimya lakini hatumtaki
Tatizo sasa cha kufanya hamna, inabidi kufura ndani kwa ndani na kutukana mitandaoni kwa miaka 9 ijayo (but siyo mingi sana)Huyu bibi acheni kumdanganya hakuna mtu wa bara anayemtaka wala kumpenda ni kwamba basi watu wamekaa kimya lakini hatumtaki
Mama Samia Mitano tenaHuyu bibi acheni kumdanganya hakuna mtu wa bara anayemtaka wala kumpenda ni kwamba basi watu wamekaa kimya lakini hatumtaki
Sawa, nenda kapelekewe moto.Sikujibu tena wewe dada naona upo kwenye cku zako. Asante mkuu
Hahahaha, Swali lako zuri sana, Maana kachanganya Malaya (Matusi), Yesu (Uungu) na Chuki na matusi kwa Marehemu ndani ya sentensi mojaMkuu, una akili sawa sawa??
Kwani we hujaona? Unless Kama hujui uchumi Ni Nini.kwamba kafungua uchumi[emoji16][emoji16].
ila chawa ni kiumbe wa hovyo sana.
Aisee umeongea point kubwa, bora tutawaliwe na wazanzibar, hii mitanganyika mingi ni miuaji na mijiziMama Samia Mitano tena
Na akimaliza aje Hussein Mwinyi na akimaliza Mwinyi aje Makame Mbarawa na amalizie Othman Masoud
Azori gwanda, Ben saanane, mfanyakzi wa mwingira nk Kuna wengine walikuwa wanaokotwa kwenye viroba na usisau kipindi Cha uchaguzi wanachadema walitekwa Sana wakiwa wanaorudisha form ili kupisha kupita bila kupingwa. Yule hakuwa mtu bali sheitwani Kama mwingira alivyomuitajpm kamuua nani!!
huu ujinga ndio unafanya muonekane wapuuzi mbele za watu timamu.
Wanashangaa nchi imetulia tuliii, hawakutegemea mama ataupiga mwingi kiasi hiki. Hata simbachewene ni masalia ya awamu zilizopita, asijekumharibia mama, awaache watu watoe yao ya moyoni kwa Rais wao. Hii wanayofanya inaitwa mental ventilation (mental cathasis), inasaidia sana kuponya watu na taifa pia.Sisi bara tunamtaka yeye ili mauaji yakome na tuishi kwa raha Kama sikukuu iliyopita kila mtu alikuwa na raha Mana mzunguko wa hela umerudi kwa kasi. Si unaona hata akina ndugai wamechanganyikiwa Mana watafikiwa tu soon kwa uonevu walioufanya. Mama ameshasema anaogopa kwenda motoni na anamuogopa Allah tu na ujue yeye ndo kigogo mwenyewe.
Alikurupuka Bwana Chawene, mambo aliyoagiza yafanyike Rais aliyepo alishayakataa, kifupi Dramas na kuwapa watu headlines utawala huu havina nafasi! Ndiyo maana kwa sasa watu wanaokoteza headlines za hovyo za mirinda na fanta!Mwingira anahojiwa lini na polisi? 😁
SawaTatizo sasa cha kufanya hamna, inabidi kufura ndani kwa ndani na kutukana mitandaoni kwa miaka 9 ijayo (but siyo mingi sana)
Sawa hapa ni ZanzibarMama Samia Mitano tena
Na akimaliza aje Hussein Mwinyi na akimaliza Mwinyi aje Makame Mbarawa na amalizie Othman Masoud
Mbowe kafanywa nini?Hakuna anaemdanganya hata kidogo, ana sura ya utu kweli, ndiyo maana watu wanasema leo na sio jana wakati wa tukio. Hebu fikiria mtu anamiminiwa risasi na hakuna kesi, mtu anavamiwa kwenye kituo chake cha matangazo na hamna kesi, mtu anatolewa bastola mchana kweupe na hakuna kesi, watu wanadukuliwa simu zao na hakuna kesi.
Mkuu unawachukia waznzbr bila sababu yeyote, mtanganyika mwenzako si ndiyo huyo alikuwa anawavunja viuno kila siku?Sawa