Nabii Mwingira ni Ishara ya kukubalika kwa Rais Samia

Nabii Mwingira ni Ishara ya kukubalika kwa Rais Samia

Mwingira ni mwizi kama wezi wengine.Mcha Mungu hawezi kudhulumu ardhi ya watu kwa utajiri wake tena kwa dhulma ya wajinga.Kama anafikiri ana haki na mashamba arudi kuyachukua aone muziki wake.Biblia inakataza kuhukumu na kusingizia uongo.
 
Azori gwanda, Ben saanane, mfanyakzi wa mwingira nk Kuna wengine walikuwa wanaokotwa kwenye viroba na usisau kipindi Cha uchaguzi wanachadema walitekwa Sana wakiwa wanaorudisha form ili kupisha kupita bila kupingwa. Yule hakuwa mtu bali sheitwani Kama mwingira alivyomuita

mje mseme haya majukwaani kwamba jpm aliua watu na akawapora uchaguzi 2025.
 
chief hangaya awe makini sana na hizi sifa za kumpwaga....asisahau nae ni mshiriki wa awamu ya 5
 
Yaani anasema Ikulu Yuko shetani na anayeongoza Ikulu ni mtoto wa shetani.
Halafu unasema anakubalika?mtamhadaa Hangaya mpaka lini?
Yaani kwa tozo,watu wanakataliwa huduma za matibabu mpaka wachanjwe,halafu unasema anapendwa?
 
Mkuu vumilia, wakati wenu mlitesa sana. Nasi sasa tunasema hakika Yesu ni Bwana. Mama Samia endelea, unao watu wengi nyuma yako wanaokusapoti. Hawa Malaya wa mwendazake wasikutishe.
Bwana Yesu kwenda kuazima mchezaji timu ya Mtume Mohammad unalizungumziaje suala hilo?
 
Huyu bibi acheni kumdanganya hakuna mtu wa bara anayemtaka wala kumpenda ni kwamba basi watu wamekaa kimya lakini hatumtaki
Sema mimi, usitusemee sisi, mfano mimi nampenda sana maana ni mpole, ana utu na ni msikivu.Hakuna binadamu anayependa watu wakatili na waovu.
 
Hivi mama samia hakuwepo awamu ya 5? Maana inayo lalamikiwa ni awamu ya 5!
Kwa style ya JPM ni kama vile hakuwepo kwenye awamu ya tano. Hukumbuki hata waziri mkuu alitishiwa kupigiwa shangazi zake kwaajili ya korosho? Hukumbuki hata waziri mkuu aliambiwa nafasi yake sio ya kudumu kama ya Sumaye miaka 10? Hukumbuki hata makamu wa Rais alikuwa akidhihakiwa hadharani kuwa ni mzuri na mweupe? Mzee alikuwa alfa na omega.
 
Hii Ni awamu mpya ndo Mana aliapa vinginevyo kiapo kingebaki Cha jpm yeye akaendeleza kiapo kilekile.

Na ndo mana yuko tofauti kabisa na jpm. Jpm alikuwa anaua lakini yeye amekuja tofauti. Jpm alikuwa hatoi ajira au haajiri na alikuwa anapora watu pesa kwa kuvamia account zao lakini mama hawezi kufanya upumbavu huo.
Waza uwazavyo, huyu mama hana jipya, yote yaliyo fanywa na JPM huyu mama alikuwa mstari wa mbele kuunga mkono, na kama asingemuunga mkono JPM basi angejiuzuru nafasi ya umakamu wa rais ktk muhula wa kwanza tu utawala wa JPM.

Tafuta kisingizio kingine ndugu
 
Waza uwazavyo, huyu mama hana jipya, yote yaliyo fanywa na JPM huyu mama alikuwa mstari wa mbele kuunga mkono, na kama asingemuunga mkono JPM basi angejiuzuru nafasi ya umakamu wa rais ktk muhula wa kwanza tu utawala wa JPM.

Tafuta kisingizio kingine ndugu
Alikuwa anaunga mkono kwa kukuogopa tu Mana ukitofautiana na yule bwana alikuwaanaweza kukufanya lolote hata kukuua. Yule bwana alikuwa anaogopeka kwa mauaji tu
 
Huyu bibi acheni kumdanganya hakuna mtu wa bara anayemtaka wala kumpenda ni kwamba basi watu wamekaa kimya lakini hatumtaki
Hama Nchi,au kalifufueni lile Tahira lenu likawaongoze huko kuzimu,

Samia ni Rais Hadi 2035,

Hakuna mbwa yoyote wakuzuia hilo
 
Waza uwazavyo, huyu mama hana jipya, yote yaliyo fanywa na JPM huyu mama alikuwa mstari wa mbele kuunga mkono, na kama asingemuunga mkono JPM basi angejiuzuru nafasi ya umakamu wa rais ktk muhula wa kwanza tu utawala wa JPM.

Tafuta kisingizio kingine ndugu
Gpm alikuwa dikteta, na aliharibu Nchi nakuitia kwenye madeni makubwa, Samia ni best president
 
kwani wewe unamtaka na nani??
Ntamtaka nani zaidi ya yeye ,hakuna Rais mwingine zaidi yake. Kusema nataka Rais mwingine wakati muda wake haujaisha ni utaahira.Ajabu nyingine sasa ya binadam wa humu wanataka katiba Mpya wakati hii iliyopo tu hawaitii na kuifuata sasa wataitii VP hiyo Mpya waitakayo?
 
Kwa hiyo wewe unaona hii ni serikali mpya? Ukitoa marehemu, viongozi wengine wote ni watendaji wa Chama, na walikuwa madarakani enzi za JPM, leo hii unapowatofautisha na utawala JPM wakati ndio wale wale naona bado hujakua ndugu.
Kama awamu ni ileile mbona sasa hakuna wananchi wanaopotea? Mbona watu wasiojulikana wamepotea ghafla, mbona wanaharakati wa kujitegemea hawapo? Mbona wafanyabiashara hawanyang'anywi hela zao na TRA, mbona watumishi wamelipwa mafao yao, mbona rais hagawi hela ovyo mitaani?
 
Wazanzibar mnafurahia kupora ardhi yetu bure
Wanaipora wapi, wenyewe wameikimbia ardhi yao vijijini na kuja mjini kuuza mashati 3 mikononi, eti machinga. Wenye akili wanaokota dodo chini ya minyonyo. Mama samia anajaribu kuwaambia vijana rudini kwenye ardhi zenu ondokeni mitaani, lakini kina wazembe wanapinga zoezi la kuwaondoa wamachinga wakaendeleze ardhi zao.
 
Wanaipora wapi, wenyewe wameikimbia ardhi yao vijijini na kuja mjini kuuza mashati 3 mikononi, eti machinga. Wenye akili wanaokota dodo chini ya minyonyo. Mama samia anajaribu kuwaambia vijana rudini kwenye ardhi zenu ondokeni mitaani, lakini kina wazembe wanapinga zoezi la kuwaondoa wamachinga wakaendeleze ardhi zao.
Kwa hiyo machinga wanatoka Zenji? uwiiiiiiiiiiiiiii
 
Back
Top Bottom