Nabii Mwingira ni Ishara ya kukubalika kwa Rais Samia

Kwa hiyo alitangazwa amepata kura ngapi? acha upuuzi mkuu badilika
Kwani hukumuona wakati anapiga kampeni? Kura zake ziko humohumo. Unadhani wazanzibar na wanawake wengi walipiga kura kwasababu gani?
 
Mwingira ni mzandiki na mzushi. Matrkta na mashamba yalichomwa mwaka 2012. Walichomwa na wananchi baada ya kunyimwa haki zao. No research utadanganywa tu. Kamdanganya mpaka Samia
 
Mwingira ni mzandiki na mzushi. Matrkta na mashamba yalichomwa mwaka 2012. Walichomwa na wananchi baada ya kunyimwa haki zao. No research utadanganywa tu. Kamdanganya mpaka Samia
Kwa uzandiki hamfikii spika, hivi ni kweli nchi itapingwa mnada? hivi atakubali wabunge wapate nusu mshahara ili tupate hela ya kujenga reli? Hivi wakati marais wengine waliopita wakikopa yeye aliwahi kuwaonya kuhusu nchi kupigwa mnada? Kunya anye kuku akinya Bata kaharisha?

Wallah Namuomba mama angeniteua mimi niwe japo mfanya usafi tu kwenye ofisi ya mwenyekiti wa tume ya uchaguzj.

Wanataka Samia afanye yale ya magufuli magufuli magufuli tyuuuu hadi 2025 ili wawe na cha kusema. Mama sio mjinga, anachanganya na zake pia. Anafahamu lipi la jpm lilikuwa zuri na lipi lilikuwa baya, lipi lina harufu ya udini,lipi Lina harufu ya ukabila na ukanda, lipi kapotoshwa na lipi kakose ayeye mwenyewe.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…