ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 66,537
- 75,687
Toba ya nini? Wanufaika ndio wafanye hizo tobaNdo ufanye TOBA na maombi,
Usisubiri yatokee.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Toba ya nini? Wanufaika ndio wafanye hizo tobaNdo ufanye TOBA na maombi,
Usisubiri yatokee.
Haya ni mnabii njaa kabisa. Mungu siyo mwanasiasa.What if Mungu anapenda chama hiki kuendelea kutuongoza?
CCM umehama kwani?Toba ya nini? Wanufaika ndio wafanye hizo toba
Kwani Mimi Nina chama? Mimi ni team SamiaCCM umehama kwani?
Wenye chama chao wanasemaje, maana kina wenyewe. Huyo nabii asipokuwa makini atafanyiwa kama ndugu yake TuntemekeKatika Unabii wa mwaka 2024, Nabii Sanga ametoa ujumbe Kwa Watanzania kuingia katika maombi kukiombea chama tawala CCM, amesema ameambiwa kuwa mwaka huu 2024 kutakuwa na mgawanyiko mkubwa utakaokikumba chama hiki.
Haya mambo ya kuombea, mbona yako sana TZ, kwanini?Salaam, Shalom.
Katika Unabii wa mwaka 2024, Nabii Sanga ametoa ujumbe Kwa Watanzania kuingia katika maombi kukiombea chama tawala CCM, amesema ameambiwa kuwa mwaka huu 2024 kutakuwa na mgawanyiko mkubwa utakaokikumba chama hiki.
Amesema pia kuwa, mgawanyiko na mtikisiko utakaokikumba chama Cha MAPINDUZI CCM, haitakuwa Siri, itakuwa ni mtikisiko wa wazi ambao hata raia wa kawaida watajua.
Amesema Mungu amemwambia awaase raia kukiombea Chama Cha MAPINDUZI CCM Kwakuwa mtikisiko wa chama tawala utaathiri pia Nchi Kwa ujumla, na ujumbe wa kukiombea CCM ni Ishara kuwa Mungu BADO anapenda CCM iendelee kuongoza Nchi na amesema kuwa, adui amepanga kutumia mgawanyiko huo kuivuruga Amani ya nchi.
Amesema pia, amepata ujumbe kuwapa Marais wote wa Africa kuwa Waaminifu Kwa Nchi zao na kuwatumikia wananchi Kwa HAKI, la sivyo, patakuwako maandamano katika Nchi nyingi Afrika ikiwa hawatakuwa Waaminifu.
Mungu ibariki Nchi yangu nzuri niipendayo TANZANIA 🇹🇿
Karibuni.🙏
Source: POG family Tv.
Yeye ndo mwanzilishi wa Serikali duniani, mifumo yote ya uongozi zimetoka kwake.Haya ni mnabii njaa kabisa. Mungu siyo mwanasiasa.
Ukimdhuru mjumbe baada ya kufikisha ujumbe yafaa nini?Wenye chama chao wanasemaje, maana kina wenyewe. Huyo nabii asipokuwa makini atafanyiwa kama ndugu yake Tuntemeke
Sidhani kama ndo huyo.Ndio baba yake na Lina Sanga?amtolee kwanza unabii Linah
Basi huyu atakuwa baba yake mdogo🤔Sidhani kama ndo huyo.
Babake Lina ni Mchungaji Si Nabii.
Ikiwa hujui,Haya mambo ya kuombea, mbona yako sana TZ, kwanini?
Kwamba chawa Hana chama, popote kambi sio😀!!Kwani Mimi Nina chama? Mimi ni team Samia
Ndo inaongozwa Serikali lakini usisahau.Hivi CCM nayo ni ya kuombewa kweli?
Sio mtu wa Vyama Mimi,nashabilia mtu sio chama.Kwamba chawa Hana chama, popote kambi sio😀!!
Kwenu hakuna wakubwa?Sio mtu wa Vyama Mimi,nashabilia mtu sio chama.
Mwisho hao matapeli watawapoteza
Kivipi?Kwa vile Tanzania Kuna mlima Kilimanjaro au?Ikiwa hujui,
Tanzania ndio imeibeba Dunia nzima katika Ulimwengu wa Roho.
Amesema Mungu amemwambia awaase raia kukiombea Chama Cha MAPINDUZI CCM Kwakuwa mtikisiko wa chama tawala utaathiri pia Nchi Kwa ujumla, na ujumbe wa kukiombea CCM ni Ishara kuwa Mungu BADO anapenda CCM iendelee kuongoza Nchi na amesema kuwa, adui amepanga kutumia mgawanyiko huo kuivuruga Amani ya nchi.Salaam, Shalom.
Katika Unabii wa mwaka 2024, Nabii Sanga ametoa ujumbe Kwa Watanzania kuingia katika maombi kukiombea chama tawala CCM, amesema ameambiwa kuwa mwaka huu 2024 kutakuwa na mgawanyiko mkubwa utakaokikumba chama hiki.
Amesema pia kuwa, mgawanyiko na mtikisiko utakaokikumba chama Cha MAPINDUZI CCM, haitakuwa Siri, itakuwa ni mtikisiko wa wazi ambao hata raia wa kawaida watajua.
Amesema Mungu amemwambia awaase raia kukiombea Chama Cha MAPINDUZI CCM Kwakuwa mtikisiko wa chama tawala utaathiri pia Nchi Kwa ujumla, na ujumbe wa kukiombea CCM ni Ishara kuwa Mungu BADO anapenda CCM iendelee kuongoza Nchi na amesema kuwa, adui amepanga kutumia mgawanyiko huo kuivuruga Amani ya nchi.
Amesema pia, amepata ujumbe kuwapa Marais wote wa Africa kuwa Waaminifu Kwa Nchi zao na kuwatumikia wananchi Kwa HAKI, la sivyo, patakuwako maandamano katika Nchi nyingi Afrika ikiwa hawatakuwa Waaminifu.
Mungu ibariki Nchi yangu nzuri niipendayo TANZANIA [emoji1241]
Karibuni.[emoji120]
Source: POG family Tv.