- Thread starter
- #81
Wakati huo uko wapi, familia inaishije?Uwe hatari kabisa na polisi na JWTZ watwangane vibaya hadi wamalizane
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wakati huo uko wapi, familia inaishije?Uwe hatari kabisa na polisi na JWTZ watwangane vibaya hadi wamalizane
Mambo mengine huwezi yakuta JF siasaKwanini unabii wa hawa manabii ni kuhusu siasa tu ama Marais miaka yote? Hakuna kupewa maono kwa jambi jengine?
Tumalizane na hili, Kisha tutamuuliza baadae.Huyo ni nabii wa aina gani ambae hawaoni wapinzani bali aiona CCM tu katika miujiza yake?
Angefanya pia maombi kwa upinzani ili nao uweze kupata ushawishi ili wachaguliwe na wananchi.
which god?What if Mungu anapenda chama hiki kuendelea kutuongoza?
God not god!!!which god?
Mi naamini CCM asili, yenye watu aina ya Butiku na WARIOBA ikirudi,
Tukaandika Katiba mpya,
Tutarudi kwenye mstari.
It is obvious kesho ni jumanne au siyo?Nabii kadandia gari kwa mbele🤣🤣
Mkuu Rabboni "teacher" huwa nakuelewa sana mtumishi kutokana na ushuhuda wa Roho Mtakatifu ndani yangu. Lakini kwa swala la ccm kuparaganyika inaweza kuwa mwanzo wa Tanzania tuitakayo, ishara ya Mungu kuwakataa yaweza kuwa kuumana na kulana ccm wenyewe kwa wenyewe.What if Mungu anapenda chama hiki kuendelea kutuongoza?
Ndo tuombe,Mkuu Rabboni "teacher" huwa nakuelewa sana mtumishi kutokana na ushuhuda wa Roho Mtakatifu ndani yangu. Lakini kwa swala la ccm kuparaganyika inaweza kuwa mwanzo wa Tanzania tuitakayo, ishara ya Mungu kuwakataa yaweza kuwa kuumana na kulana ccm wenyewe kwa wenyewe.
Haihitaji unabiiSalaam, Shalom.
Katika Unabii wa mwaka 2024, Nabii Sanga ametoa ujumbe Kwa Watanzania kuingia katika maombi kukiombea chama tawala CCM, amesema ameambiwa kuwa mwaka huu 2024 kutakuwa na mgawanyiko mkubwa utakaokikumba chama hiki.
Amesema pia kuwa, mgawanyiko na mtikisiko utakaokikumba chama Cha MAPINDUZI CCM, haitakuwa Siri, itakuwa ni mtikisiko wa wazi ambao hata raia wa kawaida watajua.
Amesema Mungu amemwambia awaase raia kukiombea Chama Cha MAPINDUZI CCM Kwakuwa mtikisiko wa chama tawala utaathiri pia Nchi Kwa ujumla, na ujumbe wa kukiombea CCM ni Ishara kuwa Mungu BADO anapenda CCM iendelee kuongoza Nchi na amesema kuwa, adui amepanga kutumia mgawanyiko huo kuivuruga Amani ya nchi.
Amesema pia, amepata ujumbe kuwapa Marais wote wa Africa kuwa Waaminifu Kwa Nchi zao na kuwatumikia wananchi Kwa HAKI, la sivyo, patakuwako maandamano katika Nchi nyingi Afrika ikiwa hawatakuwa Waaminifu.
Mungu ibariki Nchi yangu nzuri niipendayo TANZANIA 🇹🇿
Karibuni.🙏
Source: POG family Tv.
Kwamba Mungu akileta maonyo au maelekezo Kwa Taifa na viongozi wa Nchi wawe wananyamaza?Haihitaji unabii
Kaibieni waumini pesa
Siasa acheni
We hutaki CCM kuambiwa wafanye TOBA?[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] hawa manabii [emoji119]
Utabiri wa Mwalimu Nyerere ?!Mtikisiko ukitokea ndani ya CCM itakuwa ni jambo jema kwa Tanzania. Tukipata vyama viwili, kambi mbili, at least mojawapo inaweza kuanza kujali maslahi ya taifa na kuacha kuishi kwa mazoea.
HapanaKwamba Mungu akileta maonyo au maelekezo Kwa Taifa na viongozi wa Nchi wawe wananyamaza?
Mambo hayaendi hivyo, Nchi ni yetu sote.
Ndo nasema,Hapana
Yuko biased na siasa tangu tunafanya naye kazi mwanza
Hatujamjua leo
Ni shabiki wa kemera na populism
Upuuzi mtupu. Watu tunafanya kila liwezekanalo CCM ife ili kuinusuru nchi hii wewe unataka iombewe? Una akili sawacsawa kweli.Salaam, Shalom.
Katika Unabii wa mwaka 2024, Nabii Sanga ametoa ujumbe Kwa Watanzania kuingia katika maombi kukiombea chama tawala CCM, amesema ameambiwa kuwa mwaka huu 2024 kutakuwa na mgawanyiko mkubwa utakaokikumba chama hiki.
Amesema pia kuwa, mgawanyiko na mtikisiko utakaokikumba chama Cha MAPINDUZI CCM, haitakuwa Siri, itakuwa ni mtikisiko wa wazi ambao hata raia wa kawaida watajua.
Amesema Mungu amemwambia awaase raia kukiombea Chama Cha MAPINDUZI CCM Kwakuwa mtikisiko wa chama tawala utaathiri pia Nchi Kwa ujumla, na ujumbe wa kukiombea CCM ni Ishara kuwa Mungu BADO anapenda CCM iendelee kuongoza Nchi na amesema kuwa, adui amepanga kutumia mgawanyiko huo kuivuruga Amani ya nchi.
Amesema pia, amepata ujumbe kuwapa Marais wote wa Africa kuwa Waaminifu Kwa Nchi zao na kuwatumikia wananchi Kwa HAKI, la sivyo, patakuwako maandamano katika Nchi nyingi Afrika ikiwa hawatakuwa Waaminifu.
Mungu ibariki Nchi yangu nzuri niipendayo TANZANIA 🇹🇿
Karibuni.🙏
Source: POG family Tv.
Mimi tena🙄Upuuzi mtupu. Watu tunafanya kila liwezekanalo CCM ife ili kuinusuru nchi hii wewe una?taka iombewe? Una akili sawacsawa kweli.