Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Thubutu yake !Hakikisha unaiombea CCM.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Thubutu yake !Hakikisha unaiombea CCM.
CCM asili imeshakatwa pumzi na CCM Maslahi.Mi naamini CCM asili, yenye watu aina ya Butiku na WARIOBA ikirudi,
Tukaandika Katiba mpya,
Tutarudi kwenye mstari.
Ulivosema hivi nikakumbuka Kuna Mcheza porno Mmoja alihojiwa akasema Mungu anapenda yeye afanye Porno ila shetani hapendi yeye afanye porno 😅😅What if Mungu anapenda chama hiki kuendelea kutuongoza?
Mkeka wake unaenda vizuri,Ametega pazuri ili ispotokea aseme niyeye alitawanya mpasuko huo 🤣
Mpasuko wewe hujauona?Tapeli alafu kavuta bangi
Tabiri za kibwege hiziSalaam, Shalom.
Katika Unabii wa mwaka 2024, Nabii Sanga ametoa ujumbe Kwa Watanzania kuingia katika maombi kukiombea chama tawala CCM, amesema ameambiwa kuwa mwaka huu 2024 kutakuwa na mgawanyiko mkubwa utakaokikumba chama hiki.
Amesema pia kuwa, mgawanyiko na mtikisiko utakaokikumba chama Cha MAPINDUZI CCM, haitakuwa Siri, itakuwa ni mtikisiko wa wazi ambao hata raia wa kawaida watajua.
Amesema Mungu amemwambia awaase raia kukiombea Chama Cha MAPINDUZI CCM Kwakuwa mtikisiko wa chama tawala utaathiri pia Nchi Kwa ujumla, na ujumbe wa kukiombea CCM ni Ishara kuwa Mungu BADO anapenda CCM iendelee kuongoza Nchi na amesema kuwa, adui amepanga kutumia mgawanyiko huo kuivuruga Amani ya nchi.
Amesema pia, amepata ujumbe kuwapa Marais wote wa Africa kuwa Waaminifu Kwa Nchi zao na kuwatumikia wananchi Kwa HAKI, la sivyo, patakuwako maandamano katika Nchi nyingi Afrika ikiwa hawatakuwa Waaminifu.
Mungu ibariki Nchi yangu nzuri niipendayo TANZANIA 🇹🇿
Karibuni.🙏
Source: POG family Tv.
Kwakweli CCM Asili kwisha habari yao !CCM asili imeshakatwa pumzi na CCM Maslahi.
CCM Asili wanategemea hisani ya CCM maslahi ili familia zao zing'ae, ushahidi upo.
Hakuna Mungu ndani ya ccm labda Kam wewe ni mgeni au unaishi New ZeelandWhat if Mungu anapenda chama hiki kuendelea kutuongoza?
Hao ni mbulula tu hawajui lolote juu ya ccm huwezi kuwa kada wa ccm halafu una maisha magumu kama ya mwashambwa na akati wenye ccm yao wamegawana nchiWanazi haswa wenye chama chao kina Lucas mwashambwa johnthebaptist ChoiceVariable FaizaFoxy chiembe et al watamjibu sawasawa.
Pole sana ndugu mzeewaSHY .Kwakweli CCM Asili kwisha habari yao !
Including me 😅🤣🙏🙏
Sisi tuliokipigania nyakati zile za vimbunga vya hatari sasa tumekuwa kama wageni wasiofahamika ndani ya Chama !
Hatari sana 😱 !
Usivunjike moyo,Kabisa ! Tupo wengi. ! 🙏
Ngoja Tusubiri tuone !! 😅🙏Usivunjike moyo,
Hako ka kikundi kanatawanywa kote.
Mtarudi tena.
Huyo sanga ni mganga wa kienyeji CCM na Mungu wapi na wapi, usimuhusishe Mungu na hiyo takataka CCMAmesema Mungu amemwambia awaase raia kukiombea Chama Cha MAPINDUZI CCM
CCM ikisambaratika hao kwenye listi Yako hapo wanakufa njaaWanazi haswa wenye chama chao kina Lucas mwashambwa johnthebaptist ChoiceVariable FaizaFoxy chiembe et al watamjibu sawasawa.