Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Application ya usemi wa wahenga "Aidui muombee njaa"Salaam, Shalom.
Katika Unabii wa mwaka 2024, Nabii Sanga ametoa ujumbe Kwa Watanzania kuingia katika maombi kukiombea chama tawala CCM, amesema ameambiwa kuwa mwaka huu 2024 kutakuwa na mgawanyiko mkubwa utakaokikumba chama hiki.
Amesema pia kuwa, mgawanyiko na mtikisiko utakaokikumba chama Cha MAPINDUZI CCM, haitakuwa Siri, itakuwa ni mtikisiko wa wazi ambao hata raia wa kawaida watajua.
Amesema Mungu amemwambia awaase raia kukiombea Chama Cha MAPINDUZI CCM Kwakuwa mtikisiko wa chama tawala utaathiri pia Nchi Kwa ujumla, na ujumbe wa kukiombea CCM ni Ishara kuwa Mungu BADO anapenda CCM iendelee kuongoza Nchi na amesema kuwa, adui amepanga kutumia mgawanyiko huo kuivuruga Amani ya nchi.
Amesema pia, amepata ujumbe kuwapa Marais wote wa Africa kuwa Waaminifu Kwa Nchi zao na kuwatumikia wananchi Kwa HAKI, la sivyo, patakuwako maandamano katika Nchi nyingi Afrika ikiwa hawatakuwa Waaminifu.
Mungu ibariki Nchi yangu nzuri niipendayo TANZANIA 🇹🇿
Karibuni.🙏
Source: POG family Tv.
CCM imeshikamana na Dola, ni kama mwili na ngozi!!Kwani ye hataki ccm ife
Zama zinabadilikaCCM imeshikamana na Dola, ni kama mwili na ngozi!!
Kuvitenfanisha Kwa ghafula, Nchi itatikisika,
Kifo Cha kimkakati ndo suluhu!!
Sijui umeelewa?
Mtikisiko wewe huoni?unabii mrahisi hivyo?aache kuuchafua ukristo.
Kanisa ni mwili wako,Huyu nabii kanisa lake liko Wapi?!
Nabii ni cheo gani katika Ukristo? Mkuki kwa Nguruwe siyo!?Sheikh ni cheo gani katika uislamu? Hata Karume sr akiitwa Sheikh alikuwa na elimu gani ya dini??
Nabii ni cheo gani katika Ukristo? Mkuki kwa Nguruwe siyo!?
Sent from my SM-A047F using JamiiForums mobile app
CCM imeshikamana na Dola, ni kama mwili na ngozi!!
Kuvitenfanisha Kwa ghafula, Nchi itatikisika,
Kifo Cha kimkakati ndo suluhu!!
Sijui umeelewa?
Halafu Lucas Mwashambwa sijamsikia muda mrefu huyu jamaa. Alilamba uteuzi nini?Wanazi haswa wenye chama chao kina Lucas mwashambwa johnthebaptist ChoiceVariable FaizaFoxy chiembe et al watamjibu sawasawa.
Jibu swali, Unabii ni cheo gani katika Ukristo?Neno nabii (kwa Kiebrania נביא nevì, kwa wingi נְבִיאִים nevi'ìm, kwa Kiarabu نبي) linatumika kumtajia binadamu anayesema kwa niaba ya Mungu, hasa kwa kusudi la kuelekeza wenzake wafuate imani na maadili sahihi.
Katika lugha nyingi, mtu huyo anaitwa kwa jina linalotokana na neno la Kigiriki προφήτης [prophētēs], maana yake "anayesema mbele", yaani hadharani (mbele ya wasikilizaji), au kabla ya (jambo kutokea).
Watu wa namna hiyo wanapatikana katika dini nyingi, hususan katika Uyahudi, Ukristo na Uislamu.
Katika matumizi ya kawaida, neno hilo linatumika hasa kwa mtu ambaye anatabiri jambo, bila ya kujali asili ya maarifa yake.
Katika Uyahudi
Katika Tanakh (Biblia ya Kiebrania) tunakuta vitabu vingi vinavyojumlishwa katika jina "manabii", kuanzia Yoshua hadi Malaki. Katika Ukristo baadhi ya vitabu hivyo vinahesabiwa kuwa "vitabu vya historia", kumbe kile cha Danieli kinapangwa kati ya "manabii wakuu" pamoja na Isaya, Yeremia na Ezekieli, wakati Wayahudi wanacho kati ya "maandiko (mengine)".
Katika Ukristo
Ukristo unakubali manabii wote wa Agano la Kale, lakini upande wa Agano Jipya ni wachache wanaoitwa hivyo, kwa mfano Agabo anayetajwa katika Matendo ya Mitume.
Kwa jumla ni kwamba Wakristo wote wanahesabiwa kuwa manabii kutokana na wajibu wa kutangaza Neno la Mungu kwa nguvu ya Roho Mtakatifu.
___Wikipedia----
Jibu swali, Unabii ni cheo gani katika Ukristo?
Hayo maelezo hata upande wa Sheikh kila Muislam anaweza kuwa sheikh, hapa nataka kujua katika Kanisa (Ukristo) Nabii ni cheo gani? Then nitajie manabii katika taasisi za dini ambao ni viongozi, elewa neno taasisi (mfano wa taaisisi ni kama Roman Catholic, KKKT, Anglican n.k)
Sent from my SM-A047F using JamiiForums mobile app
Basi usirudie kuandika usiyofahamu. Katika Ukristo Manabii walibaki kwenye Biblia. Ngoja nikujibu la Sheikh sasa....Mimi si mkristo nimekuwekea hapo nini unabii katika ukristo cheo mtakijuwa wenyewe mnaowaita hivyo
Si kila mwislamu unaweza kumwita sheikh
Utofauti wa Sheikh, Mufti na Kadhi
Basi usirudie kuandika usiyofahamu. Katika Ukristo Manabii walibaki kwenye Biblia. Ngoja nikujibu la Sheikh sasa....
Katika Uislamu, "sheikh" ni neno la Kiarabu linalotumika kumaanisha kiongozi wa kiroho, msomi wa Kiislamu, au mtu mwenye hekima na maarifa katika masuala ya dini. Kwa kawaida, sheikh anaweza kuwa:
1. Msomi wa Kiislamu: Mtu ambaye amejifunza na ana uelewa wa kina wa Quran, Hadithi, na masuala mengine ya dini. Anaweza kuwa na elimu ya juu kutoka kwenye taasisi za Kiislamu kama vile Al-Azhar, Madina University, au taasisi zingine mashuhuri.
2. Kiongozi wa Kidini: Anaweza kuwa imamu anayeongoza sala katika msikiti, au mtu anayetoa mawaidha na nasaha za kidini kwa Waislamu.
3. Mzee mwenye Hekima: Katika baadhi ya tamaduni, neno sheikh linaweza pia kutumika kumaanisha mzee mwenye hekima na heshima, bila kujali kiwango chake cha elimu ya kidini.
Kwa ujumla, sheikh ni mtu anayeheshimika kwa elimu yake, hekima yake, na uwezo wake wa kuwaongoza Waislamu katika masuala ya kiroho na kidini.
Sent from my SM-A047F using JamiiForums mobile app
Mtafute imaam na Sheikh wako aitwaye Daayiee Abdullah then uniambie kati yake na Titto bora nani?Sasa niambie Kiongozi gani wa kiislamu ambaye yuko sawa na huyo nabii wako Tito ??
Mtafute imaam na Sheikh wako aitwaye Daayiee Abdullah then uniambie kati yake na Titto bora nani?
Sent from my SM-A047F using JamiiForums mobile app
Huyo ni Imaam pia. Imaam naye humfahamu!?Kabla ya kumtafuta lete nukuu kutoka kitabu chochote cha kiislamu Quran au hadith kilichoandika kuhusu cheo cha sheikh ,