Danny Jully
JF-Expert Member
- Jul 29, 2013
- 4,416
- 3,860
Bora liwe hivyo ili wakemee mapepo ya kulialia hovyo bungeni.Kwahiyo bunge litakuwa la maaskofu,wachungaji, mitume na manabii?!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bora liwe hivyo ili wakemee mapepo ya kulialia hovyo bungeni.Kwahiyo bunge litakuwa la maaskofu,wachungaji, mitume na manabii?!
Shila ni mtumishi wa Mungu na Mungu kamuepusha kwenye njia isiyosahihi.
Unamaanisha kwamba Askofu Mkuu Gwajima nae sio mtumishi wa kweli au sio?😄Mtumishi wa Mungu ni zaidi ya Rais wa nchi.JESUS IS LORD
Hao sasa wanajulikana maana tuko nao. Ila kwakuwa wana kiherehere tutawanawa. Hata kipindi cha apartheid regime huko SA walikuwepo wengi sana tene walilipwa ujira mdogo tu.Na Wasiojulikana wa CCM
Ana siasa za kishamba Sana
Nabii shilla au maarufu Billionaire Shilla amehamia chama cha ACT na kuchukua form ya kugombea huko Kilombero.
Huyu mtu alifanya jambo la ajabu na la kijinga ambalo kama chadema wasingemfuta uanachama basi Chadema ingekuwa imepoteza umakini walionao.
Mtu hajashinda kura za maoni, na wala hajateuliwa na kamati kuu alafu anaenda mbio kuchukua form ya kugombea.
Ilikuwa ni dharau kubwa kwa kamati kuu na chama.
Ila kuna tatizo kwa baadhi ya watu maana alikuwa ashapata na wafuasi humu kwa kuamini kile anachokisema na mwisho kuitwa kamanda.
Ilikuwaje mkurugenzi akamkabidhi form bila comfirmation ya chama cha Chadema kuwa huyo ndio mwakilishi wa chama?
Nabii shilla au maarufu Billionaire Shilla amehamia chama cha ACT na kuchukua form ya kugombea huko Kilombero.
Huyu mtu alifanya jambo la ajabu na la kijinga ambalo kama chadema wasingemfuta uanachama basi Chadema ingekuwa imepoteza umakini walionao.
Mtu hajashinda kura za maoni, na wala hajateuliwa na kamati kuu alafu anaenda mbio kuchukua form ya kugombea.
Ilikuwa ni dharau kubwa kwa kamati kuu na chama.
Ila kuna tatizo kwa baadhi ya watu maana alikuwa ashapata na wafuasi humu kwa kuamini kile anachokisema na mwisho kuitwa kamanda.
Kuna mtumishi alishawahi kulisema hili lakini ndiye aliyekuwa wakwanza kiguu na njia kuomba ridhaa ya kukiwakilisha chama nafasi ya ubunge. Sijui alikuwa amekula maharagwe ya wapi mpaka akakengeuka na kurudia yaleyale aliyoyapinga?hamna kitu hapo.
Hakuna mtumishi wa Mungu wa kweli anayeweza kuhangaika na ubunge. Mtumishi wa Mungu ni zaidi ya Rais wa nchi.
JESUS IS LORD
ATAMAN MAMA RWAKATARWAKATARE ARUDI JAMANI AONEHAYAA UWIIIEti kachomoa betri...[emoji23][emoji23][emoji23]
View attachment 1545983
Kwani inawezekana akarudi kweli?N
ATAMAN MAMA RWAKATARWAKATARE ARUDI JAMANI AONEHAYAA UWIII
Kama analeta maendeleo kwa fedha zake si afanye hayo maendeleo ?Si lazima awe mbunge. Yaani hapa anadanganya wazi wazi.Huyu dogo anavisera vya kitoto eti ataleta maendeleo kwapesa zake!??! Kibiashara changuo na kufuga kitimoto ndiyo ujengee kilombero?? Akwende zaka anapenda makiki kama ya dayamondi
acha nao wakusanyekusanye ila kitawapata Cha chadema
Nabii shilla au maarufu Billionaire Shilla amehamia chama cha ACT na kuchukua form ya kugombea huko Kilombero.
Huyu mtu alifanya jambo la ajabu na la kijinga ambalo kama chadema wasingemfuta uanachama basi Chadema ingekuwa imepoteza umakini walionao.
Mtu hajashinda kura za maoni, na wala hajateuliwa na kamati kuu alafu anaenda mbio kuchukua form ya kugombea.
Ilikuwa ni dharau kubwa kwa kamati kuu na chama.
Ila kuna tatizo kwa baadhi ya watu maana alikuwa ashapata na wafuasi humu kwa kuamini kile anachokisema na mwisho kuitwa kamanda.
Duh[emoji849][emoji848]ngachoka!Huyu kijana alitaka apitishwe halafu ajiengue na aliahidiwa fedha taslimu million 20. Tulikanasa mawasiliano yake kajinga kweli!
Mungu yupi?Shila ni mtumishi wa Mungu na Mungu kamuepusha kwenye njia isiyosahihi.
RPC wa Shinyanga ni mwanamke wacha uongo wewe!Shinyanga