Uchaguzi 2020 Nabii Shilla ahamia ACT-Wazalendo na kuchukua fomu ya kuwania Ubunge

Uchaguzi 2020 Nabii Shilla ahamia ACT-Wazalendo na kuchukua fomu ya kuwania Ubunge

Huyu kijana alitaka apitishwe halafu ajiengue na aliahidiwa fedha taslimu million 20. Tulikanasa mawasiliano yake kajinga kweli!

Kamanda hahahaha hamkosi visingizio
 
Huyu dogo anavisera vya kitoto eti ataleta maendeleo kwapesa zake!??! Kibiashara changuo na kufuga kitimoto ndiyo ujengee kilombero?? Akwende zaka anapenda makiki kama ya dayamondi

Kamanda umechukia sana ...kunywa maji hahaha
 
Tatizo la chadema ni wakurupukaji hasa mashabiki wao humu. Walimpamba sana huyu jamaa wakati ni empty set
Hao walikuwa mashabiki sio viongozi WA chadema tofautisha hapo.hapo ndio ujue chadema viongozi wake wako makini sana wape sifa zao.
 
Niwaambieni kitu "Nimechomoa betri"
haaa haaaa haaaa kiza kishatanda maana yake hakuna kinachowaka huko
 

Nabii shilla au maarufu Billionaire Shilla amehamia chama cha ACT na kuchukua form ya kugombea huko Kilombero.

Huyu mtu alifanya jambo la ajabu na la kijinga ambalo kama chadema wasingemfuta uanachama basi Chadema ingekuwa imepoteza umakini walionao.

Mtu hajashinda kura za maoni, na wala hajateuliwa na kamati kuu alafu anaenda mbio kuchukua form ya kugombea.

Ilikuwa ni dharau kubwa kwa kamati kuu na chama.

Ila kuna tatizo kwa baadhi ya watu maana alikuwa ashapata na wafuasi humu kwa kuamini kile anachokisema na mwisho kuitwa kamanda.
Si nyie ndio mlio kua mnampa promo

Sent from my JKM-LX1 using JamiiForums mobile app
 
Mbona mnaumia sana,ni haki yake lakini au kavunja sheria za nchi?
 
Duh,ama kweli nabii hakubaliki kwao.
Wananchi wa kijijini v/s wananchi wa mujini jibu likipatikana Gawanya na mimi wa mtandaoni ndo utajua nini uchaguzi wa awamu hii

si hua tunawaambia hawakubaliki wanalazimisha , lissu nae yamemkuta hayo hayo
 
Nabii Kipenyo [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
 

Nabii shilla au maarufu Billionaire Shilla amehamia chama cha ACT na kuchukua form ya kugombea huko Kilombero.

Huyu mtu alifanya jambo la ajabu na la kijinga ambalo kama chadema wasingemfuta uanachama basi Chadema ingekuwa imepoteza umakini walionao.

Mtu hajashinda kura za maoni, na wala hajateuliwa na kamati kuu alafu anaenda mbio kuchukua form ya kugombea.

Ilikuwa ni dharau kubwa kwa kamati kuu na chama.

Ila kuna tatizo kwa baadhi ya watu maana alikuwa ashapata na wafuasi humu kwa kuamini kile anachokisema na mwisho kuitwa kamanda.
Ukishaongiza kwenye kura kwa nini ukatwe?
 
Anahangaika tuu awezi mshinda yule dogo wa CCM.Dogo yupo vizuri Abubakar Assenga.
 
si hua tunawaambia hawakubaliki wanalazimisha , lissu nae yamemkuta hayo hayo
Na huyu bado hayajamkuta vizuri maana asipobadili mwenendo na hiyo style yake ya kulia lia na kulalamika kama mjane aliyedhulumiwa na ndugu wa marehemu ndo atawajua wanakijiji wa mwaka 2015 na 2020 utofauti wao.
Mwanaume kulia lia na kutia huruma ni ishara mbaya.
Aongee sera sio kupigwa kupigwa na kutaja taja watu majina tena kwa nyimbo isiyo na vina watu hawana huruma huku kujijini
 
Back
Top Bottom