Uchaguzi 2020 Nabii Shilla ahamia ACT-Wazalendo na kuchukua fomu ya kuwania Ubunge

Yes

Life is full of alternatives.

Afanye anachokiamini.
 
Mbona ACT walishatoa jina la mgombea wao kwenye jimbo la Kilombero, Somebody Rashidi. Huyu asije akawa kivuruge tu
 
Huyu kijana alitaka apitishwe halafu ajiengue na aliahidiwa fedha taslimu million 20. Tulikanasa mawasiliano yake kajinga kweli!
Tuliwaaambia toka mwanzo kuwa haka katapeli mkaishia kutupiga mawe sasa imekuwaje tena, Kuna watu humu wanajifanya wafia chama kumbe mambumbumbu tu
 
Hii imetokea baada ya Bilionea Shillah Kuhama CHADEMA na kutimkia ACT na kisha kuchukua fomu ya kugombea ubunge jimbo la Kilombero kupitia chama hicho. Hayo yametokea ikiwa ni Siku chache zimepita tangu mgombea wa ACT aliyepitishwa na kamati kuu Rashid Mohammad achukue fomu ya kuteuliwa kugombea ubunge kwa chama hicho.
 
Shillah mamluki yule, na atawasumbua Sana Act
 
Hata Kibamba Chadema wana wagombea wawili
 
Chadema imekuwa kama Chama cha walevi huyo nabii shila wao wamempamba weee kwenye mitandao kila uchwao mbaka kajiona tayari ni nabii kweli alafu wanakuja tena wanamkata , aliyekwambieni mumsifie vile ni nani? Kama sio tumbaku ..
[emoji23][emoji23][emoji23]
 
[/QUOTE]
Walevi ni wale wanaopigana mitama na hii inaonyesha ni jins gani ikulu imekaliwa na genge LA watu wa aina hiyo so mwaka huu lazima hilo genge lazima liende kwao Burundi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…