Bila bila
JF-Expert Member
- Dec 20, 2016
- 22,168
- 39,118
Kwani mlifanya dhambi gani wakati wa uchaguzi ambayo mnaona ugumu kutubu?Huyo nabii wa Nandi ni msanii kitambo sana!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani mlifanya dhambi gani wakati wa uchaguzi ambayo mnaona ugumu kutubu?Huyo nabii wa Nandi ni msanii kitambo sana!
Picha basiKtk mahubiri yanayoendelea WRM leo jumapili 27/12/2020, Nabii Nicolaus Suguye amewataka viongozi wa serikali wakatubu kwa blunder zilizofanyika ktk uchaguzi mkuu wa October 2020.
Ameongeza kwa kusema kuna watu wamekufa na wamesononeka kufuatia blunder hizo. Wakatubu kabla mwaka kabla mwaka haujaisha, ili taifa lisonge mbele. Vinginevyo mwaka 2021 utakuwa mgumu kwao.
Pia nabii Suguye amesema alikuwa mtu wa kwanza kutabiri kuwa korona itatoweka haraka nchini Tanzania.
Ibada inaendelea......
Dah!.Nabii my black a s s!!
Leo amehubiri kuhusu wizi (wa kura), ulevi (wa madaraka), uzinzi (wanadini+wanasiasa) na mauaji ndo maana ameleta hapa. Ni aina tu ya uwasilishaji lakini dhambi ulizotaka zikemewe ndo hizo hizo zimekemewa. Umeridhika sasa?Mleta mada ni mjinga!
Akihubiri kuhusu watu kutubu kuacha dhambi kama uzinzi, ulevi na wizi haleti mada hapa. Ila akihubiri juu ya siasa ndio mbiombio kuleta humu
Dah!.Nabii my black a s s!!
Nawewe anzisha uzi wako ulete hayo unayo yaona yamekemewa,tofauti na hapo huo ni umamaMleta mada ni mjinga!
Akihubiri kuhusu watu kutubu kuacha dhambi kama uzinzi, ulevi na wizi haleti mada hapa. Ila akihubiri juu ya siasa ndio mbiombio kuleta humu
Nime kuja kugundua kitu kuna mahusiano makubwa sana kati ya CCM na ujinga, simtukani mtu ila huo ndio ukweli tujitahidi sana kuwapa ndugu zetu somo. madhara ya kukubali kumtegemea mtu kua kinga yako ndio hayo nilazima uwe kama zombie kila kitu unashabikia tuwasaidie wenzetu.Neno, japo chini ya jua ni ubatili mtupu.Askofu Gwajima na wenzake wanabariki na kupongeza kishindo.
kamungu kamechokonolewa mipanya inatoka shimoni kutetea. Neno ni Moja tu TUBU DHAMBIHistoria ya Suguye haieleweki eleweki uraia vizuri imejaa ujanja ujanja
Atubu yeye Suguye kwanza anayewapa ufumbuzi hewa wa matatizo watu wenye shidakamungu kamechokonolewa mipanya inatoka shimoni kutetea. Neno ni Moja tu TUBU DHAMBI
Kabisa mkuu.na siyo ujinga tu Bali na Mahusiano ya ccm na shetani.na ukitaka kujua hasira zao waambie kutubu Dhambi tu. Utaona uhalisia waoNime kuja kugundua kitu kuna mahusiano makubwa sana kati ya CCM na ujinga, simtukani mtu ila huo ndio ukweli tujitahidi sana kuwapa ndugu zetu somo. madhara ya kukubali kumtegemea mtu kua kinga yako ndio hayo nilazima uwe kama zombie kila kitu unashabikia tuwasaidie wenzetu.
TUBU DHAMBIAtubu yeye Suguye kwanza anayewapa ufumbuzi hewa wa matatizo watu wenye shida
Akamatwe kwa kosa hili: Pia nabii Suguye amesema alikuwa mtu wa kwanza kutabiri kuwa korona itatoweka haraka nchini Tanzania.Kufikia Ijumaa ya wiki hii kama hajakamatwa kwa kuishi nchin bila kibali mtanambia....
Asituharibie Nchi? Ndiyo Hao Hao Waliosema Anointed AnafaaHahahaa, ashaingiza siku hapo
Pale Ipo Sababu Tu Tutalivunja
Angesema uchaguzi ulikuwa huru na haki ungejibu hivyo?!Historia ya Suguye haieleweki eleweki uraia vizuri imejaa ujanja ujanja
Na yeye ameshatubu kugonga kondoo wake hasa hasa wake za watu?Ktk mahubiri yanayoendelea WRM leo jumapili 27/12/2020, Nabii Nicolaus Suguye amewataka viongozi wa serikali wakatubu kwa blunder zilizofanyika ktk uchaguzi mkuu wa October 2020.
Ameongeza kwa kusema kuna watu wamekufa na wamesononeka kufuatia blunder hizo. Wakatubu kabla mwaka kabla mwaka haujaisha, ili taifa lisonge mbele. Vinginevyo mwaka 2021 utakuwa mgumu kwao.
Pia nabii Suguye amesema alikuwa mtu wa kwanza kutabiri kuwa korona itatoweka haraka nchini Tanzania.
Ibada inaendelea......
hata kina gwaji boy walikuwa ka yeyeKtk mahubiri yanayoendelea WRM leo jumapili 27/12/2020, Nabii Nicolaus Suguye amewataka viongozi wa serikali wakatubu kwa blunder zilizofanyika ktk uchaguzi mkuu wa October 2020.
Ameongeza kwa kusema kuna watu wamekufa na wamesononeka kufuatia blunder hizo. Wakatubu kabla mwaka kabla mwaka haujaisha, ili taifa lisonge mbele. Vinginevyo mwaka 2021 utakuwa mgumu kwao.
Pia nabii Suguye amesema alikuwa mtu wa kwanza kutabiri kuwa korona itatoweka haraka nchini Tanzania.
Ibada inaendelea......