Nabii Suguye: Viongozi wa Serikali watubu kabla mwaka haujaisha kwa 'blunder' zilizofanywa kwenye Uchaguzi Mkuu 2020

Nabii Suguye: Viongozi wa Serikali watubu kabla mwaka haujaisha kwa 'blunder' zilizofanywa kwenye Uchaguzi Mkuu 2020

.....utasikia kanisa lipo barabarani upande pili kambi jeshi kuna maboresho kanisa lihame haraka !!! Hapo mipango miji wameshapigiwa
Viunzi vyote hivyo atavikwepa maana kanisa halipo mazingira ya namna hiyo.
Labda watampata kwenye kigezo kuwa kanisa lipo katikati ya makazi ya watu hivyo anawapigia kelele.
Huyu nabii yupo Kivule matembele ya Pili, ana kanisa kubwa kuliko kanisa la mtume au nabii yeyote Tanzania,hata makanisa ya Saint Joseph Cathedral au Azania Front hayaoni ndani.
Hongera yake kwa kuthubutu kukemea,ajindae na yatokanayo!
 
Viunzi vyote hivyo atavikwepa maana kanisa halipo mazingira ya namna hiyo.
Labda watampata kwenye kigezo kuwa kanisa lipo katikati ya makazi ya watu hivyo anawapigia kelele.
Huyu nabii yupo Kivule matembele ya Pili, ana kanisa kubwa kuliko kanisa la mtume au nabii yeyote Tanzania,hata makanisa ya Saint Joseph Cathedral au Azania Front hayaoni ndani.
Hongera yake kwa kuthubutu kukemea,ajindae na yatokanayo!
Umeongeza chumvi kupitiliza, kanisa lake la kawaida sana!
 
Angesema uchaguzi ulikuwa huru na haki ungejibu hivyo?!
Suguye hajielewi kuna kitu kanisa la Pentecost waliomfundisha na kumpangia eneo hakijui anadhani yeye mjuajii sana alipoaondoka Kwao alidhani yeye ndio yeye chief prophet sijiui master prophet sijui most high father anachorwa tu nchi hii aisikie tu kwenye radio ina mifumo ya kufa mtu kuanzia kanisani vyama vya upinzani misikitini answer Sunna nk Lisu mwenyewe hakuamini macho yake kuona akina Halima Mdee na Seif sharif Hamad na akina Gwajima na Kakobe na Lowasa na Slaa nk walichofanya
Suguye mtoto mdogo sana na Kelele zake za kitoto za matembele ya ngapi na TV
 
Kwa nini?
Unataka KUMTEKA ?!!!

Au mtampakazia kuwa siyo raia ?
Suguye kaamua ku dissolve huduma CAG yaani mkaguzi Mkuu wa serikali kapitie hesabu za hiyo NGO toka ianzishwe kama ufisadi kamata Suguye
 
Sasa kama ipo hivyo kilichowafanya kumpiga Lisu risasi ni nini? Pale ndipo mlipoonyesha kuwa dhaifu sana.
 
Sasa kama ipo hivyo kilichowafanya kumpiga Lisu risasi ni nini? Pale ndipo mlipoonyesha kuwa dhaifu sana.
Una ushahidi? Au unasikiliza porojo tu za Lisu aliyegoma kuripoti polisi na dereva wake waisaidie polisi kueleza kilichotokea

Wenye tukio waligoma kutoa maelezo wewe mtu baki una ushahidi?
 
Umeongeza chumvi kupitiliza, kanisa lake la kawaida sana!
Sipingani nawe Mkuu,huenda nina tatizo katika kulinganisha,lakini kwa kuwa nimebahatika kuingia kwenye makanisa yote matatu niliyoyataja,ndiyo maana nikafikia hitimisho hilo. Usilichukulie poa lile kanisa Kama hujawahi kuingia ndani.
 
Sipingani nawe Mkuu,huenda nina tatizo katika kulinganisha,lakini kwa kuwa nimebahatika kuingia kwenye makanisa yote matatu niliyoyataja,ndiyo maana nikafikia hitimisho hilo. Usilichukulie poa lile kanisa Kama hujawahi kuingia ndani.
Tatizo mnaandikaga utafikiri umeelekezwa cha kuandika.Mara hii umesahau kama umeandika kuwa kanisa la Suguye ni kubwa kuliko kanisa la mtume na nabii yeyote hapa Tanzania?
 
Hana lolote huyo ajitafakari kwanza yeye anayoyafanya ndiyo awanyooshee vidole wengine,mjanja mjanja tu huyo hana jipya
 
Nabii gwajima alishaubariki uchafuzi kwamba ulikuwa huru na haki...
 
Back
Top Bottom