SAGAI GALGANO
JF-Expert Member
- Nov 13, 2009
- 47,706
- 69,281
Umemfananisha na ngwajimaNa yeye ameshatubu kugonga kondoo wake hasa hasa wake za watu?
,Kwani kasema uwongo? Watubu! Tabia ya mbuni si sawa binadamu kuiiga.
Uhamiaji nao wapo pale.....utasikia kanisa lipo barabarani upande pili kambi jeshi kuna maboresho kanisa lihame haraka !!! Hapo mipango miji wameshapigiwa
Alichotabiri sichoPia nabii Suguye amesema alikuwa mtu wa kwanza kutabiri kuwa korona itatoweka haraka nchini Tanzania
We unaona ni mapenzi?? Mxiuuuuu!!Kumbe hii nayo ni siasa! Mods mbona hamueleweki.
tapeli mkubwa huyu! Corona imetoweka lini Tz? bado watu wanakufa kwa corona acheni mchezo wa kusikiliza wanasiasa.Pia nabii Suguye amesema alikuwa mtu wa kwanza kutabiri kuwa korona itatoweka haraka nchini Tanzania.
Aache unoko. Yawezekana alishindwa kura ya maoniHahahaa, ashaingiza siku hapo
Shida teyarii..!!! Jack MngoniHivi lile kanisa si lipo karibu eneo la jeshi?
Mods ondoeni huku iwekeni ukurasa inayostahili.We unaona ni mapenzi?? Mxiuuuuu!!
Afungiwe Huduma 😄😃Nabii kanena aisee