Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hayo meno yananiogopesha km funza wa vyoo vya bush enzi hizoIla kuwa na imani yoyote kuhusu hayo mambo ya Mungu lazima nati zifyatuke .
View attachment 3078834
Kwa nini?Hayo meno yananiogopesha km funza wa vyoo vya bush enzi hizo
Labda tumuulize Papa aliyewaita machoko Vatican wakabarikiwe.Huyo mohamed ni Mungu au Malaika?
Usikute Nabii Tito ndio Lucas Mwashambwa 😃😃😃ccm inapenda machizi wenzao.ushasikia ccm inataka wenye akili
Umenikumbusha kuna vile vikanisa vidogo vya mtaan unakuta humo ndani kuna mchungaji na familia yake pekee,yaan waumin ni mama na watoto wakeMuacheni Nabii Tito hana baya, kwani kuna alikotukana hapo?
Hiyo makeup sijui kapakwa na mkewe? Wanaume kama mwanamke wako hakupi sapoti kama mke wa Nabii Tito hakufai.
Misingi ya muislam ktk kuendea jambo au kusema jambo huzingatia mambo mawili 1 ni Qur an na 2 ni Hadithi hivo Qur an imemta muislam anapo literally khabari na mtu faasiq basi habari hio waichunguze pia Hadith ikafafanua kua Utakapotaka kufanya jambo lolote (ikiwemo kuongea) litazame mwisho wake ikiwa mwisho wake ni kheri lifanye na ikiwa mwisho wake ni shari liwache, sasa ukiona limejibiwa na viongozi wa uislam wenye mamlaka ujue limetazamwa kwa kina na kujiridhisha kua msemaji analenga niniHii nchi chezea vyote usimguse kiongozi Mwandamizi yeyote. Nabii Tito alilitambua hili ndio maana huwa hajawahi kuwapinga. Mara nyingi huwasifia.
Pili usiguse watu watu wa Dini ya Kiislamu. Waislamu wana msimamo na hawayumbishwi kirahisi.
Kitendo cha Nabii Tito kumgusa Muhammad ameyakanyaga.
Subirini siku chache tu mtaona majibu.
View attachment 3078826
Hawa ni maajenti wa kupumbaza taifa.
Wale waliochinjwa kwa kosa kuchora vikaragosi vya Mtume Muhammad walikuwa na kosa kubwa zaidi ya hili la Mh. Tito?Mimi ni muislam na nataka nikujulishe kuwa hapo hakuna kosa lolote litakalo mfanya aadhibiwe na waislam maana hajautukana uislam wala hajafanya kosa lolote linalogusa hisia ya muislam hajapinga hata kimoja katika uislam