Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Basi tu inanikirihisha nafsiKwa nini?
Hiyo ungusable yake ni kwasababu ya utahira au kuna jambo jingine nyuma yake?alishaenda mpaka mirembe akaachiwa mkuu huyo mmh ungusable
Ngoja nikuwekeeHivi mwenye ile video akiwa madhabahuni anakata mauno na mke wake aiweke hapa tuburudike
Ndiyo kumchora Nabii Muhammad kikaragosi hayo ni matusi kwa uislam.Wale waliochinjwa kwa kosa kuchora vikaragosi vya Mtume Muhammad walikuwa na kosa kubwa zaidi ya hili la Mh. Tito?
Na Tito kujiita Mungu then kutaja Mtume wenu kazaliwa location ya uongo na kumpa ukoo wa uongo sio kosa?Ndiyo kumchora Nabii Muhammad kikaragosi hayo ni matusi kwa uislam
Niwekee niburudikeNgoja nikuwekee
Spot on, wakimpeleka mahakamani anashinda kesi mapema sana.Hapa mbona mimi sijaona tatizo. Kasema yesu ni Mgogo na Mtume Mohamad ni Mrangi. Unatakiwa kumpinga kwa hoja kwa Yesu asiwe mgogo na Mtume asiwe Mrangi maana mimi na wewe hamna aliyekuwepo ku=indi cha Mitume hao wa Mungu. Inawezekana hao mitume ni Waafrika kwa asili.
Hii nchi chezea vyote usimguse kiongozi Mwandamizi yeyote. Nabii Tito alilitambua hili ndio maana huwa hajawahi kuwapinga. Mara nyingi huwasifia.
Pili usiguse watu watu wa Dini ya Kiislamu. Waislamu wana msimamo na hawayumbishwi kirahisi.
Kitendo cha Nabii Tito kumgusa Muhammad ameyakanyaga.
Subirini siku chache tu mtaona majibu.
View attachment 3078826
Hii ni total mental case.. Atakayemchukulia serious hana akiliHii nchi chezea vyote usimguse kiongozi Mwandamizi yeyote. Nabii Tito alilitambua hili ndio maana huwa hajawahi kuwapinga. Mara nyingi huwasifia.
Pili usiguse watu watu wa Dini ya Kiislamu. Waislamu wana msimamo na hawayumbishwi kirahisi.
Kitendo cha Nabii Tito kumgusa Muhammad ameyakanyaga.
Subirini siku chache tu mtaona majibu.
View attachment 3078826
🤣🤣🤣🤣Mhamed ndio nani?
Hii nchi chezea vyote usimguse kiongozi Mwandamizi yeyote. Nabii Tito alilitambua hili ndio maana huwa hajawahi kuwapinga. Mara nyingi huwasifia.
Pili usiguse watu watu wa Dini ya Kiislamu. Waislamu wana msimamo na hawayumbishwi kirahisi.
Kitendo cha Nabii Tito kumgusa Muhammad ameyakanyaga.
Subirini siku chache tu mtaona majibu.
View attachment 3078826
ccm inapenda machizi wenzao.ushasikia ccm inataka wenye akili
Ipo siku atasema kuwa amemla mkuu.Huyu jamaa bwana , alikuja na mambo yake ya kuruhusu ulale na house girl, baadae akaja na gear kwamba yeye na mke wake hawafanyi tendo la ndoa wanaangaliana tu Leo amekuja na mpya kwamba Mtumie Muhammad ni Mrangi wa Kondoa. Aiseeeh!