Nabii Tito kagusa kusikogusika, soon watamshughulia.

Nabii Tito kagusa kusikogusika, soon watamshughulia.

Wale waliochinjwa kwa kosa kuchora vikaragosi vya Mtume Muhammad walikuwa na kosa kubwa zaidi ya hili la Mh. Tito?
Ndiyo kumchora Nabii Muhammad kikaragosi hayo ni matusi kwa uislam.
Ila kusema Muhammad asili yake ni kondoa kama alivyosema Tito hayo siyo matusi.

Hivyo Tito ni miongoni mwa watu wanaotakiwa kuelezwa ukweli tu ili aelewe na wala hajaonyesha uadui wowote.
 
M nafikiri tumwombee tu wapendwa...
 
Hapa mbona mimi sijaona tatizo. Kasema yesu ni Mgogo na Mtume Mohamad ni Mrangi. Unatakiwa kumpinga kwa hoja kwa Yesu asiwe mgogo na Mtume asiwe Mrangi maana mimi na wewe hamna aliyekuwepo ku=indi cha Mitume hao wa Mungu. Inawezekana hao mitume ni Waafrika kwa asili.
Spot on, wakimpeleka mahakamani anashinda kesi mapema sana.
 
Hii nchi chezea vyote usimguse kiongozi Mwandamizi yeyote. Nabii Tito alilitambua hili ndio maana huwa hajawahi kuwapinga. Mara nyingi huwasifia.
Pili usiguse watu watu wa Dini ya Kiislamu. Waislamu wana msimamo na hawayumbishwi kirahisi.
Kitendo cha Nabii Tito kumgusa Muhammad ameyakanyaga.
Subirini siku chache tu mtaona majibu.
View attachment 3078826

Anaweza kuwa ni MK254 huyu.

Siyo Bure! 🤣
 
Hii nchi chezea vyote usimguse kiongozi Mwandamizi yeyote. Nabii Tito alilitambua hili ndio maana huwa hajawahi kuwapinga. Mara nyingi huwasifia.
Pili usiguse watu watu wa Dini ya Kiislamu. Waislamu wana msimamo na hawayumbishwi kirahisi.
Kitendo cha Nabii Tito kumgusa Muhammad ameyakanyaga.
Subirini siku chache tu mtaona majibu.
View attachment 3078826
Hii ni total mental case.. Atakayemchukulia serious hana akili
 
Hii nchi chezea vyote usimguse kiongozi Mwandamizi yeyote. Nabii Tito alilitambua hili ndio maana huwa hajawahi kuwapinga. Mara nyingi huwasifia.
Pili usiguse watu watu wa Dini ya Kiislamu. Waislamu wana msimamo na hawayumbishwi kirahisi.
Kitendo cha Nabii Tito kumgusa Muhammad ameyakanyaga.
Subirini siku chache tu mtaona majibu.
View attachment 3078826

Huyu jamaa bwana , alikuja na mambo yake ya kuruhusu ulale na house girl, baadae akaja na gear kwamba yeye na mke wake hawafanyi tendo la ndoa wanaangaliana tu Leo amekuja na mpya kwamba Mtumie Muhammad ni Mrangi wa Kondoa. Aiseeeh!
 
Huyu jamaa bwana , alikuja na mambo yake ya kuruhusu ulale na house girl, baadae akaja na gear kwamba yeye na mke wake hawafanyi tendo la ndoa wanaangaliana tu Leo amekuja na mpya kwamba Mtumie Muhammad ni Mrangi wa Kondoa. Aiseeeh!
Ipo siku atasema kuwa amemla mkuu.
Maana wiki iliyopita alikuwa na kampeni ya kuwalala wanawake kwenye ndoto
 
Back
Top Bottom