Nabii Tito kagusa kusikogusika, soon watamshughulia.

Hapana ukihangaika na mtu ambaye hayupo sawa wewe ndio utakuwa na matatizo, huyu aachwe tu atafutiwe tiba akae sawa
 
Aliyeleta hii post hakika yeye ndio hamnazo
 
Dear huenda ni kweli, Yeye si ndo ananifahamu bhanaa.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
😅😅😅😅
Halafu ujue nina hamu kweli ya kukufahamu, tufanyeje sasa
 
Kwa hiyo kumuita mrangi ndio kosa?
Inamana uarabu ndio dili wengine wanamind kumuita muhamadi mrangi NACHOSHUKURU NAKUFURAHIBNI KUWA WA IRAN WENGI WANAHAMIA UKRISTO THANKS YEHOVA
 
Kwahiyo unataka kusema huyo nabii wa mchongo yeye ndo alikuwepo Kipindi cha mitume?
 
Kwani uislam hausamehi mataahira?
 
Inamana uarabu ndio dili wengine wanamind kumuita muhamadi mrangi NACHOSHUKURU NAKUFURAHIBNI KUWA WA IRAN WENGI WANAHAMIA UKRISTO THANKS YEHOVA
Halafu asilimia 90 ya warangi ni wafuasi wa mudi halafu wanachukia mudi kuitwa mrangi
 
Mi najiuliza huwa anatoa wapi pesa ya bando muda wote yupo live??sijui walitoana wapi na huyo mkewe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…