Nabii wa Ishara atabiri chuki kwa utawala wa Rais Samia kama hatamwachilia Mbowe

Huyo nabii kwanza angeweka wazi utakatifu wa Mbowe ni upi,kama kweli mtu mlevi,mzinifu mwizi wa fedha za taasisi anapendeza mbele za macho ya Bwana.
 
MUNGU AMLINDE sana huyu Pastor.
 
Kuna zuri zaidi ya hilo?
 
Reactions: G4N
Stuxnet Jamaa yako kanena tena jambo 🤣 🤣
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…