- Thread starter
- #41
Mm siyo chadema lkn kama nungejua mahala lilipo kanisa lake kesho ningekuwa mteja wakeHuyo nanbii anaweza kanisnai kwake kukaanza kujaa michadema kila jumapili kama kipindi kile cha gwaji boy na ubuyu wa bashite
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mm siyo chadema lkn kama nungejua mahala lilipo kanisa lake kesho ningekuwa mteja wakeHuyo nanbii anaweza kanisnai kwake kukaanza kujaa michadema kila jumapili kama kipindi kile cha gwaji boy na ubuyu wa bashite
Huyu jamaa Anna emotions mno...Hii ndiyo kasoro yake...ana hasira kwa hiyo hakuna utabiri hapo...Nabii wa ishara Tanzania ametoa unabii na maono ya kiroho kwamba utawala wa SSH utapata laana na chuki isiyomithilika kama utaendelea kumshikilia Mbowe.
Akaongeza kwa kusema hata kifo cha waziri wa ulinzi kiroho kina maana mbaya sana kwa taifa, kinamaanisha Mungu amekasirika na kuamua kuondoa ulinzi.
Amemuonya rais SSH kujitafakari na kulinusuru taifa kwa kumuachilia Mbowe haraka iwezekanavyo.
Msikilize hapa:
View attachment 1883764
Na huyu nabii siyo wa mchezo mchezo alishawahi kutoa utabiri wake ukatimia 100%
Nabii wa Ishara Tanzania: CCM wataomboleza, Zanzibar kuna mgogoro na kifo cha mtu mkubwa 2021
Tizama mwenywe dakika ya 32 - 37 na 47- 49:30 ama kama unaweza tazama yote. Katabiri mengi yatakayojiri 2021, lkn mm nimechukua ya kisiasa tu. 1. Wakuu wa mihimili 3 mmojawapo atapata shida kubwa ya kiafya na kupelekea ku-rest in peace. 2. Mmojawapo wa viongozi wakubwa wa ccm ataingia kwenye...www.jamiiforums.com
Ni mjasiriamali, siyo nabii??Huyo ni mjasisiriamali wa dini ambaye anatumia kofia ya kichungaji kupata wafuasi.
[emoji23][emoji23]Umeona,Chai
Ndo huyo huyo, yaani jamaa alitabiri na ikawa kwa 100%.Huyu ndio aliotabiri jiwe kupasuka ?
Huyo huyo unayemdharau tarehe 2 January, 2021 alitabiri kuwa kuna kifo cha mtu mzito kuliko wote nchini na ndani ya CCM kitatokea. Wakati huo Jiwe alikuwa yu heri na hakuna aliyejua Mchato angesepa na sanda, mara paaaap mwezi March tukaimba wimbo wa taifa na hotuba ya tanzia.Hivi hawa watabiri hua hawana uwezo wa kutabiri mambo mazuri? Kila mtabiri hutabiri mambo mabaya!!
Sasa hivi atakuja mwingine na kujiita nabii na atasema "Simba itaanguka coz Mungu amekasirika kwa Mo kumtimua Manara"
Mtu kujiita Nabii imekua jambo jepesi sana siku hizi.
🤣🤣🤣🤣
Nabii wa ishara Tanzania ametoa unabii na maono ya kiroho kwamba utawala wa SSH utapata laana na chuki isiyomithilika kama utaendelea kumshikilia Mbowe.
Akaongeza kwa kusema hata kifo cha waziri wa ulinzi kiroho kina maana mbaya sana kwa taifa, kinamaanisha Mungu amekasirika na kuamua kuondoa ulinzi.
Amemuonya rais SSH kujitafakari na kulinusuru taifa kwa kumuachilia Mbowe haraka iwezekanavyo.
Msikilize hapa:
View attachment 1883764
Na huyu nabii siyo wa mchezo mchezo alishawahi kutoa utabiri wake ukatimia 100%
Nabii wa Ishara Tanzania: CCM wataomboleza, Zanzibar kuna mgogoro na kifo cha mtu mkubwa 2021
Tizama mwenywe dakika ya 32 - 37 na 47- 49:30 ama kama unaweza tazama yote. Katabiri mengi yatakayojiri 2021, lkn mm nimechukua ya kisiasa tu. 1. Wakuu wa mihimili 3 mmojawapo atapata shida kubwa ya kiafya na kupelekea ku-rest in peace. 2. Mmojawapo wa viongozi wakubwa wa ccm ataingia kwenye...www.jamiiforums.com
Huyo huyo unayemdharau tarehe 2 January, 2021 alitabiri kuwa kuna kifo cha mtu mzito kuliko wote nchini na ndani ya CCM kitatokea. Wakati huo Jiwe alikuwa yu heri na hakuna aliyejua Mchato angesepa na sanda, mara paaaap mwezi March tukaimba wimbo wa taifa na hotuba ya tanzia.
Bado ile ajali ya mtu mzito Zanzibar alitabiri miezi kadhaa kabla. We endelea kumbeza.
7 August 21Issue si kumuabudu, issue ni je aliyoyasema enzi ile yalitokea au hayakutokea? Kama yalitokea kwanini tusimuamini leo?Mwambie aanzishe Dini yake ili ukamuabudu.
Kiukweli Mbowe maisha yake yako hatarini. Kama msosi unapita ktk mikono ya wasiojulikana kiasi hiki!!Mbowe ataachiwa tu!sema hatoishi muda mrefu!!kama anapewa chakula na mtu ambae hata hamuoni kinyume na sheria za Polisi!!!!!RIP KAMANDA!!!!KIGAILA KATOA HINTS ZA KUPEWA CHAKULA MBOWE!!!
Kutegemea Manabii ndio njia pekee iliyobaki ya Chadema kupambana. Uchaguzi walishindwa. Maandamano walishindwa. Kuhudhuria kesi Kisutu walishindwa. Kilichobaki na ushuhuda tu wa manabii! Ahahahahahahah!!!Nabii wa ishara Tanzania ametoa unabii na maono ya kiroho kwamba utawala wa SSH utapata laana na chuki isiyomithilika kama utaendelea kumshikilia Mbowe.
Akaongeza kwa kusema hata kifo cha waziri wa ulinzi kiroho kina maana mbaya sana kwa taifa, kinamaanisha Mungu amekasirika na kuamua kuondoa ulinzi.
Amemuonya rais SSH kujitafakari na kulinusuru taifa kwa kumuachilia Mbowe haraka iwezekanavyo.
Msikilize hapa:
View attachment 1883764
Na huyu nabii siyo wa mchezo mchezo alishawahi kutoa utabiri wake ukatimia Nabii wa Ishara Tanzania: CCM wataomboleza, Zanzibar kuna mgogoro na kifo cha mtu mkubwa 2021
Kama tulizika jiwe, basi kaa ukijua na maushungi soon anazikwaKutegemea Manabii ndio njia pekee iliyobaki ya Chadema kupambana. Uchaguzi walishindwa. Maandamano walishindwa. Kuhudhuria kesi Kisutu walishindwa. Kilichobaki na ushuhuda tu wa manabii! Ahahahahahahah!!!