Nabii wa Ishara atabiri chuki kwa utawala wa Rais Samia kama hatamwachilia Mbowe

Nabii wa Ishara atabiri chuki kwa utawala wa Rais Samia kama hatamwachilia Mbowe

Kama tulizika jiwe, basi kaa ukijua na maushungi soon anazikwa
Hoja ya kipumbavu kabisa. Unafikiri JPM alikufa kwasababu mlitaka au muda wake ulifika? Hizo hoja za kipumbavu wapelekee wazazi wako uwaambie wanapokuwa kitandani!!
 
Huyo nabii ataambiwa ni chadema,
Zama zile maaskofu viongozi wa dini walionya wakatukanwa,bezwa kila mtu ni shahidi yaliyopita
 
Nabii wa ishara Tanzania ametoa unabii na maono ya kiroho kwamba utawala wa SSH utapata laana na chuki isiyomithilika kama utaendelea kumshikilia Mbowe.

Akaongeza kwa kusema hata kifo cha waziri wa ulinzi kiroho kina maana mbaya sana kwa taifa, kinamaanisha Mungu amekasirika na kuamua kuondoa ulinzi.

Amemuonya rais SSH kujitafakari na kulinusuru taifa kwa kumuachilia Mbowe haraka iwezekanavyo.

Msikilize hapa:


View attachment 1883764


Na huyu nabii siyo wa mchezo mchezo alishawahi kutoa utabiri wake ukatimia Nabii wa Ishara Tanzania: CCM wataomboleza, Zanzibar kuna mgogoro na kifo cha mtu mkubwa 2021
Katika mambo ambayo Rais ameshauriwa vibaya
1. Kuhusu suala la katiba
Hili ni fukuto ambalo lilikuwa linafukuta chini kwa chini na ilifaa Rais ajitengenezee heshima kwa kuwaletea watanzania wanachotaka. Sasa kumbe utawala wake mwanzo unasadikiwa ilikuwa ni kuwatoa tu ndugu zake masheikh wa uamsho na ikumbukwe wale masheikhe walisababisha viongozi kadhaa wa kiroho huko Zanzibar wengine kumwagiwa Tindikali na wengine kupigwa risasi na kufa na baadhi ya makanisa kuchomwa.
Hili jambo Rais linamtia kwenye
A. Udini
B. Ubaguzi
C. Kutokupendwa.

2. Kuhusu Demokrasia
Watanzania huridhika mapema Sana lakini ni wachunguzi wa mambo kwa kina Sana . Mama hapa ameshauriwa vibaya Sana kwasababu
Kufunga wanachama wa chama cha upinzani hususani chadema hii inamuondolea heshima ya utawala Bora.
Mama alipaswa kuwaita viongozi wa upinzani na kuzungumza nao, Sasa hii funga funga asipostuka anawasogeza watanzania mahali ambapo sio sahihi Sana .

3. Kuhusu Mbowe na ugaidi
Mimi naitazama katika sehemu mbili
1. Wabaya waliopo kwenye system ambao walikuwa wafuasi watiifu wa mtangulizi wake na ambao hawakupenda yeye huyu awe Rais na wanafanya Kila liwezekanalo aonekane viatu mama havimtoshi na mambo mawili ni haya
1. Funga funga Ili wamshinikize ajiudhuru au asigombee Tena.
Wale wasio mpenda yawezekana kwa hakika wameshauri vibaya Sana na yeye ameshaurika vibaya na ameingia mzima mzima kwa jambo hili.
2. Tozo za simu
Haya mambo yamemfuta mama kwenye ramani ya kupendwa.

Nini kifanyike
1. Hujachelewa wewe ni amiri jeshi mkuu
Achia watu kama ulivyowaachia washeikh na wengine wengi.
2.toa tozo hazina tija
3. Kutana na viongozi wa upinzani miyajenge
4. Wape katiba mpya watanzania
5. Sio Kila anaekushauri anakupenda , jiridhishe kabla hujachukua maamuzi.
 
Nabii wa ishara Tanzania ametoa unabii na maono ya kiroho kwamba utawala wa SSH utapata laana na chuki isiyomithilika kama utaendelea kumshikilia Mbowe.

Akaongeza kwa kusema hata kifo cha waziri wa ulinzi kiroho kina maana mbaya sana kwa taifa, kinamaanisha Mungu amekasirika na kuamua kuondoa ulinzi.

Amemuonya rais SSH kujitafakari na kulinusuru taifa kwa kumuachilia Mbowe haraka iwezekanavyo.

Msikilize hapa:


View attachment 1883764


Na huyu nabii siyo wa mchezo mchezo alishawahi kutoa utabiri wake ukatimia Nabii wa Ishara Tanzania: CCM wataomboleza, Zanzibar kuna mgogoro na kifo cha mtu mkubwa 2021
EBWANA USIKIE, EBWANA USAMEHE, TAZAMA BWANA NCHI YAKO NA WATU WAKO TUSIO NA HATIA TUNAITWA KWA JINA LAKO. utusamehe kwa maovu yetu umwokoe Mbowe na Wenzake, Ukuu wako ukaonekane dhidi ya maadui zetu. Bwana wa Israel Mungu wa Yakobo ukawatendee sawa sawa na mapenzi yako.
 
Laana iwashukie wale walionyuma ya mateso ya Mbowe........

Pia laana imshukie Mbowe kama ametenda ambayo anashukiwa kuwa ametenda maana moyo wa mtu ni kiza kinene........
Mungu mwenye Rehema na Ghadhabu Atende sawa sawa na mapenzi yake. Uovu usishinde mbele ua Nguvu zake na Mkono wake wenye nguvu.
 
Wew ni mpumbavu hakuna kifo Cha kizembe Kifo ni Kifo tu kwani wew huko Moshi watu hawafi

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
tukana sana Covid akiwa Chattle, chanja mbuga hadi Dodoma akifanya mikutano bila tahadhari, pita mpaka Morogoro akitukana Covid. Kisha Dar es Salaam akiwaambia watu eti barakoa inafanana na titi la mwanamke lililokatwa. Baadae kidogo kimya. Watu wakaanza kumuuliza yuko wapi huyo jamaa. Tundu Lissu akautangazia umma. Kufumba na kufumbua tukafunga maturubai. Marehemu alikuwa anaona Covid kama Simba na Yanga hivi
 
Hivi hawa watabiri hua hawana uwezo wa kutabiri mambo mazuri? Kila mtabiri hutabiri mambo mabaya!!

Sasa hivi atakuja mwingine na kujiita nabii na atasema "Simba itaanguka coz Mungu amekasirika kwa Mo kumtimua Manara"

Mtu kujiita Nabii imekua jambo jepesi sana siku hizi.
🤣🤣🤣🤣
Hata nabii Yeremia alivyopelekwa mbele ya mfalme, alitoa unabii alioagizwa na Mungu ambao haukumfurahisha mfalme na watu wote, pamoja na kwamba alikuwa kwenye hatari ya kuuawa lakini haikufanya yeye kutoa mapambio kama baadhi ya viongozi wa dini tunaowajua leo hii...
 
Hivi hawa watabiri hua hawana uwezo wa kutabiri mambo mazuri? Kila mtabiri hutabiri mambo mabaya!!

Sasa hivi atakuja mwingine na kujiita nabii na atasema "Simba itaanguka coz Mungu amekasirika kwa Mo kumtimua Manara"

Mtu kujiita Nabii imekua jambo jepesi sana siku hizi.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Huyu alitabiri jiwe kufa a month before. Usifanye masihara.
 
Huyo nabii kwanza angeweka wazi utakatifu wa Mbowe ni upi,kama kweli mtu mlevi,mzinifu mwizi wa fedha za taasisi anapendeza mbele za macho ya Bwana.
Huyo ndo alitabiri kifo cha mungu wenu wa chato usijisahaulishe.
 
... Mungu amelipa kisogo taifa! Hiyo ndio tafasiri ya tukio lile! Wakaendelea kushupaza shingo, ameondoka waziri wa ulinzi! Hayo ni maandishi ukutani bro; ayaonaye mambo haya na afahamu!
"mene mene,....
 
Nabii wa ishara Tanzania ametoa unabii na maono ya kiroho kwamba utawala wa SSH utapata laana na chuki isiyomithilika kama utaendelea kumshikilia Mbowe.

Akaongeza kwa kusema hata kifo cha waziri wa ulinzi kiroho kina maana mbaya sana kwa taifa, kinamaanisha Mungu amekasirika na kuamua kuondoa ulinzi.

Amemuonya rais SSH kujitafakari na kulinusuru taifa kwa kumuachilia Mbowe haraka iwezekanavyo.

Msikilize hapa:


View attachment 1883764


Na huyu nabii siyo wa mchezo mchezo alishawahi kutoa utabiri wake ukatimia Nabii wa Ishara Tanzania: CCM wataomboleza, Zanzibar kuna mgogoro na kifo cha mtu mkubwa 2021
.
 
Back
Top Bottom