Nabii wa Ishara atabiri chuki kwa utawala wa Rais Samia kama hatamwachilia Mbowe

Huyo nanbii anaweza kanisnai kwake kukaanza kujaa michadema kila jumapili kama kipindi kile cha gwaji boy na ubuyu wa bashite
Mm siyo chadema lkn kama nungejua mahala lilipo kanisa lake kesho ningekuwa mteja wake
 
Huyu jamaa Anna emotions mno...Hii ndiyo kasoro yake...ana hasira kwa hiyo hakuna utabiri hapo...
 
Huyo huyo unayemdharau tarehe 2 January, 2021 alitabiri kuwa kuna kifo cha mtu mzito kuliko wote nchini na ndani ya CCM kitatokea. Wakati huo Jiwe alikuwa yu heri na hakuna aliyejua Mchato angesepa na sanda, mara paaaap mwezi March tukaimba wimbo wa taifa na hotuba ya tanzia.

Bado ile ajali ya mtu mzito Zanzibar alitabiri miezi kadhaa kabla. We endelea kumbeza.
 
 
Mwambie aanzishe Dini yake ili ukamuabudu.
 
Mbowe ataachiwa tu!sema hatoishi muda mrefu!!kama anapewa chakula na mtu ambae hata hamuoni kinyume na sheria za Polisi!!!!!RIP KAMANDA!!!!KIGAILA KATOA HINTS ZA KUPEWA CHAKULA MBOWE!!!
 
Mbowe ataachiwa tu!sema hatoishi muda mrefu!!kama anapewa chakula na mtu ambae hata hamuoni kinyume na sheria za Polisi!!!!!RIP KAMANDA!!!!KIGAILA KATOA HINTS ZA KUPEWA CHAKULA MBOWE!!!
Kiukweli Mbowe maisha yake yako hatarini. Kama msosi unapita ktk mikono ya wasiojulikana kiasi hiki!!
 
Kutegemea Manabii ndio njia pekee iliyobaki ya Chadema kupambana. Uchaguzi walishindwa. Maandamano walishindwa. Kuhudhuria kesi Kisutu walishindwa. Kilichobaki na ushuhuda tu wa manabii! Ahahahahahahah!!!
 
Kutegemea Manabii ndio njia pekee iliyobaki ya Chadema kupambana. Uchaguzi walishindwa. Maandamano walishindwa. Kuhudhuria kesi Kisutu walishindwa. Kilichobaki na ushuhuda tu wa manabii! Ahahahahahahah!!!
Kama tulizika jiwe, basi kaa ukijua na maushungi soon anazikwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…