Acha wanachukua chako mapema wakufe kabisa,kwani kama ni laana zimewaelemea hadi hata wote akina anayeweza kuzibeba.Kama mbwahi wacha iwe mbwahi tu.
Clip inajionyesha kutoka kwenye iliyokuwa ni ngome kubwa ya ccm mikoa ya kusini.
Wananchi tena kina mama wanarudisha kadi za ccm baada ya kuchoshwa na ahadi za uongo kila mwaka toka 1961.
Kama watu wa kusini wameamua hivi , wewe ndugu yangu wa lumumba unasubiri nini?View attachment 2748164
Spinning tu hizo. Yaani kurudisha kadi mpaka kuna maandalizi?Kama mbwahi wacha iwe mbwahi tu.
Clip inajionyesha kutoka kwenye iliyokuwa ni ngome kubwa ya ccm mikoa ya kusini.
Wananchi tena kina mama wanarudisha kadi za ccm baada ya kuchoshwa na ahadi za uongo kila mwaka toka 1961.
Kama watu wa kusini wameamua hivi , wewe ndugu yangu wa lumumba unasubiri nini?View attachment 2748164
Hao walikuwa wadanganyika wa wana chukua chako mapema,ila sasa watanganyika waliodanganyika wamesanuka.
Hamna wamakonde wa hivyo. Nakataa katakana. Kwanza unajuwa kuwa bei ya mbaazi kilo moja imepanda toka Tsh 500/= hadi Tsh 2,500/=?Wewe ndiye unajua spinning
Huna akili kabisa wewe mbwiga.Hamna wamakonde wa hivyo. Nakataa katakana. Kwanza unajuwa kuwa bei ya mbaazi kilo moja imepanda toka Tsh 500/= hadi Tsh 2,500/=?
Sasa mmakonde anaanzaje kumbeza Samia?