Nachingwea wazidi kurudisha kadi za CCM

Nachingwea wazidi kurudisha kadi za CCM

Kama mbwahi wacha iwe mbwahi tu.

Clip inajionyesha kutoka kwenye iliyokuwa ni ngome kubwa ya CCM mikoa ya Kusini.

Wananchi tena kina mama wanarudisha kadi za CCM baada ya kuchoshwa na ahadi za uongo kila mwaka toka 1961.

Kama watu wa kusini wameamua hivi , wewe ndugu yangu wa lumumba unasubiri nini?

View attachment 2748164
Wanakusini mmeanza kupata akili za juu hongera sana!
 
Kama mbwahi wacha iwe mbwahi tu.

Clip inajionyesha kutoka kwenye iliyokuwa ni ngome kubwa ya CCM mikoa ya Kusini.

Wananchi tena kina mama wanarudisha kadi za CCM baada ya kuchoshwa na ahadi za uongo kila mwaka toka 1961.

Kama watu wa kusini wameamua hivi , wewe ndugu yangu wa lumumba unasubiri nini?

View attachment 2748164
Napata faraja kubwa nikiona hivi. Unaweza kuwadanganya baadhi ya watu kwa muda fulani lakini huwezi kuwadanganya watu wote kwa muda wote. Saa ya ukombozi ni sasa,naipenda nchi yangu Jamhuri ya Tanganyika
 
Kama mbwahi wacha iwe mbwahi tu.

Clip inajionyesha kutoka kwenye iliyokuwa ni ngome kubwa ya CCM mikoa ya Kusini.

Wananchi tena kina mama wanarudisha kadi za CCM baada ya kuchoshwa na ahadi za uongo kila mwaka toka 1961.

Kama watu wa kusini wameamua hivi , wewe ndugu yangu wa lumumba unasubiri nini?

View attachment 2748164
Ni dhahiri Samia hana washauri wazuri. Hili lilitegemewa hasa alipofanya kosa la kutamka kuwa amemfuta DC na DED kazi kwa kuwa wanachama wamerudisha kadi. Hapo watu wakajua weakness yake. Hizi tunaita ajali za kisiasa. Mtu ukiwa mbele ya umma, lazima uwe mwangalifu na maneno au vitendo vyako. Ilikuwa ajali kama ajali nyinginezo, washauri wake akina Luhwavi ambao wamebobea katika siasa waangalie vitu kama hivi siku za usoni.
 
Kama mbwahi wacha iwe mbwahi tu.

Clip inajionyesha kutoka kwenye iliyokuwa ni ngome kubwa ya CCM mikoa ya Kusini.

Wananchi tena kina mama wanarudisha kadi za CCM baada ya kuchoshwa na ahadi za uongo kila mwaka toka 1961.

Kama watu wa kusini wameamua hivi , wewe ndugu yangu wa lumumba unasubiri nini?

View attachment 2748164
Kama hali ndiyo hii basi CCM by by Nachingwea. Lipumba wahii tenda hapo.
 
Kama mbwahi wacha iwe mbwahi tu.

Clip inajionyesha kutoka kwenye iliyokuwa ni ngome kubwa ya CCM mikoa ya Kusini.

Wananchi tena kina mama wanarudisha kadi za CCM baada ya kuchoshwa na ahadi za uongo kila mwaka toka 1961.

Kama watu wa kusini wameamua hivi , wewe ndugu yangu wa lumumba unasubiri nini?

View attachment 2748164


MAIGIZO YA CHADEMA YA KURUDISHA KADI NAONA YANAZIDI KUPAMBA MOTO NI AKILI MBOVU NA ZA KITOTO MNO AMBAZO HAZITUSTUI SISI WAKONGWE WA SIASA ABADANI.
AU NA CCM WAANZE KUFANYA MAIGIZO LAKINI HUU NI UTOTO!
 
MAIGIZO YA CHADEMA YA KURUDISHA KADI NAONA YANAZIDI KUPAMBA MOTO NI AKILI MBOVU NA ZA KITOTO MNO AMBAZO HAZITUSTUI SISI WAKONGWE WA SIASA ABADANI.
AU NA CCM WAANZE KUFANYA MAIGIZO LAKINI HUU NI UTOTO!
Tulisha kudharau kitambo
 
Back
Top Bottom