Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
Ni mjinga snHawezi kupotezea maana kwa kupinga kwa hoja dhaifu anakuwa amejiingizia sh 5000 kutoka lumumba.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni mjinga snHawezi kupotezea maana kwa kupinga kwa hoja dhaifu anakuwa amejiingizia sh 5000 kutoka lumumba.
CCM Bado ipo imara na yeyote anayetoka CCM leo lazima arudi kesho kwa majuto na machozi .maana hakuna chama ambacho utakwenda nje ya CCM ukapa amani ya moyo kama ambavyo ukiwa ndani ya CCM
Asant Sana Watanzania, taratibu majizi tutayaondoaKama mbwahi wacha iwe mbwahi tu.
Clip inajionyesha kutoka kwenye iliyokuwa ni ngome kubwa ya CCM mikoa ya Kusini.
Wananchi tena kina mama wanarudisha kadi za CCM baada ya kuchoshwa na ahadi za uongo kila mwaka toka 1961.
Kama watu wa kusini wameamua hivi , wewe ndugu yangu wa lumumba unasubiri nini?
View attachment 2748164
Kama mbwahi wacha iwe mbwahi tu.
Clip inajionyesha kutoka kwenye iliyokuwa ni ngome kubwa ya CCM mikoa ya Kusini.
Wananchi tena kina mama wanarudisha kadi za CCM baada ya kuchoshwa na ahadi za uongo kila mwaka toka 1961.
Kama watu wa kusini wameamua hivi , wewe ndugu yangu wa lumumba unasubiri nini?
View attachment 2748164
dua la kukuCCM Bado ipo imara na yeyote anayetoka CCM leo lazima arudi kesho kwa majuto na machozi .maana hakuna chama ambacho utakwenda nje ya CCM ukapa amani ya moyo kama ambavyo ukiwa ndani ya CCM
Tomorrow never come!!The freedom is coming tomorrow
Hayati JPM aliwakomesha wana mtwara dadekiLa kuvunda halinaga ubani, mama yupo na mwigulu na mkwewe wanadanganyana