CHIEF PRIEST
JF-Expert Member
- Dec 13, 2021
- 11,635
- 21,347
Halafu mama Abdul anasema Chadema inameguka, chawa wanamuongopea sana na yeye anaingia mzimamzimaKama mbwahi wacha iwe mbwahi tu.
Clip inajionyesha kutoka kwenye iliyokuwa ni ngome kubwa ya ccm mikoa ya kusini.
Wananchi tena kina mama wanarudisha kadi za ccm baada ya kuchoshwa na ahadi za uongo kila mwaka toka 1961.
Kama watu wa kusini wameamua hivi , wewe ndugu yangu wa lumumba unasubiri nini?View attachment 2748164
Wewe huna unachojua kuhusu kilimo biashara, sera na mipango. Nguvu ya soko (supply & demand) ndiyo inapanga bei. Lakini ukiwa na sera kama za Magufuli korosho ilishuka bei kutoka Tsh 2,700/= kwa kilo mwaka 2018 hadi Tsh 1,800/=Huna akili kabisa wewe mbwiga.
Yaani hiyo bei ya mbaazi imepandishwa na ccm au mama Samia?
Stupid kabisa endeleeeni na elimu ya kuunga unga maana mpo tu kwa sababu mnaona kumekuchaWewe huna unachojua kuhusu kilimo biashara, sera na mipango. Nguvu ya soko (supply & demand) ndiyo inapanga bei. Lakini ukiwa na sera kama za Magufuli korosho ilishuka bei kutoka Tsh 2,700/= kwa kilo mwaka 2018 hadi Tsh 1,800/=
Kama huoni nguvu ya sera za biashara zinazowekwa na Rais aliye kwenye madaraka, wewe ni kiazi mbatata
Elimu zenu za jando ndiyo mtaji wa ccm kuendelea kutawala mileleWewe huna unachojua kuhusu kilimo biashara, sera na mipango. Nguvu ya soko (supply & demand) ndiyo inapanga bei. Lakini ukiwa na sera kama za Magufuli korosho ilishuka bei kutoka Tsh 2,700/= kwa kilo mwaka 2018 hadi Tsh 1,800/=
Kama huoni nguvu ya sera za biashara zinazowekwa na Rais aliye kwenye madaraka, wewe ni kiazi mbatata
Hahaha SAMIA NI RAIS MPAKA 2030...au niongeze sauti..Hata mkiiba kura hazitatosha
Ukizunguka na mafisi unatarajia nini kama sio kuutafuta mti ambao mafisi hayawezi kuukwea.😂Namuonea huruma sana mama wa watu kabisa.
Ukimtazama ana nia njema kabisa lkn shida ni walio mzunguka
Kama hukusoma, walaumu wazazi wako, usiwaonee wivu waliosoma. Kiazi mbatata utakufa kwa wivuStupid kabisa endeleeeni na elimu ya kuunga unga maana mpo tu kwa sababu mnaona kumekucha
Usishangae wakaandamana kuunga mkono na kupongeza tukioKama watu wa kusini wameamua hivi , wewe ndugu yangu wa lumumba unasubiri nini?
This time chama kinafia jikoni baada ya kunusurika kwa mkwereKama mbwahi wacha iwe mbwahi tu.
Clip inajionyesha kutoka kwenye iliyokuwa ni ngome kubwa ya ccm mikoa ya kusini.
Wananchi tena kina mama wanarudisha kadi za ccm baada ya kuchoshwa na ahadi za uongo kila mwaka toka 1961.
Kama watu wa kusini wameamua hivi , wewe ndugu yangu wa lumumba unasubiri nini?View attachment 2748164
Mbona hili ni igizo kabisa, unarudisha kadi unabaki na jeziKama mbwahi wacha iwe mbwahi tu.
Clip inajionyesha kutoka kwenye iliyokuwa ni ngome kubwa ya ccm mikoa ya kusini.
Wananchi tena kina mama wanarudisha kadi za ccm baada ya kuchoshwa na ahadi za uongo kila mwaka toka 1961.
Kama watu wa kusini wameamua hivi , wewe ndugu yangu wa lumumba unasubiri nini?View attachment 2748164
Kwani 2015, bei ya mbaazi kwa kilo ilikuwa kiasi gani? Na vipi bidhaa nyingine, tangu 2015 mpaka leo zimebakia na bei ile ile?Hamna wamakonde wa hivyo. Nakataa katakana. Kwanza unajuwa kuwa bei ya mbaazi kilo moja imepanda toka Tsh 500/= hadi Tsh 2,500/=?
Sasa mmakonde anaanzaje kumbeza Samia?
tunasema hivi hata hiyo kilo ya mbaazi ifike 5,000/- tumewachoka hatuwataki CCM.Wewe huna unachojua kuhusu kilimo biashara, sera na mipango. Nguvu ya soko (supply & demand) ndiyo inapanga bei. Lakini ukiwa na sera kama za Magufuli korosho ilishuka bei kutoka Tsh 2,700/= kwa kilo mwaka 2018 hadi Tsh 1,800/=
Kama huoni nguvu ya sera za biashara zinazowekwa na Rais aliye kwenye madaraka, wewe ni kiazi mbatata
Hicho chama si ndiyo kina wabunge wote nchi nzima?Kama mbwahi wacha iwe mbwahi tu.
Clip inajionyesha kutoka kwenye iliyokuwa ni ngome kubwa ya CCM mikoa ya Kusini.
Wananchi tena kina mama wanarudisha kadi za CCM baada ya kuchoshwa na ahadi za uongo kila mwaka toka 1961.
Kama watu wa kusini wameamua hivi , wewe ndugu yangu wa lumumba unasubiri nini?
View attachment 2748164