Nachukia sana wauza chakula wanaoleta utaalamu wa afya kwenye menu yangu

Nachukia sana wauza chakula wanaoleta utaalamu wa afya kwenye menu yangu

Analogia Malenga

JF-Expert Member
Joined
Feb 24, 2012
Posts
5,108
Reaction score
10,191
Oya! Mimi nakuja kupiga menu, sio kufuata ushauri wako wa lishe au afya na kutishana kibwege.

Kama ni chai au maziwa acha niweke sukari ninavyojisikia. Sio malalamiko kama nakula bure. I hate hii kitu kabisa kabisa.

Kama nikitaka ushauri wa Afya au lishe nitaenda kwa wataalamu sio nakula chakula napangiwa.

Everyone picks the poison anayoona inafaa, kuna watu wanapenda pombe, sigara, vyupi, nk. Mimi napenda sukari.

Yaani nikinunua chai au maziwa kwako ukanipangia sukari, jua siji tena kwako.
 
Jifunze kutumia vitu kwa kiasi.
 
Ndo unywe chai ya mia 3 alafu ukimaliza unaanza lamba sukari bwasheee
Kama unamhama shemeji yako muhame tu mteja sio wewe peke ako
 
Inategemea huwa unaweka sukari kiwango gani hata kama umelipia...

Kila jambo lina kiasi chake...
 
Dogo weka tu sukari kwa wingi utakapoishiwa nguvu za kiume sisi kaka zako maveterani /wastaafu bado tuna nguvu za kukusaidia mkeo.

Kula sukari kwa wingi soon utaturuhusu mwenyewe tukusaidie kula mzigo.
 
Wana kuhesabia idadi ya vijiko vya Sukari[emoji28] hama hapo I mean timka mkuu[emoji28]
 
Upgrade ubongo wako mkuu una shida kwenye kichwa chako.

Inawezekana Windows ya ubongo wako imeCorrupt ila wewe unajiona upo sahihi.
 
Hahaahhahah tembea nao mkuu mbona unakuja kupigia kelele huku? Sugari taamu ww kula tu kila mtu atakufa kwa jambo lake
 
Siku hizi wanakuwekea sukari kidogo afu wanaondoka na kopo la sukari wanakuachia kijiko cha kukorogea.
 
Back
Top Bottom