Nachukia wanaume wanaopenda kuja kuja jikoni

Nachukia wanaume wanaopenda kuja kuja jikoni

Yani utakuta mwanamke unapika kidogo tu mwanaume anafika jikoni kuangalia angalia kama msosi tayari sipendi aina hii ya wanaume aisee kwani ukikaa kusubiri chakula uko jikoni hakiivi na kama ana ujuzi na kile unachopika anaanza na kukuelekeza juu au anafika anafunua funua ulivyopika. Yaani Mimi mwanaume kuingia jikoni tu kuangalia angalia kinachoendelea hata sipendi.
Mwingine anaangalia kama mazingira yanaruhusu , akupelekee moto wa fasta fasta.
 
Yaelekea mleta mada ni onjeshaonjesha,

Screenshot_20220316-151308_Samsung Internet.jpg
 
Yani utakuta mwanamke unapika kidogo tu mwanaume anafika jikoni kuangalia angalia kama msosi tayari sipendi aina hii ya wanaume aisee kwani ukikaa kusubiri chakula uko jikoni hakiivi na kama ana ujuzi na kile unachopika anaanza na kukuelekeza juu au anafika anafunua funua ulivyopika. Yaani Mimi mwanaume kuingia jikoni tu kuangalia angalia kinachoendelea hata sipendi.
inaoneka umekuwa na wanaume wengi tofaut tofauti
 
Kama kuna wanawake wenginewe huko jikoni sawa lakini kama uko pekeako unapika nisije kwanini!?

Mahaba tit.. huanzia jikoni, sebuleni halafu baadae sana ndo chumbani

Mwanamke usipojua kulitumia jiko ndo matatizo huanzia hapo. Hata kama ni jikoni we mpe tu!

Mi napendaga kwenye vile vikabati kabati vya jikoni.
 
Inawezekana wewe hujui kupika na una ego kiasi kwamba ukikosea hupendi Kurekebishwa, wengine tumezaliwa katika familia ambazo watoto wote ni wakiume hivyo kupika imekuwa kama sehemu ya malezi na makuzi yetu.

Actually mke wangu anapenda niwepo jikoni kumsaidia nikiwepo huku tukipiga soga na kubadilishana Habari za majukumu yetu kila nipatapo nafasi.

Ukiona unapenda mmeo awepo mbali wakati unapika kwani unaficha nn au una secret ingredients za mapishi yako ambayo hutaki ajue au unamuwekea limbwata ukiwa unapika
Kuwa huru kujifunza, kufundisha au kupeana ujuzi leo mzima kesho utaumwa nani atakusaidia hata mapishi kidogo
 
Kuna wengine wanaingiaga kwenye migahawa hii ya mitaani.

Wanaenda moja kwa moja jikoni na kuanza chagua nyama kama atakuwa ameagiza supu.

Atachukua mwiko na kuanza mwambia mama lishe nipe nyama hii huku anakaguachagua chagua.

Tabia hii nayo ni kero sana
 
Yani utakuta mwanamke unapika kidogo tu mwanaume anafika jikoni kuangalia angalia kama msosi tayari sipendi aina hii ya wanaume aisee kwani ukikaa kusubiri chakula uko jikoni hakiivi na kama ana ujuzi na kile unachopika anaanza na kukuelekeza juu au anafika anafunua funua ulivyopika. Yaani Mimi mwanaume kuingia jikoni tu kuangalia angalia kinachoendelea hata sipendi.
Itakuwa umeolewa na Chef[emoji16][emoji3]
 
Yani utakuta mwanamke unapika kidogo tu mwanaume anafika jikoni kuangalia angalia kama msosi tayari sipendi aina hii ya wanaume aisee kwani ukikaa kusubiri chakula uko jikoni hakiivi na kama ana ujuzi na kile unachopika anaanza na kukuelekeza juu au anafika anafunua funua ulivyopika. Yaani Mimi mwanaume kuingia jikoni tu kuangalia angalia kinachoendelea hata sipendi.
Wanaume wa kisasa sisi shem. Tunakufulia mpaka chupi ukiumwa.

Kila kitu 50-50. Haina haja ya mama mkwe au dada zako kuja kusaidia kama kuna majanga.

Uko kazini umechelewa job tunapika. Kazi za ndani tunasaidiana. Haina haja hata ya housegirl.

Ukinyonyesha tunapika na usafi wote. Mtoto akilia usiku tunapeana zamu. Ukisema kichwa chakuuma hatukupi show, tunakupeti peti.

Kila mwezi au hata wiki kama senti zipo twatoka out.

Kama hutuwezi pole. Tutafutie pisi kali inayoweza hayo mahaba niuwe.
 
Nyie ndio mnachujua bakuri la nyama Zima mnalia jikoni huku mkisema mnaisikiliza kama chumvi imekolea
 
Wanaume wa kisasa sisi shem. Tunakufulia mpaka chupi ukiumwa. Kila kitu 50-50. Haina haja ya mama mkwe au dada zako kuja kusaidia kama kuna majanga. Uko kazini umechelewa job tunapika. Kazi za ndani tunasaidiana. Haina haja hata ya housegirl. Ukinyonyesha tunapika na usafi wote. Mtoto akilia usiku tunapeana zamu. Ukisema kichwa chakuuma hatukupi show, tunakupeti peti. Kila mwezi au hata wiki kama senti zipo twatoka out.
Kama hutuwezi pole. Tutafutie pisi kali inayoweza hayo mahaba niuwe…
Samahani mkuu, eti umeshaoa?
 
Yaani utakuta mwanamke unapika kidogo tu mwanaume anafika jikoni kuangalia angalia kama msosi tayari sipendi aina hii ya wanaume aisee kwani ukikaa kusubiri chakula uko jikoni hakiivi na kama ana ujuzi na kile unachopika anaanza na kukuelekeza juu au anafika anafunua funua ulivyopika.

Yaani Mimi mwanaume kuingia jikoni tu kuangalia angalia kinachoendelea hata sipendi.
Mimi sipendi kupita jikoni maana ukipita tuu utasikia naomba maji kwenye kikombe!
 
Back
Top Bottom