Nachukia wanaume wanaopenda kuja kuja jikoni

Nachukia wanaume wanaopenda kuja kuja jikoni

Yaani utakuta mwanamke unapika kidogo tu mwanaume anafika jikoni kuangalia angalia kama msosi tayari sipendi aina hii ya wanaume aisee kwani ukikaa kusubiri chakula uko jikoni hakiivi na kama ana ujuzi na kile unachopika anaanza na kukuelekeza juu au anafika anafunua funua ulivyopika.

Yaani Mimi mwanaume kuingia jikoni tu kuangalia angalia kinachoendelea hata sipendi.
Samahani dada mkuu kwa hili swali.

Mumeo hajawahi kukubandulia huko jikoni?

Sawa hutaki afunuefunue mabakuli huko jikoni mwenye siwezi iyo tabia ya kiwaki labda niwe napika Mimi wenyewe iyosiku,
Vipi mumeo akija aku surprise kimoja huko jikoni then akaondoka bila kufunua masufulia Hapo si atakuwa amesha kuja jikoni.

Iyo nayo hutaki?
 
Yaani utakuta mwanamke unapika kidogo tu mwanaume anafika jikoni kuangalia angalia kama msosi tayari sipendi aina hii ya wanaume aisee kwani ukikaa kusubiri chakula uko jikoni hakiivi na kama ana ujuzi na kile unachopika anaanza na kukuelekeza juu au anafika anafunua funua ulivyopika.

Yaani Mimi mwanaume kuingia jikoni tu kuangalia angalia kinachoendelea hata sipendi.
Mwingine alisema jitu unalipikia limekaa huko sebuleni hata kuja jikoni kukushika tako haliji akamalizia kwa kusema "kwani mimi dadaako" KUWAELEWA WANAWAKE WANATAKA NINI NI KAZI SANA🤣🤣🤣🤣
 
Mwingine alisema jitu unalipikia limekaa huko sebuleni hata kuja jikoni kukushika tako haliji akamalizia kwa kusema "kwani mimi dadaako" KUWAELEWA WANAWAKE WANATAKA NINI NI KAZI SANA🤣🤣🤣🤣

Only God knows
 
Yaani utakuta mwanamke unapika kidogo tu mwanaume anafika jikoni kuangalia angalia kama msosi tayari sipendi aina hii ya wanaume aisee kwani ukikaa kusubiri chakula uko jikoni hakiivi na kama ana ujuzi na kile unachopika anaanza na kukuelekeza juu au anafika anafunua funua ulivyopika.

Yaani Mimi mwanaume kuingia jikoni tu kuangalia angalia kinachoendelea hata sipendi.
Mwe, mwe ...Tunajishirikisha wenyewe kwani hamtushirikishi na hamtambui kwamba na ss tupo tunajua kupika.🤣 Tupeni nafasi halafu muwage na nyie mnakuja kujipitisha-pitisha.😁
 
Kwamba anafunua masufuria daah au itakuwa anahesabu vipande vya nyama usije ukampa vipande vya nyama viwili...
 
Yaani utakuta mwanamke unapika kidogo tu mwanaume anafika jikoni kuangalia angalia kama msosi tayari sipendi aina hii ya wanaume aisee kwani ukikaa kusubiri chakula uko jikoni hakiivi na kama ana ujuzi na kile unachopika anaanza na kukuelekeza juu au anafika anafunua funua ulivyopika.

Yaani Mimi mwanaume kuingia jikoni tu kuangalia angalia kinachoendelea hata sipendi.
Tunakuja kwa sababu zifuatazo:-
1: Kuwekewa limbwata kwa maji baada ya kusaifisha kibox.
2: Mnaonja sana hivyo hiyo ni doria
3: Inaweza kuwa umeficha kidume baada ya kurudi ghafla
 
Yaani utakuta mwanamke unapika kidogo tu mwanaume anafika jikoni kuangalia angalia kama msosi tayari sipendi aina hii ya wanaume aisee kwani ukikaa kusubiri chakula uko jikoni hakiivi na kama ana ujuzi na kile unachopika anaanza na kukuelekeza juu au anafika anafunua funua ulivyopika.

Yaani Mimi mwanaume kuingia jikoni tu kuangalia angalia kinachoendelea hata sipendi.
Mmmh wakati wenzako wanapenda mambo hayo ya kutomaswa tomaswa akipika
 
Back
Top Bottom