Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Samahani dada mkuu kwa hili swali.Yaani utakuta mwanamke unapika kidogo tu mwanaume anafika jikoni kuangalia angalia kama msosi tayari sipendi aina hii ya wanaume aisee kwani ukikaa kusubiri chakula uko jikoni hakiivi na kama ana ujuzi na kile unachopika anaanza na kukuelekeza juu au anafika anafunua funua ulivyopika.
Yaani Mimi mwanaume kuingia jikoni tu kuangalia angalia kinachoendelea hata sipendi.
Mwingine alisema jitu unalipikia limekaa huko sebuleni hata kuja jikoni kukushika tako haliji akamalizia kwa kusema "kwani mimi dadaako" KUWAELEWA WANAWAKE WANATAKA NINI NI KAZI SANA🤣🤣🤣🤣Yaani utakuta mwanamke unapika kidogo tu mwanaume anafika jikoni kuangalia angalia kama msosi tayari sipendi aina hii ya wanaume aisee kwani ukikaa kusubiri chakula uko jikoni hakiivi na kama ana ujuzi na kile unachopika anaanza na kukuelekeza juu au anafika anafunua funua ulivyopika.
Yaani Mimi mwanaume kuingia jikoni tu kuangalia angalia kinachoendelea hata sipendi.
Mwingine alisema jitu unalipikia limekaa huko sebuleni hata kuja jikoni kukushika tako haliji akamalizia kwa kusema "kwani mimi dadaako" KUWAELEWA WANAWAKE WANATAKA NINI NI KAZI SANA🤣🤣🤣🤣
Mwe, mwe ...Tunajishirikisha wenyewe kwani hamtushirikishi na hamtambui kwamba na ss tupo tunajua kupika.🤣 Tupeni nafasi halafu muwage na nyie mnakuja kujipitisha-pitisha.😁Yaani utakuta mwanamke unapika kidogo tu mwanaume anafika jikoni kuangalia angalia kama msosi tayari sipendi aina hii ya wanaume aisee kwani ukikaa kusubiri chakula uko jikoni hakiivi na kama ana ujuzi na kile unachopika anaanza na kukuelekeza juu au anafika anafunua funua ulivyopika.
Yaani Mimi mwanaume kuingia jikoni tu kuangalia angalia kinachoendelea hata sipendi.
Amkeni
Kula Tano Mkuu
Basi ukirudi bongo tutafutane mkuu.Niliishi na dada wa kizungu masomoni UK
Ndio. Huyu mkuu bado hajaoa, nafanya namna nikamtembelee PiemHili swali alijibu mpendwa wetu[emoji28][emoji28][emoji28]
Tunakuja kwa sababu zifuatazo:-Yaani utakuta mwanamke unapika kidogo tu mwanaume anafika jikoni kuangalia angalia kama msosi tayari sipendi aina hii ya wanaume aisee kwani ukikaa kusubiri chakula uko jikoni hakiivi na kama ana ujuzi na kile unachopika anaanza na kukuelekeza juu au anafika anafunua funua ulivyopika.
Yaani Mimi mwanaume kuingia jikoni tu kuangalia angalia kinachoendelea hata sipendi.
Mmmh wakati wenzako wanapenda mambo hayo ya kutomaswa tomaswa akipikaYaani utakuta mwanamke unapika kidogo tu mwanaume anafika jikoni kuangalia angalia kama msosi tayari sipendi aina hii ya wanaume aisee kwani ukikaa kusubiri chakula uko jikoni hakiivi na kama ana ujuzi na kile unachopika anaanza na kukuelekeza juu au anafika anafunua funua ulivyopika.
Yaani Mimi mwanaume kuingia jikoni tu kuangalia angalia kinachoendelea hata sipendi.