Nachukia wanaume wanaopenda kuja kuja jikoni

Nachukia wanaume wanaopenda kuja kuja jikoni

Kwahiyo mama junia umeamua kuja kusemea huku..anyway tambua nimeishi sana geto nikijipikia..so hua nakuja kukumbushia sema hujuagi tu.

#MaendeleoHayanaChama
 
Yaani utakuta mwanamke unapika kidogo tu mwanaume anafika jikoni kuangalia angalia kama msosi tayari sipendi aina hii ya wanaume aisee kwani ukikaa kusubiri chakula uko jikoni hakiivi na kama ana ujuzi na kile unachopika anaanza na kukuelekeza juu au anafika anafunua funua ulivyopika.

Yaani Mimi mwanaume kuingia jikoni tu kuangalia angalia kinachoendelea hata sipendi.

Huna mahaba wewe kwa mmeo.
 
Naenjoy kupika,kupika ni skills ambayo Kila binaadamu lazima ajue bila kujali jinsia.

Kila kitu in moderation Kama Kila ukipika hua anakuja basi atakuboa ila Kama angekua anakuja marachache asingekuboa na ungependa kampani yake.

Ukitaka asipendelee kukukera jaribu Kila atakavokuja mpe jukumu la kukusaidia Kama kukumenyea kitu au akuangalizie kitu.

Na kama Kila ukimpa jukumu analitekeleza bila pingamizi basi anapenda kupika na huna la kUfanya, kama akikataa basi ushapata sababu ya kununa au kumfukuza jikoni kwako.
 
Hauko romantic!
Sizani kama anaweza hata muonjesha Mumewe ampe majibu ya Chumvi kama imekolea!!

Wanawake wabinafsi utawajuwa tu,anataka akulazimishe ule mapishi yake hata Kama ni mabovu,na ukijaribu hata kumrekebisha atanuna Mwaka!!
 
Navyopenda uwepo wa mwanaume wangu jikoni Mimi Jamani..

Yani sii ile muda wote..aje kidogo mara kiss za hapa na pale..kushtuliwa kidogo na vibao kunako wowowo..mara vikumbato vya nyuma na tumaneno tutam tam😍..

kijiko kinazimwa kidogo kinapigwa kimoja Cha chap chap😋😋..Yani Ili mradi taflani...Naenjoy uwepo wake kunako jiko tena mnooo
 
Niliwahi kupiga show jikoni
Nitapeleka uzi huko kimasiara
 
Yaani utakuta mwanamke unapika kidogo tu mwanaume anafika jikoni kuangalia angalia kama msosi tayari sipendi aina hii ya wanaume aisee kwani ukikaa kusubiri chakula uko jikoni hakiivi na kama ana ujuzi na kile unachopika anaanza na kukuelekeza juu au anafika anafunua funua ulivyopika.

Yaani Mimi mwanaume kuingia jikoni tu kuangalia angalia kinachoendelea hata sipendi.
Wewe utakuwa ni dizaini ile ya Wanawake ambao Mwanaume ukinunua kilo moja ya nyama basi robo nzima anaimaliza kwa kuonja,Sasa unaogopa Mwanaume kuja jikoni kwasababu hiyo,Km sivyo basi Wewe sio msafi ktk mapishi au Mzee wa limbwata.Prove me wrong.

Sent from my Infinix X688C using JamiiForums mobile app
 
Yaani utakuta mwanamke unapika kidogo tu mwanaume anafika jikoni kuangalia angalia kama msosi tayari sipendi aina hii ya wanaume aisee kwani ukikaa kusubiri chakula uko jikoni hakiivi na kama ana ujuzi na kile unachopika anaanza na kukuelekeza juu au anafika anafunua funua ulivyopika.

Yaani Mimi mwanaume kuingia jikoni tu kuangalia angalia kinachoendelea hata sipendi.
Nn kuchungulia bwana!! mm kama nayaelewa mapishi nakuja kuonja kabisa huko huku na kama umevaa kihasara hasara nakupiga machine kabisa huku mboga inatokota jikoni
 
Back
Top Bottom