Kichwamoto
JF-Expert Member
- Jan 21, 2019
- 3,403
- 4,692
What if am food scientist? What if am food nutrionist? What if I wanna enhance ur knowledge and cook in way that utanibamba? Take it positive mwambie akija jikoni unakosa comfort so kama kuna maelezo akupe kabla au aandike kwa karatasi then yeye afanye tathmini later. Get married to a friend, a lover na sio kidampa cha kukupa lift nyakati za shidaYaani utakuta mwanamke unapika kidogo tu mwanaume anafika jikoni kuangalia angalia kama msosi tayari sipendi aina hii ya wanaume aisee kwani ukikaa kusubiri chakula uko jikoni hakiivi na kama ana ujuzi na kile unachopika anaanza na kukuelekeza juu au anafika anafunua funua ulivyopika.
Yaani Mimi mwanaume kuingia jikoni tu kuangalia angalia kinachoendelea hata sipendi.